Mkuu nimekuuliza hivyo kwasababu nahakika hujaelewa vizuri mantiki ya madaUtoto huo Mimi siwez jadili huo utoto
Mkuu watu wengi inawawia vigumu kuamini hiki ulichoandika hapa lakini ndio ukweliIt takes one generation to forget about God, The next generation will know nothing about God....
Kila mtu huzaliwa Atheist mpaka pale anapo aminishwa kuna invisible creature beyond the sky anaitwa Mungu...
Tuache tu mkuuUkitaka kujua hilo mchukue mtoto huyo huyo aliyezaliwa Tanzania aende aishi china atakuwa na iman ya kichina Buddha ,akienda roma atakuwa na iman ya Kiroma hivo hivo akienda uarabun atakuwa na iman ya kiarabu hata mababu zetu hawakuzaliwa na dini ila walizaliwa na Imani ndio maana waliomba miti,misitu, mawe,vinyago na walifanikiwa Kwa kuwa wana imani hata hao wanao amini shetani wanaimani ndio maana wanafanikiwa na wanaomini mungu nao wanafanikiwa hivo amini tuna zaliwa na Imani ndio dini zetu
Na ili ungie kwenye dini zote kubwa lazima uwe na imani ukiwa huna Imani hawakuitaji maana huwezi fanikiwa
Mkuu Dini inahusisha kuamini katika nguvu kuu kuliko zote(Mungu, jini nk nk)Ukitaka kujua hilo mchukue mtoto huyo huyo aliyezaliwa Tanzania aende aishi china atakuwa na iman ya kichina Buddha ,akienda roma atakuwa na iman ya Kiroma hivo hivo akienda uarabun atakuwa na iman ya kiarabu hata mababu zetu hawakuzaliwa na dini ila walizaliwa na Imani ndio maana waliomba miti,misitu, mawe,vinyago na walifanikiwa Kwa kuwa wana imani hata hao wanao amini shetani wanaimani ndio maana wanafanikiwa na wanaomini mungu nao wanafanikiwa hivo amini tuna zaliwa na Imani ndio dini zetu
Na ili ungie kwenye dini zote kubwa lazima uwe na imani ukiwa huna Imani hawakuitaji maana huwezi fanikiwa
Mungu ndiye anaanzisha harakati zote hadi mwanadamu amjue na kumwamini.Hoja kubwa hapa ni nini ROLE ya Mungu wa kweli ili watu kumjua?
Historia & jiografia ina sehemu yake katika imani, lakini havimfungi yeyote kubaki katika imani husika.Kwanini kumuamini Mungu ni matokeo ya historia jiografia na malezi na sio based na FACT?
We must kill GodDini ni njia ya kukupeleka kwa MUNGU Ila sio lazima uwe na dini ndo uwe Karibu na MUNGU.
Hachunguziki kwasababu hayupo tu, wala si sababu nyingine.Mnamjadili mungu ambae achunguziki
Lete ushahidi wa kihistoria kuwa Ibrahim ni "binadamu halisi" aliyewahi kuishiMungu ndiye anaanzisha harakati zote hadi mwanadamu amjue na kumwamini.
Kila mtu anayo nafasi hiyo 100% licha ya mazingira ya kijiografia au historia ama hali na wakati aliopo.
Ibrahimu alizaliwa upaganini 100% lakini akawa muumini wa Mungu wa kweli.
Utashi ni wa mtu mwenyewe kuamua; but ukweli uko wazi kwa yeyote yule apendaye.
Historia & jiografia ina sehemu yake katika imani, lakini havimfungi yeyote kubaki katika imani husika.
Wengi wanafungwa na utashi wao wenyewe -- hawako tayari kubadili hali iliyopo kwa kuhofia kupoteza kitu fulani wanachodhani kuwa cha thamani sana kwao.
Kwa hiyo tatizo siyo sana mazingira ya nje, bali yaleya ndani -- akili ya mtu mwenyewe.
Huu ni uongo kama Ukizaliwa Kwenye Ubudha "Budha" ndo itakuwa dini yako na zingine zote utaona Ni uongo kwa kuwa umeisoma Dini yako na umeaminishwa ni Kweli kuliko.zingine..Kuna asimilia fulani ya imani ya kweli katika kila dini -- hata zile ambazo zinaeneza uongo wa wazi.
Ukweli unaweza kuchanganywa na uongo ilimradi tu uvutie akilini mwa watu wanaopenda kudanganyika na kudanganywa.
Aidha, ukweli halisi wa Mungu haujifichi na wala hauna sababu ya kujificha.
Kanuni ya ukweli ni kudhihirika kama nuru ya adhuhuri, isiyohitaji wala umahiri kuing'amua.
