Ukweli kuhusu uchaguzi wa mwaka 2020 Jinsi Hayati Magufuli alivyouvuruga

Sasa kama ushaidi upo na mna uhakika, kwanini CHADEMA haijafungua kesi mpaka leo!
 
 

Attachments

  • Magufuli.jpg
    133.3 KB · Views: 6
Kumekuwa na shutuma nyingi sana za kumshutumu Magufuli kuvuruga uchaguzi wa mwaka 2020 lakini watowa lawama wote ukiwauliza alivurugaje au aliiba vipi kura hakuna atakayekupa jibu.

Cc: Pascal Mayalla hii ni Bona fide genuine.
Mbaazi ikikosa maua, husingizia jua!. Asiyekubali kushindwa sii mshindani. Licha ya changamoto ndogo ndogo, lakini
Uchaguzi ulikuwa huru na wa haki!. TV Program Alert: Msidanywe na Wanasiasa Kuhusu Uchaguzi Mkuu: Ulikuwa Huru na wa Haki!. Shuhudia!
P
 
 
Nahisi wewe ni mamluki unatumwa na mafisadi kueneza propaganda za kumchafua magufuli

Sent from my Infinix X663 using JamiiForums mobile app
 
Huu ushetani aliofanya Magufuli, Mungu aliuona akatoa maamuzi, Taifa angalau likapona.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Umeme hakuna,
Maji hakuna,
Cemnt 20,000
Mafuta elfu 4,000
Bandari imeenda
Loriondo imeenda
Bei za vyakula juu
Ufisadi juu


Ni taahira na mpumbavu anaeweza kusema taifa limepona.
 
Umeme hakuna,
Maji hakuna,
Cemnt 20,000
Mafuta elfu 4,000
Bandari imeenda
Loriondo imeenda
Bei za vyakula juu
Ufisadi juu


Ni taahira na mpumbavu anaeweza kusema taifa limepona.
Huku ile nyumba aliyohongwa hawara bado haijarejeshwa
 
Mkuu, kuna siku tulipita Masaki na polisi afisa moja, alinionyesha jumba kubwa, akaniambia lilikuwa la majumuisho ya kura fake.

Aliongea kwa masikitiko ssna kilichofanyika kiliwaumiza hatacwao lkn hawakuwa na ucjaguzi zaidi ya kutiii
 
Kwenye majumuisho hakuna kuhesabu kura Bali ni fomu na matokeo yake na pale ndio vinapoubuka vituo hewa.[emoji419][emoji375] nakazia
 
Nlicho jifunza kupitia post hii...... watu wengi wanafahamu ukweli namba na jinsi uchaguzi uchwara unavyo endesha ....nishauri tu bila tume huru na katiba mpya tunajitekenya wenyewe hawa ccm hawaachii nchi kuputia makaratasi tuamkeni
 
Mkuu, kuna siku tulipita Masaki na polisi afisa moja, alinionyesha jumba kubwa, akaniambia lilikuwa la majumuisho ya kura fake.

Aliongea kwa masikitiko ssna kilichofanyika kiliwaumiza hatacwao lkn hawakuwa na ucjaguzi zaidi ya kutiii
Da hii nchi ngumu sana Ndugu yangu
 
Wanasiasa jifunzeni kufanya mema mkiwa hai, maisha ya duniani ni mafupi sana kuliko mnavyofikiri
 
Weka evidence
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…