Lole Gwasika,
Na hata Mapinduzi ya Zanzibar mbona huyo Sultan alikimbilia Uingereza na sio kurudi kwao. Utawala wa Sultan Zanzibar ulikuwa ni wa mkimbizi aliyepata hifadhi na kuanza makazi mapya tofauti na hizi historia tunazopewa. Kisha nashindwa kuelewa unapojaribu kulkinganisha nguvu ya Malkia wa Muingereza, Mjarumani au mreno na Sultan wa Oman
Oman of all countries -waliokuwa maskini hata kutuzidi sisi! unaiweka hoja yako ktk misingi ya dini yao na sii kwamba Oman was poor kama sisi wenyewe..I mean mkuu nashindwa hata kukuelewa kabisa kama kweli wewe unafikiria kuwa mkoloni huyo Sultan wa Oman angeweza kuiendeleza Tanzania kama angekuwa Mkristu..
Nimekuapata lakini bado unaichanganya historia yetu.. waarabu walikuja nchini hata kabla ya karne hizo na hawakuja na Uislaam au kueneza Uislaam isipokuwa kufanya biashara. Zipo kumbukumbu nyingi zinazoonyesha walikuja kabla hata ya Uislaam wenyewe. Kwa mfano Persian Na Washiraz walikuja pwani zetu kununua bidhaa kabla hata huyo Sultan wa Oman hajaweka mguu wake pwani ya Mombasa baada ya kukimbia Muscat. Na hata Sultan alipochukua nchi na kuweka kambi yake Zanzibar (in hiding) hakuwa mtawala kama Muingereza alivyokuwa Bara na Kenya.Sasahapo mkuu ndio tunaanza kuto fautiana.
Wakati mwarabu alikuwa na dini yake ya Uislamu, Mzungu naye aliingia na dini yake ya Ukristo. Sehemu walizo kaaa hawa wakolni(wote wazungu,waarabu) waliibadili jumuia hiyo kuingia dini zao.
Inawezekana kabisa resistance ya waarabu kwa ukoloni wa kizungu ilikuwa kutohusiana kwa aina yoyote socially na mikakati ya wazungu.
Hii inajidhihirisha hata pale Zanzibar kwani mkoloni pale alikuwapo lakini maendeleo ya kielimu bado hayakuwa makubwa sana.
Hii inaweza kuwa mada kubwa sana ya utafiti lakini ukweli ni kuwa alipokuwepo mwarabu mkoloni mzungu hakupashughulikia sana kama pale alioishi mwenyewe.
Na hata Mapinduzi ya Zanzibar mbona huyo Sultan alikimbilia Uingereza na sio kurudi kwao. Utawala wa Sultan Zanzibar ulikuwa ni wa mkimbizi aliyepata hifadhi na kuanza makazi mapya tofauti na hizi historia tunazopewa. Kisha nashindwa kuelewa unapojaribu kulkinganisha nguvu ya Malkia wa Muingereza, Mjarumani au mreno na Sultan wa Oman
Oman of all countries -waliokuwa maskini hata kutuzidi sisi! unaiweka hoja yako ktk misingi ya dini yao na sii kwamba Oman was poor kama sisi wenyewe..I mean mkuu nashindwa hata kukuelewa kabisa kama kweli wewe unafikiria kuwa mkoloni huyo Sultan wa Oman angeweza kuiendeleza Tanzania kama angekuwa Mkristu..