Kanuni ya uongo ni kujificha kama giza la usiku wa manane, linalohitaji kutia maanani ili kupata utambuzi wa ziada ili kubaini kinachoendelea duniani.
Tatizo la wengi sana si kwamba hawaujui ukweli.
Shida ipo kwenye maslahi binafsi wanayohofu yatavurugika iwapo wakiufuata ukweli.
Maslahi (mali, kipato, fedha, familia, marafiki, mazingira, mfumo, mipango fulani fulani, nk)
Shida ipo kwenye utaratibu mpya wa maisha watakaolazimika kuufuata iwapo wakiukubali ukweli huo.
Shida ipo kwenye raha na starehe potofu watakazolazimika kuzivua kwa vile zinakinza ukweli mpya ambao hawana budi kuupokea.
Shida ipo akilini mwao kwamba jamii iliyowazoea wakiwa hivi itawaonaje ghafla tu wakiwa vile.
Shida ipo kwenye utashi wao ambao haujafanya maamuzi ya kina, wakidhani kwamba wana muda wa ziada kesho, ambayo kimsingi haitafika kamwe.
Akijibu Nitag MkuuLete ushahidi wa kihistoria kuwa Ibrahim ni "binadamu halisi" aliyewahi kuishi
Lete ushahidi wa kihistoria na kijiografia kuwa "Gharika" iliwahi tokea, Nuhu alikua mtu halisi, na viumbe vyote duniani vilivyopo sasa vilitosha kwenye hio Safina ndogo kuliko boat za Azam
Lete Ushahidi wa kihistoria na kisayansi kuwa "Adam na Eva" walikua binadamu halisi, waliishi wapi? Na kivipi watu wote duniani walitokea kwa watu wawili bila athari zote za incestry
Lete ushahidi kuwa wana wa Israel waliwahi kuchukuliwa utumwa Misri licha ya kutokua na rekodi hata moja Misri kuhusu uwepo wao (Misri ya kale ime document almost kila kitu chao, hakuna hata single reference ya kuwepo kwa wayahudi hapo)
Lete ushahidi wa kisayansi kivipi dunia iliumbwa kwa siku 6
Allah alijifunua Kwa watu kupitia Taurati,Zaburi, Injili na QuranLet’s assume Mungu wa kweli Zeus
Je mtoto wako ana nafasi ya kumjua achilia mbali wewe?
Huyu Mungu wa “kweli” Zeus anampango gani na mtu aliyezaliwa Afaghanistan au Uswatini? Ambaye hana access ya kumjua kabisa
Hoja kubwa hapa ni nini ROLE ya Mungu wa kweli ili watu kumjua?
Kwanini kumuamini Mungu ni matokeo ya historia jiografia na malezi na sio based na FACT?
Sijui umenielewa?
Ndio maana Mungu ameahidi moto Kwa watu wasiojielewa kama weweLete ushahidi wa kihistoria kuwa Ibrahim ni "binadamu halisi" aliyewahi kuishi
Lete ushahidi wa kihistoria na kijiografia kuwa "Gharika" iliwahi tokea, Nuhu alikua mtu halisi, na viumbe vyote duniani vilivyopo sasa vilitosha kwenye hio Safina ndogo kuliko boat za Azam
Lete Ushahidi wa kihistoria na kisayansi kuwa "Adam na Eva" walikua binadamu halisi, waliishi wapi? Na kivipi watu wote duniani walitokea kwa watu wawili bila athari zote za incestry
Lete ushahidi kuwa wana wa Israel waliwahi kuchukuliwa utumwa Misri licha ya kutokua na rekodi hata moja Misri kuhusu uwepo wao (Misri ya kale ime document almost kila kitu chao, hakuna hata single reference ya kuwepo kwa wayahudi hapo)
Lete ushahidi wa kisayansi kivipi dunia iliumbwa kwa siku 6
Kuzaliwa Mwislamu au Mkristu au mpagazi zimwe wa upagani (hard-headed heathen), wala siyo hoja kubwa yenye mashiko hapa.Ukizaliwa Ulaya, kuna 99% chance ya kuwa mkristo, ukizaliwa Saudi Arabia kuna 99% chance ya kuwa muislam
Wenda hujaelewa hoja,Kuzaliwa Mwislamu au Mkristu au mpagazi zimwe wa upagani (hard-headed heathen), wala siyo hoja kubwa yenye mashiko hapa.
Nukta ya maana kabisa ni iwapo ama la hatimaye ^chekecho^ lake limepeta fifi na kusaza ngano safi.
Sijui unanielewa?
Mwislamu ama Mkristu ama mpagani huyo anapokeaje ^mabadiliko ya tabia-dini^ zilizoshamiri ulimwenguni?
Kuzaliwa ^mti^ ni hoja moja, kugeuka ^mtu^ ni nyingine tofauti kabisa.