Ukweli kuhusu viumbe wa ajabu wanaovamia dunia.

Ukweli kuhusu viumbe wa ajabu wanaovamia dunia.

Hata hivyo usikate kwamba Aliens hawapo, wapo. CIA wali-abondon research za UFO's baada ya kuona kuwa UFO's hwana threat kwa dunia yetu. Still, hata kama wangekuwa threat, bado hatuna teknoloji ya kuweza kuwakabili, so waliona is useless na kwamba ni vitu ambavyo vingeweza kusababisha chaos na panic kwa watu wanaoishi duniani.

By the way, hizi structure hapa ametengeneza nani?

The Mystery of the Engineering work of the Pyramids at Giza

Makanyaga ,

Hiyo ni conspiracy game.

Tambua kuwa, wazungu koko wanapenda sana sifa!
Nakuhakikishia kama hiyo, issue ingekuwa ukweli wangekuwa wameisha wakamata aliens hata mmoja na kumleta watu washuhudie live.

Hizo ni hadithi za Abunuwasi.

Pyramids zimejengwa hata misri zimejaa.

Kwa mfano, hapo Israel tu, wamejenga vitu chini ya ardhi ukiingia na kuzama ardhini utadhani kuwa uko peponi.

Kwa hiyo, kama.hapo Israel siku wakimchukua mtu wakamfunga na kumpeleka kule chini ya ardhi akija kutolewa huko na kurudishwa ardhini juu kisha akaambiwa kuwa alikuwa mbinguni/peponi nakuhakikishia "katu hawezi kupinga"
Bali yeye ndiye atakaye anza kusambaza habari kuwa Kweli alikuwa mbinguni/peponi.

Achana na habari za kuaminishwa nawe ukasema kuwa ndivyo ilivyo.

In the world of propaganda and conspiracy theory "Nothing is as it seems"
 
aliens wapo....na njia za kuwasiliana nao kama telekinesis zipo....hawaongei kwa mdomo....ila inasemeka specie ya reptilians wamefanyiwa humanoid technology na kufanana na binadamu...so thet are among us...especially uko ulaya....UKO USA wanawatumia jamaa maana wanateknolojia y HALI YA JUU....

Makanyaga

Mkuu unaona sasa hizi habari ni fix kinyama yaani.

Hakuna cha ukweli wala cha kucross breeding.

Hapo, wewe unasema.CIA walisema.ni hatari huyu anaandika kuwa huko wanawatengeneza na tuko nao miongoni mwa binadamu. Hasa huko ulaya na USA.

Kwa kifupi, hakuna cha aliens wala viumbe wa ajabu ama viumbe waliohamia aga za mbali.

Yeknologia zote wavumbuzi wako wazi na hata wengi waliwshi kuvumbua wasio na undugu wa aliens.

Nothing under the sun called as an aliens.
 
View attachment 638165

View attachment 638169

Kuna minong'ono na maneno ya wazi kwamba kuna viumbe wa ajabu wamekimbilia katika dunia na kusababisha hofu na wasiwasi wa maisha ya binadamu wa kawaida, kwa mujibu wa mwanasayansi wa fizikia na nyuklia raia wa Canada Bwana Stanton Friedman amesema dunia imekua ikitembelewa sana na viumbe wa ajabu maarufu kama Aliens kwa lengo la kuangalia mienendo kadhaa ya kitekinolojia na maisha ya kawaida na muda sio mrefu wataweka makaazi kabisa duniani, "Hakuna doa la mashaka kwamba viumbe wa ajabu wenye akili nyingi sana wanafanya safari zao kuja duniani"

