Ukweli kuhusu mateso ya UTI kwa wanaume

mkuu hebu zungumzia na Kisonono, This damn thing is fvking killing, mtaani vilio ni vingi and seems dawa zinadunda. What is your view on this
Nizungumze nini tena...//solution kuacha ngono ... otherwise tumia kinga
 
Nizungumze nini tena...//solution kuacha ngono ... otherwise tumia kinga
mkuu ukisema mtu aache ngono wakati unakuta unapata kwa mtu unae mwamini....
mfano mimi nina best yangu yeyey alipata matatizo ya UTI kama miezi 5 kila akitibu ina jirudi kumbe mke wake ndo chanzo na jamaa ni mwaminifu kiasi kwamba alikuwa anashanga. so ni vyema kutoa elimu kwa ufasaha kama hapo juu.
 
Kwa situation kama hiyo hapo kuna changamoto... maana kwa kina dada zetu wao wanaweza pata UTI kwa njia nyingine kirahisi zaidi tofauti na ngono...

Kwa case zingine mbona Kinga zipo jamani...
 
Kwa situation kama hiyo hapo kuna changamoto... maana kwa kina dada zetu wao wanaweza pata UTI kwa njia nyingine kirahisi zaidi tofauti na ngono...

Kwa case zingine mbona Kinga zipo jamani...
unaweza nitajia aina za UTI
 
Kwangu mimi nadhani asilimia 70 ya wanawake wana U.T.I tena wengine ni sugu kabisa kiasi kwamba wao wala hawaoni dalili na maumivu.

Mimi sio muumini wa kutumia condom, huwa nikipata mwanamke tunapimana ngoma hapo lodge kisha mambo mengine yanaendelea.( vipimo huwa naenda navyo kwenye miadi).

Ajabu yake sasa kila baada ya wiki mbili lazima nipigwe U.T.I.

Na wala sihitaji kupima nakuwa najua kabisa nini kinaendelea.
Nanunua tu cipro maisha yanaenda ,hapa tupu nina dozi ya cipro *****.

Nikiwa bize na harakati za maisha siumwi muda wote,nikila tu hata wife lazima nipate U.T.I.

Wao wenyewe wanadunda tu wala hawana habari.
 
Acha kabisa mkuu hivi wao najiuliza huwa hawaisiki hata kidogo... na akipata huwa ina kaama mda gani mpaka kwa wagundue kama wana umwa.
 
Inatisha...
 
Acha kabisa mkuu hivi wao najiuliza huwa hawaisiki hata kidogo... na akipata huwa ina kaama mda gani mpaka kwa wagundue kama wana umwa.
Nadhani maumbile yao yanachangia,,maana hata gono au kaswende dalili kwao huchekewa kujitokeza tofauti na wanaume,siku tatu tu au wiki mambo hadharani
 
Mkuu

KWA wanawake Njia ya mkojo,uke na Njia ya haja kubwa zipo karibu Sana!wakati wa kuchamba au kutawadha wakishakata gogo baadhi ya bacteria waliopo kwenye kinyesi au Njia ya haja kubwa huchanganyikana na maji ya kutawadha na kuingia kwenye mbususu hapo ndio chanzo cha UTI hasa KWA wanawake!!

Nadhani ni Hivyo!!
 
Nawapa experience yangu
Kati ya wanawake 10 basi 4 wana UTI 2 wana PID 4 wapo safe
Hapa naongelea madem hawa hawa tunaowagonga tena wengine ni medics pia

Mnaosema UTI ni kwa MSM na wanawake mnajielewa kweli mnajua kama UTI ni urinary tract infections

Kuhusu wanawake wa sasa kupata zaidi UTI nafikiri moja ni irrational use of antibiotics
Pili ni uuzwaji na uingizaji holela wa antibiotics
 
Ukiwa mzinzi Sana,

-Uwe unakunywa maji meng kabla ya tendo ili upate kukojoa Mara kwa Mara katikati ya tendo ili kuflash mrija wa mkojo.

-Uwe na break za kunawisha mashine yako na maji tiririka kila baada ya pafu kadhaa za kunyanduana.

-maji yako ya kunywa yawe na mchanganyiko wa baking powder au kunywa chai ya mchai chai.
Ukiweza vyote itakua Bora zaidi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna uzi humu ulisema UTI haiambukizwi kwa sex, nilishangaa
 

Story of my life yani kila nikila mzigo lazima niumwe mpk kwenda hospital naona aibu najifanyia self medication. Natamani sana kuacha kuacha kuchakata mbususu ila ndio hivyo siwezi
 
Wewe una UTI sugu ambayo ni tatizo utaishi nalo muda mrefu. Kuna majani fulani Wahaya wanaita karandarugo ndio mwisho wa matatizo. Ni very rare kwa sasa kupatikana, zamani miaka kama 10 nyuma wabongo wazinzi walivyogundua ni dawa nzuri sana wakayavuna magunia kwa magunia wakasambaza mikoani. Yanatibu magonjwa mengi ila ukiyapata UTI utabaki kuisoma kwenye dictionary.

Kwa sasa ishi na mchaichai tu. Otesha hapo kwako maana wewe ni lijinga unadandia malaya vilabuni
 
Literally ni ukwel hata mimi nilivokua med school nlifunzwa ivo wanasema those bacteria aint passed from one person to another sexually
Kuna demu wangu chuo alikuwa anapata UTI kali ila napita nae, niliumwa mara moja tu ila yeye alienda hospitali mara nyingi hadi akawa anadai nina wengine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…