Ukweli kuhusu kwanini unaamini dini unayoiamini

Kuna kaukweli ndan yake
 
Mambo ni mengi sana.

Mimi huwa napenda kuacha mambo yaende kama yalivyo au yatakavyokuwa as longer as sivunji sheria wala simuudhi mtu,the rest siku nifunge macho nikaone huko kukoje?hakuna kingine!
 
Reactions: 511
Ndio maana Mungu ameahidi moto Kwa watu wasiojielewa kama wewe

Unataka ushahidi wa kisayansi kuwa ulimwengu uliumbwa Kwa siku 6?

Wakati hao wanasayansi wako wa NASA Hadi Leo hii bado hawajamaliza kujifunza kuhusu ulimwengu
Hebu tushiriki mimi na wewe kwenye hili jaribio la kufikirika,
Assume, umekaa tu nayako, halafu nikaja mimi, nikakwambia kuwa nimekuja na habari ya Mungu wa kweli anaitwa "Kekova" , nikasoma kitabu cha kwanza kwenye vitabu 12 alivyonipa Kekova kwenye mlima Kilimanjaro

Aya inasema "Hapo mwanzo kulikua na Kekova na watoto wake wawili wakiume, wakaamua kuumba binadamu kwa mfano wao, wakawaweka Serengeti"

Kekova aliumba ulimwengu mzima kwa siku 23, akapumzika siku 4....

Tu pause kwanza hapa kwa mda tu, hii injiri yangu utaikubali au utaikataa, na kama utaikataa utatumia vigezo gani (sahau kwanza kuhusu dini yako) nataka unipe sababu za wewe kukata hii stori nzima ya Mungu Kekova kuwa ni ya uongo, nipe sababu kwanini ulimwengu haukuumbwa na Mungu Kekova kwa siku 23
 
Huo ukweli unaojulikana ni upi mkuu?. Usijekuwa na wewe tayari ni mhanga/mwathirika kama mtoa mada alivyoeleza.
 
Biblia inawafundisha kwamba jua lilitengenezwa siku ya 4,

Sasa sjui siku zilipitaje bila kuwepo jua
 
Ndio maana Mungu ameahidi moto Kwa watu wasiojielewa kama wewe

Unataka ushahidi wa kisayansi kuwa ulimwengu uliumbwa Kwa siku 6?

Wakati hao wanasayansi wako wa NASA Hadi Leo hii bado hawajamaliza kujifunza kuhusu ulimwengu
Pamoja na fallacy ulizoonesha hapo, lakini bado umedhihirisha kwahakika kabisa kuwa hakuna Mungu muweza wa yote mjuzi wa yote na mwenye upendo.

Right kama Mungu huyo angekuwepo asingeweza kuumba mtu asiyejielewa kama Kuchwizzy.
Mungu huyo si mkatili na mwenye kukosa upendo kwa viumbe wake kiasi cha kuumba mtu asiyejielewa halafu amchome moto.

Kumtisha mtu tu hilo ni tatzo linalomfanya mungu huyo asiwe mwenye upendo wote.


Unasuport hadithi za uumbaji kwa siku sita with no any evidence, tunaanzaje kuamini kitu cha kuambiwa tu kisicho hata na nusu ya facts?

Unakubali kwamba mungu aliumba jua siku ya nne?

Huoni kama hadithi ya uumbaji inautata mkubwa.

Then unafika mbali kuhoji eti kwamba Nasa hawajamaliza kujifunza ulimwengu, sasa inauhusiano gani hapo kwenye hoja zako?

Je unamaanisha Kutokumaliza huko kwa Nasa kujifunza ulimwengu huu ni uthibitisho kwamba dunia iliumbwa siku sita?
 
Kuna uongo mwingi sana kwenye hizi dini za duniani
 
Kuna uongo mwingi sana kwenye hizi dini za duniani
Nashangaa mtu unamkuta kazoroteka akili yake kabisa kwa mambo yakijinga kama hayo.

Dini inaharibu sana akili.

Jamaa mmoja alikuwa kwenye mjadala akaibua hoja kumuuliza muamini

Jamaa: Unaamini biblia wakati inauongo mwingi?

Muamini: unaweza kuonesha uongo kwenye biblia?

Jamaa: ukisoma marko 4:31 wanasema Mbegu ya Haradali ni ndogo kuliko zote duniani, je ni kweli

Muamini: Ndiyo ni kweli kulingana na neno la mungu

Jamaa: Unazijua mbegu za ostrich? Mbona kama ni ndogo kuliko hata hizo za haradali

Muamini: Huo ni mtazamo wako!!

 
mungu muweza wayote anafanya atakalo anafanya apendalo kwani huu ulimwengu niwake na hakuna ashindwalo.! Asa sijui watu wanavyokufa kule Gaza yeye inampendeza.😢.? natamani hata anijibi nielewe hii hua imekaaje kwa upande wake. mtu anafanya ubaya anakatisha uhaui wangu anadhulumu mali zangu. alafu me nakua sipo duniani . yeye mungu na huyo mtu wake wanaombana msamaa huyo jamaa anasamehewa akija kufa tunakutana peponi duh.! siwezi kumuelewa mimi kwanin kwenye huo msamaha hawakunishilikisha namimi mtendewa.?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…