Bwana Friedman mwenye umri wa miaka 82 alikua akichunguza ajali ya chombo cha anga za juu hususani ajali ya mwaka 1947 iliohusu chombo cha anga kilichopata ajali mbaya katika anga za juu na kueleza kilipotezwa na kitu kisicho cha kawaida kabisa kilichokua na viumbe wa ajabu,

aidha, amesema faili lenye taarifa za siri sana za CIA juu ya uwepo wa viumbe hao ni moja ya ushahidi wa uwepo wa viumbe hao, anasema anafikiri viumbe hao maarufu Aliens wanataka kulinda anga lao ambalo limekua likitembelewa sana na vyombo na binaadamu kutoka duniani, nae aliekua Waziri wa Ulinzi wa Canada Paul Hellyer amesema dunia imekua ikitembelewa na viumbe hao kwa miongo kadhaa sasa amesema mwaka 1995 viumbe hao walitembelea dunia amesema mwaka 1961 kulikua na vyombo vya anga vya ajabu 50 vilivyojulikana kama UFO na visivyo vya kawaida kabisa vikiruka kutoka kusini ya dunia vikielekea Urusi na Ulaya.
mada hizo huwa zinashindwa kupata mazingira ya ushaidi,hata ya kipatikana ukosa vigezo na mda mwingine tunasema kama ni mawazo tu,japo hatu katai
 
mimi na rafiki yangu wakati tupo secondary nakumbuka ilikua mida kama saa3 tunatoka kwenye matembezi yetu tunaelekea hostel, tuliona viumbe wa ajabu walikua wawili ni kama binadamu ila hawakua binadamu wa kawaida walikua bize na stori zao ghafla tukakutana uso kwa uso tulikosa uvumilivu kila mmoja alikimbilia njia yake tulienda kukutana hostel tusiamini tulichokiona na kila tuliemuadithia hakutuamini. viumbe wa ajabu wapo wazungu watawaita alliens ukija kwetu utasikia vibwengo nk ila kwa wataalam ndio wanaweza kuchunguza na kujua maisha yao technology yao wanaishi wapi nk. ila ni kweli wapo.
Acha woga. Mtafute mshana Jr utaishi Kwa Amani.
 
Makanyaga

Mkuu unaona sasa hizi habari ni fix kinyama yaani.

Hakuna cha ukweli wala cha kucross breeding.

Hapo, wewe unasema.CIA walisema.ni hatari huyu anaandika kuwa huko wanawatengeneza na tuko nao miongoni mwa binadamu. Hasa huko ulaya na USA.

Kwa kifupi, hakuna cha aliens wala viumbe wa ajabu ama viumbe waliohamia aga za mbali.

Yeknologia zote wavumbuzi wako wazi na hata wengi waliwshi kuvumbua wasio na undugu wa aliens.

Nothing under the sun called as an aliens.
ata mimi mwanzo nliamini ivo...ila kuna jamaa alitoa njia kadhaa za kuwasiliana nao had kukutana...nkajarbu moja inaitwa telepathy...bwana wee nlivoona dalili nlizoambiwa nikaacha kabxaaa.....
 
Makanyaga

Mkuu unaona sasa hizi habari ni fix kinyama yaani.

Hakuna cha ukweli wala cha kucross breeding.

Hapo, wewe unasema.CIA walisema.ni hatari huyu anaandika kuwa huko wanawatengeneza na tuko nao miongoni mwa binadamu. Hasa huko ulaya na USA.

Kwa kifupi, hakuna cha aliens wala viumbe wa ajabu ama viumbe waliohamia aga za mbali.

Yeknologia zote wavumbuzi wako wazi na hata wengi waliwshi kuvumbua wasio na undugu wa aliens.

Nothing under the sun called as an aliens.
How about the mysteries that science does not currently have the answers? Umesikiliza hiyo habari ya Pramids ukawaona wanasayamsi jinsi ambavyo wana-argue?
Sikiliza vipande hivi vitatu vya picha vitakupa mtizamo tofauti





 
ata mimi mwanzo nliamini ivo...ila kuna jamaa alitoa njia kadhaa za kuwasiliana nao had kukutana...nkajarbu moja inaitwa telepathy...bwana wee nlivoona dalili nlizoambiwa nikaacha kabxaaa.....

Mmmaaa!!! sasa na wewe unajitafutia matatizo au kifo tu haaa unataka kuwasiliana na hayo majitu daah una hatari sana, una bahati hajapiga chafya ungekua kiziwi milele
 
Ni Uongo wa Ngozi nyeupe....yaani hao viumbe wasituvamie kipindi cha mababu wakivaa migomba eti waje sasa??
 
mimi na rafiki yangu wakati tupo secondary nakumbuka ilikua mida kama saa3 tunatoka kwenye matembezi yetu tunaelekea hostel, tuliona viumbe wa ajabu walikua wawili ni kama binadamu ila hawakua binadamu wa kawaida walikua bize na stori zao ghafla tukakutana uso kwa uso tulikosa uvumilivu kila mmoja alikimbilia njia yake tulienda kukutana hostel tusiamini tulichokiona na kila tuliemuadithia hakutuamini. viumbe wa ajabu wapo wazungu watawaita alliens ukija kwetu utasikia vibwengo nk ila kwa wataalam ndio wanaweza kuchunguza na kujua maisha yao technology yao wanaishi wapi nk. ila ni kweli wapo.


Unaongelea imani za imani hapa.

Ila , hakuna cha aliens wala viumbe wenye akili sijui wavumbuzi .
Nothing do exists named as aliens.

How about the mysteries that science does not currently have the answers? Umesikiliza hiyo habari ya Pramids ukawaona wanasayamsi jinsi ambavyo wana-argue?
Sikiliza vipande hivi vitatu vya picha vitakupa mtizamo tofauti








White pigs always they don't accept anything good to come from Africa.
Or to hear anything great that they can't do or posses belonging to other races.

In short they failed to copy and build the same pyramid either in USA or Europe so, they decided to demonize those structures.

They used insolent words against OBama from 2008 till 2012 because he was very smart than most of white pigs.
Some named him that he's possed by devil, he's having a transparency hand which is not of human being and so forth.

White men, have failed to build pyramids therefore they can't argue in a positive approach with relations to those pyramids.

Failure can't correct success!
 
umesema walikuwa kama wanapiga story haukuweza kusikia sauti zao..? je,zinafanana na binadamu..?
wkt mnaanza kukimbia wenyewe walichukua hatua gani(walisimama,walikimbia,waliendelea kutembea) nini walifanya wkt mnachukua hatua ya kukimbia..?
maelezo ya mwenzako na yakwako yanaendana kwa kile mlichokiona..?
kwa ukaribu tulioufikia sauti niliweza kuzisikia lakini ilikua ni kama ya kumung'unya maneno sijui kama naeleweka yani kama unaongelea kwa ndani bila kuinua lips haikua rahisi kuelewa walichokua wakizungumza ata tulipowakaribia baada ya sisi kushtuka nao walionyesha mshtuko na sisi tulikimbia kurudi upande tuliokua tunatoka yani tuliwaachia mgongo lakini sidhani kama walikimbia sababu sisi ndio tulikua wakwanza kugeuka na kukimbia na sidhani kama nyuma walikua wakitukimbiza au la, lakini ninachokumbuka nyuma tuliacha kicheko lakini si cha sauti ya kawaida iliyozoeleka. alichoona na kusikia rafiki yangu kilikua kilekile.
 
Hakuna kitu kama hicho ni conspiracy game iliyokuwa inafanyika au inatumika katika jamii za wazungu koko ili kuwatenga baadhi ya wavumbuzi, watu wenye akili sana au hata mtu aliyeonekana kuwa atachukua uongozi wa nchi.

Basi , walimpakazia kuwa ana asili au mama yake mzazi alizaa na hao viumbe wa kusadikika ili watu wapate hofu ya kumchagua au kumkubali hata kufikia hatua ya kumtenga fulani hivi.

Siku hizi, za dini ya warabu pori na wazungu koko mnawaita hao viumbe wa kufikilika (aliens) kuwa ni mapepo au majini siju maruhani.

Mbona huku Afrika hawajawahi kuja!?

