Venus Star
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 26,519
- 78,311
Wapenzi wasomaji wangu leo ninaendelea na kufumbua macho watu. Mwenye macho haambiwi tanzama, na mwenye akili zake ataweza kung'amua na kuelewa ukweli wa mambo.
Leo katika bandiko langu hili nitajikita kuongelea suala la alama ya 666 kama ilivyoandikwa katika kitabu cha ufunuo 13:18
Kitabu cha ufunuo na kitabu cha Daniel ni vitabu vilivyo na ufanano kwa namna Fulani.
Kwanza kabisa tunatakiwa kuelewa tamaduni za wayahudi kipindi kile kwamba waandishi na manabii walikuwa wakitoa unabii kwamba wayahudi yanawatokea mabaya kwasababu ya kutenda mema. Walikuwa wakitabili na kuwaeleza kuwa manyanyaso yao yatakwisha. Lakini waliendelea kutawaliwa ndipo sasa wakaja na namna nyingine ya uandishi.
Apocalyptic literature, ndio namna mpya ya uandishi na unabii wakawa wanatumia. Moja wapo ya vitabu ni kitabu cha ufunuo na Daniel.
Leo naongelea sehemu ndogo tu ya kitabu cha ufunuo na tafsiri yake sahihi. Namba 666.
Ikumbukwe kuwa hawa wayahudi wanamna yao ya Numerology inaitwa Gematria. Wana encode maneno kwenye number.
Kitabu cha ufunuo kiliandikwa kipindi cha utawala wa Nero. Huyu alikuwa akitesa sana, na ilikuwa lazima uwe na certificate ya kufanya jambo lolote. Kwamba uwe na chapa yahuri wa Nero.
Kwahiyo Jina Nero Caesar ni kama ifuatavyo:
Leo katika bandiko langu hili nitajikita kuongelea suala la alama ya 666 kama ilivyoandikwa katika kitabu cha ufunuo 13:18
Hapa ndipo penye hekima. Yeye aliye na akili, na aihesabu hesabu ya mnyama huyo; maana ni hesabu ya kibinadamu. Na hesabu yake ni mia sita, sitini na sita.
Ufunuo wa Yohana 13:18Kitabu cha ufunuo na kitabu cha Daniel ni vitabu vilivyo na ufanano kwa namna Fulani.
Kwanza kabisa tunatakiwa kuelewa tamaduni za wayahudi kipindi kile kwamba waandishi na manabii walikuwa wakitoa unabii kwamba wayahudi yanawatokea mabaya kwasababu ya kutenda mema. Walikuwa wakitabili na kuwaeleza kuwa manyanyaso yao yatakwisha. Lakini waliendelea kutawaliwa ndipo sasa wakaja na namna nyingine ya uandishi.
Apocalyptic literature, ndio namna mpya ya uandishi na unabii wakawa wanatumia. Moja wapo ya vitabu ni kitabu cha ufunuo na Daniel.
Leo naongelea sehemu ndogo tu ya kitabu cha ufunuo na tafsiri yake sahihi. Namba 666.
Ikumbukwe kuwa hawa wayahudi wanamna yao ya Numerology inaitwa Gematria. Wana encode maneno kwenye number.
Kitabu cha ufunuo kiliandikwa kipindi cha utawala wa Nero. Huyu alikuwa akitesa sana, na ilikuwa lazima uwe na certificate ya kufanya jambo lolote. Kwamba uwe na chapa yahuri wa Nero.
Kwahiyo Jina Nero Caesar ni kama ifuatavyo: