stakehigh
JF-Expert Member
- Aug 9, 2019
- 7,134
- 4,556
- Thread starter
- #21
tuseme tu ukifika sehem pesa imeshatatua yote uliokua unayataka kiuchumi basi wewe ni tajiri, unaweza ukawa na mil 100 ila cost ya uendeshaj ni mil 150 apo bado hujatokaMkuu mimi nina swali utajiri unaazia shilingi ngapi? Je ni million 10 ,20,30 au billion ngapi?
Maana kwangu mimi nikiwa na miaka 21 nilikuwa na 100 m kutoka kwenye kilimo ,je nilikuwa tajiri?