Ukweli kuhusu mateso ya UTI kwa wanaume

hahahahahha nimekuelewa mkuu.
 
mkuu umeongea point ila wewe jinga umemalizia na utopolo....
Hapo nimekwambia kwa ukali uwe makini, usiwe kama watoto wakikatazwa kitu wanadhani wanaonewa. Kumbe sasa una mpango utumie hizo dawa kisha uendelee kuokota hao wa kwenye bar na usitumie kinga? Ebu shtuka acha kubahatisha maisha
 
Umekoswa koswa sana
 
Hapo nimekwambia kwa ukali uwe makini, usiwe kama watoto wakikatazwa kitu wanadhani wanaonewa. Kumbe sasa una mpango utumie hizo dawa kisha uendelee kuokota hao wa kwenye bar na usitumie kinga? Ebu shtuka acha kubahatisha maisha
nimekuelewa mkuu ila story nilio toa ni mwaka sasa na nusu ndo nilipata hilo tatizo leo ndo nimeweka bandiko sio kwamba ndo nipo nasumbuliwa saizi hapana.... na mwanzoni nilikuwa najua ni ipo kwa ajili ya wanawake tu na wapo wengi inawatesa nikasema leo niliweke bandiko. bar inajulikana lazima uzipate kama kuna mkoa flani ina bar inaitwa (O2),
 
Umenikumbusha nilivyopewa gono na happy wa njiro-arusha pisi wakati naipiga kavu mara nikaona uchafu mweupe kama mafuta unatoka ukeni baada ya week aisee ilikuwa balaa niliumwa hadi dick ilikuwa inatoa usaha na nahisi pisi ilishtukia haikunitafuta tena na namba yake haikupatikana tena nilitafuta kinoma haikupatikana, jamaa mmoja alinielekeza ukihisi pisi inatoa harufu sana wakati wa kuiandaa tambua ina magonjwa ukeni , pisi unaweza iona nzuri kinoma ila ndani sasa ni chafu na imebeba magonjwa hatari,
 
kweli mkuu ndo msala ulio kuwa unanikuta yani unamuona hiii pisi ni ya kwenda shule ila ndani kumbe imejificha ukigusa tu kinaumana.

kuna binti mmoja mtaani kwa best yangu nilienda kumtembelea nimefika nikakutana na mmoja nikaomba namba nikawa naenda nae taratibu siku nimekuja kumwambia jamaa yangu kuwa nimepata manzi mitaa yenu aliniambia tu kama ni mweupe ana tako na anajua kuvaa basi we naomba achana nae anajulikana mtaa mzima kwa magonjwa ya zinaa.
 
Unless otherwise wewe ni mshirika wa Mapenzi ya jinsia moja.....

UTI kwa wanaume [emoji26] Embu wataalamu wa Urology mtupe tips
Mara nyingi huambukizwa na wanawake sababu wao wapo vulnerable sana kwenye huo ugonjwa
 
Vijana nyie....

Kitu unachopaswa kujua ni nini maana ya UTI, Pili Bacteria gani hasa husababisha, Risk factors ni zipi halafu tafuta dalili(clinical features) halafu uje unieleze hilo....
Stupid
wewe ni CO mjinga mjinga
kila anayekuja kwenye kidispensary chenu cha uchocholoni mnamlazimisha CEFTRIAXONE achome
mnaharibu MIMBA za wakinadada jinga weweeeeeee
 
Stupid
wewe ni CO mjinga mjinga
kila anayekuja kwenye kidispensary chenu cha uchocholoni mnamlazimisha CEFTRIAXONE achome
mnaharibu MIMBA za wakinadada jinga weweeeeeee
Sijawahi ona msomi mjinga kama wewe.... Hao ma CO ndio makitu gani?

Hivi uliona wapi msomi anajibu kijinga namna hiyo? Professor gani amekufundisha aisee ....

Msomi [emoji12] Degree ya Chini ya nguo ....
Njoo na fact ya kubadilisha mitazamo ya wanajamii wetu, kisomi siyo kindezi ndezi namna hiyo



Tuheshimiane
 
Mleta mada fanyia kazi sana immune system yako, I mean fanya yanayowezekana kuboresha kinga yako ya mwili, If you only understand what i'm saying.

Kutomb*na na ke hakukufanyi upate UTI, unless mnafanya anal, ila kuna risk factors za kupata UTI during sex, this is very tricky, but it is what it is.
 
nimekuelewa ila mimi sijawahiii na sio mpenzi kabisa wa 0712 na hii kitu imenibidi niandike baada ya kunikuta zaidi ya mara 2. na nilijua nimekula gono ila kila nikipima naambiwa ni UTI ya 7G
 

Hizo risk factors ni zipi?
 
watu ambaoo hawaja waiiii pata hiii kitu wanachukulia sana simple wanaandika utasema wako kwa shangazi zaoo.. UTI unapata tu kwa sex pia japo naona watu wana bisha.
 
Mimi niliwahi pata hio kitu na niliduu na manzi mmoja pisi Kali sana.

Tangu siku nilijiapiza nitatumia ndomu hata mke wangu.

Vinginevyo tukapime mara kwa mara.

Hio msiichukulie rahisi hivi wadau humu
 
Mimi niliwahi pata hio kitu na niliduu na manzi mmoja pisi Kali sana.

Tangu siku nilijiapiza nitatumia ndomu hata mke wangu.

Vinginevyo tukapime mara kwa mara.

Hio msiichukulie rahisi hivi wadau humu
bora mkuu watu wamezoea kuona ile ya maumivuu tu hawajawahii kukutwa na ya 4G
 
Nikajua kwa yaliyokupata basi utapunguza rate ya kungonoka au utajitahidi kutumia kinga kumbe unaendelea ila unabadili aina ya wanawake.

Akili huna acha ikupate tena na tena.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…