Kwa nini hawajawahi kuwakamata live.watuoneshe kwenye taarifa zao na aweke eneo tukamuone sote?

Je mahitaji yao hapa duniani yameisha kama ilivyokuwa hapo awali kuwa walikuwa wanakuja kuchukua mitambo na machine zao huku chini ya ardhi?

Wazungu koko ni wanafiki na watu wa fitina sana.

Any way, waafrika nao ni balaa tupu, wakiambiwa au kusikia tu chochote watazunguka nacho miaka Nenda rudi mwisho watajiaminisha kuwa ni ukweli.

Hata, Obama , mwaka 2008 walioanza kusema habari za ajabu juu yake kuwa naye anaongozwa na mara mapepo, oooh oooh ana alama Kichwani kama aliyeondolewa ubongo akawekewa mitambo ndani ya fuvu /Kichwa chake mara ana mkono wa kivuli.

Ila hali hizo zote ni kutaka kufanya mtu apoteze mvuto na kukubalika.
Alien na majini ni vitu viwili tofauti mpaka hapo
Ila hii ni njama ambayo USA anaitumia kuwaaminiaha watu dunia ipo hatarini kuvamiwa sasa kunahaja ya kutunga sheria kwaajil ya kuikinga dunia na hao viumbe, kama kuwekewa micro chip, maas survillence n.k
 
Alien na majini ni vitu viwili tofauti mpaka hapo
Ila hii ni njama ambayo USA anaitumia kuwaaminiaha watu dunia ipo hatarini kuvamiwa sasa kunahaja ya kutunga sheria kwaajil ya kuikinga dunia na hao viumbe, kama kuwekewa micro chip, maas survillence n.k

Ni usela tu wa USA.
Ndiyo maana nimeandika kuwa hao wazungu koko wanapenda sana sifa. Kama hiyo issue ingekuwa ukweli Lazima wangekuwa wametukamatia mmoja wapo na kuuuonesha ulimwengu wote.

Tatizo ni moja tu kuwa , capitalist anaweza akakujengea hofu hata juu ya USO wako kuwa siyo mzuri ili tu akuuzie USO mpya.
 
Bangi sio lazma iwe majani hata karatasi tunazosoma(vitabu) vinaweza kugeuka na kua bangi
Brother hata aliyegundua kuwa dunia ndo inazunguka jua alikataliwa miongo mingi.wamekuja kuamini baadaye baada ya hata yeye kufa.tuwe na akiba ya maneno
 
Brother hata aliyegundua kuwa dunia ndo inazunguka jua alikataliwa miongo mingi.wamekuja kuamini baadaye baada ya hata yeye kufa.tuwe na akiba ya maneno

Ignatius31 ,
Mkuu siyo hi issue ya aliens.
Hakuna wala havitakuja.

Tatizo wazungu koko ni wanafiki na kujifanya kujua hata visivyo kuwepo. Na hata visivyokuwepo vitaumbwa ili waonekane kuwa wao ni much knows.
 
Unaongelea imani za imani hapa.

Ila , hakuna cha aliens wala viumbe wenye akili sijui wavumbuzi .
Nothing do exists named as aliens.




White pigs always they don't accept anything good to come from Africa.
Or to hear anything great that they can't do or posses belonging to other races.

In short they failed to copy and build the same pyramid either in USA or Europe so, they decided to demonize those structures.

They used insolent words against OBama from 2008 till 2012 because he was very smart than most of white pigs.
Some named him that he's possed by devil, he's having a transparency hand which is not of human being and so forth.

White men, have failed to build pyramids therefore they can't argue in a positive approach with relations to those pyramids.

Failure can't correct success!
Kwa hiyo maelezo yako wewe kuhusiana na maajabu haya, ukiachilia mbali hayo mengine, ni yapi?
 
