Fundi Mchundo
Platinum Member
- Nov 9, 2007
- 10,448
- 8,705
Na kadai Nyerere aliwahi kusema Muhindi asiruhusiwe kuongoza Waislam. Nyerere ambae alikaribia kugombana na wenzie akitetea usawa wa wote, wahindi, wazungu, waafrika. Mada ni uislamu. Msemaji mwongo na wewe, kama wewe sio yeye, pia mwongo mkubwa
Julius Nyerere huyo ambaye wakati wenzake wanasherehekea Iddi Amin kuwafukuza wahindi Uganda yeye aliuita ni ubaguzi wa rangi na dhulma! Julius Nyerere huyo ambaye katika baraza lake la mawaziri hakukosekana mhindi na/au mzungu. Au ni Nyerere mwingine tunayemzungumzia?
Amandla......