Ukweli kuhusu mateso ya UTI kwa wanaume

Mkuu mchai chai unamaanisha huu pichani?View attachment 2310153
Huo huo mkuu,
Mimi ndio chai yangu pendwa kila siku,

Wanawake zangu wengi wanaumwa Sana UTI kila mara nawatibia, ila Hakuna hata mmoja wao aliwahi niambukiza.

Hapa nnapoongea,
Mchepuko wangu mmoja wiki lote hili Yuko kwenye dozi ya Cipro,UTI inamsumbua.

Naendelea kumchakata Na Jana usiku nmetoka kumchakata Kama kawaida bila hofu yoyote.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu unakula pisi mbovuuu mnooooo si mchezo, mwanaume kuambukizwa hayo ni hizi pisi za mafungu si kitoto, lakini pia wanawake ndio maana unasikia kansa sijui ya kizazi, sijui shingo ya kizazi ni haya magonjwa kuyachukulia poa.
Jitahidi pia ukimaliza kusex nenda chooni kojoa alafu osha dyudyu mara moja sio unaingia lodge choo chenyewe cha nje maji hakuna unajifuta futa utakuja kufa na dyudyu ikatike kabisa.
 
We ni mzinifu mashuhuri, ukimaliza kusex nenda chooni kajilazimishe ukojoe mkojo wa kawaida, pia osha mashine na sabuni muda huohuo,

Hi kwa kiasi fulani Mimi inanisaidiaga na kupiga maji kwa wingi
 
Unless otherwise wewe ni mshirika wa Mapenzi ya jinsia moja.....

UTI kwa wanaume [emoji26] Embu wataalamu wa Urology mtupe tips
Una unachofahamu ila mm nakazia hasa wadada wenye miaka kuanzia 30s ukipiga kavu ukikosa kupata U T.I sugu katambike
 
Dawa ya kumaliza maradhi ya UTI ipo nitafute kwa wakati wako ili niweze kukutibia upate kupona maradhi yako.
 
Mleta mada ulichoandika ni kweli! Siku hizi kuchepuka ni hatari sana…. Yaan miba na mitego iliyopo huko nje inatisha haswaaa
 
Labda hawajui UTI ni nini.... Unaweza vaaa boxer lichafu hujafua wiki lina mabactria kibao likasababisha ukapata UTi ..
kuna kitu umeelezea vizuri JUU na like nimekupa lakini hapa ukichozungumza si kweli ni Uongo
huwezi kupata UTI kwa kuvaa BOXER wiki nzima bila kufua achilia mbili wiko hata mwezi sio 7bu ya kupata U.T.I
 
Mnzinzi mwenzangu kwa hizo tips nakubari mzee wa kavu kavu
mie nina ANTFUNGAL naipaka kabla na baada ya mgegedo

kuna mwana huko juu anatembea CIPRO yeye dah
Mie nina mwanangu ye akishamaliza kugegeda tu anapiga AZUMA kidonge kimoja
ni hatari lakini SALAMA

U.T. I sugu ni janga sana Kwa wapenda KAVU

Usione town wauza madafu wanakuwa na NDIMU
Ile tiba mbadala sana badala ya madawa ya HOSPTARI

BY the way kwa namna tunakoendea MAGONJWA ya kufail FIGO yataongezeka sana
kwa matumizi mabaya ya MADAWA ya ANTBIOTIC

Hali ni mbaya sana mana hata mkeo anakuletea U.T.I
 
acha ujingaaa ndo maana nikasema kama haija wahiii kukutaa kausha... wewe ndo utakuwa na mapenzi ya jinsia moja
Wewe ni mjinga huna unalolifahamu kuhusu ulilolitaja.... UTI kwa wanaume? Wewe umepata hizo UDS, SYPHILIS , GONORRHOEA na STI's acha utoto....

Endekeza ngono, tunakusubiria OPD tukufanyie PITC uwe mtandaoni...


St**pid
 

Hakika umenipa bonge la ukombozi
Asante sana mkuu
 
Nashangaaga sana mimi hii
Saa nyingine mtu hana hata mwanamke anakwambia alikua anaumwa ameenda hosp ameambiwa ana uti [emoji3] wengi wetu elimu ndogo ya afya hatuna
Mimi ninakatabia kabaya hasa napotoa huduma anakuja mteja wa kiume badala aeleze dalili anakuambia ana UTI [emoji26][emoji26][emoji26] hapo nakuwa mkali sana....

Ukija kumuuliza anakupa dalili za STI's....

Vijana waache ngono za hovyo hovyo zisizo na mpangilio
 

Beer zinakufanya uchukue mademu low quality sana
labda mkuu yaweza kuwa. maana tumetofautiana macho.
 
Story of my life yani kila nikila mzigo lazima niumwe mpk kwenda hospital naona aibu najifanyia self medication. Natamani sana kuacha kuacha kuchakata mbususu ila ndio hivyo siwezi
haya mambo yasikie tu kwa jirani. yani demu unamuangalia ni pisi kweli unaenda kuchakata safi kabisa ila baada ya siku mbili tu msala unaanza....
 
mkuu umeongea point ila wewe jinga umemalizia na utopolo....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…