Alien na majini ni vitu viwili tofauti mpaka hapo
Ila hii ni njama ambayo USA anaitumia kuwaaminiaha watu dunia ipo hatarini kuvamiwa sasa kunahaja ya kutunga sheria kwaajil ya kuikinga dunia na hao viumbe, kama kuwekewa micro chip, maas survillence n.k

Daah shauri yako wale wa virginia watakuchukia sana na watakutafuta mpaka uvunguni Hahahahahaha na wakija hata King hatawazuia utajua mwenyewe
 
Kwa hiyo maelezo yako wewe kuhusiana na maajabu haya, ukiachilia mbali hayo mengine, ni yapi?

Makanyaga,
Mkuu,
Mimi ninachojua ni kuwa wazungu koko wanataka kufanya jamii zingine zikae kwa uoga Fulani na kuwaabudu wao.

Kwa mfano, leo hii hizi movies za Vampires na Zombies zinatengenezwa kama movies ila kuna watu huku ao hao wazungu koko wanaanza kudai kuwa miaka siyo mingi sana ijayo ni kweli kuwa hao vampires na zombies watakuja na watakuwa wanaua watu. Ila sasa hivi wataalamu wao wa chemistry, physics na biology wanasoma miundo mbalimbali ya kitaaluma ili siku wakija basi Dawa/ Tiba iwepo ili atakaye ng'atwa au kugusana na hao viumbe asibadilike na kuwa zombie au vampire.

Kwa hiyo, hii ni biashara ya wazungu koko ila sasa wanatumia hadi mbinu chafu ili kuuza bidhaa zao.

Mfano, worldwide biashara ya silaha inaongoza kwa kuingizia mataifa makubwa kiteknolojia fedha. Ikifatiwa na vitu kama vifaa tiba na dawa, machine mbalimbali na n.k.n.k.
Ila angalia wanaofaidika ni ao hao wazungu koko.

Kwa hiyo, hata hii kuna issue inatengenezwa ya kuzuia hao viumbe wa kufikirika waitwao aliens ili dunia nzima/ nchi zote zinunue kwa kuwaaminisha watu kuwa bila hicho kitu/kifua basi hao Aliens wataingia kwenye hiyo nchi na kuleta madhara makubwa sana hadi hata vifo vya watu.

Any way, Africa, we are in a wrong side of the line.

Na ndiyo maana , hadi unasikia porojo zao ni kuwa hao viumbe wanaruka kutoka South kwenda North parts of the globe mean that, wanatoka Afrika, Latin American na kuekekea USA na Europe hadi Eastern Europe yaani Russia.

Ukiangalia huo uelekeo ni kule kule kwenye machines na technology kiasi kwamba wao watawadhibiti ila huku wanakotoka tutamalizwa. Hivyo, dawa ni kununua mitambo au vifaa vya kuwazuia hao aliens kwa hiyo ni mchezo wa karata Fulani tunaochezeshwa huku anayetakiwa kushinda aliisha andaliwa hata kabla ya kuanza game yenyewe.

Kwa hiyo, hakuna cha aliens wala zombie au vampires Bali ni story za kutungwa kwa madhumuni ya kibiashara au kuogopesha watu na kutafuta kuabudu wazungu koko.

Zaidi ya hapo, nitaamini siku wakimkamata alien na watoto wake watuwekee pale New York , Brussels au London ama hata hapo South Africa or hapa Wellington, New Zealand ili tukawashuhudie.

Ndiyo maoni ya Poise na msimamo wa Poise ndiyo huo na hautabadilika. Mipaka pale labda watakapo mleta alien mmoja live au hata na vitoto vyake ndipo nitakubali hizo habari.
Bila hivyo zinabakia kuwa ni story za Alinacha na zile story za Abunuwasi.
 
Uwepo wa viumbe vywenye akili katija sayari zingine sio za leo wala jana. Hili la kutembelea dunia sio la ajabu. Changamoto ni capabilities za miili na technolojia. Mfano sisi binadamu tunatumia oxygen kule kwingine sidhani kama oxy ipo. Sisi tunatumia visible rays wao nadhani wanatumia hizi zingne. So kuwepo kwao nimi wala sidhani kama bi science fiction
 
Back
Top Bottom