Lole Gwakisa
JF-Expert Member
- Nov 5, 2008
- 4,768
- 2,361
Lole Gwakisa umepatia kuhusu sehemu wanazoishi waislamu wengi kuwa duni na kukuongezea pia hudunishwa. Mimi sikulaumu kwa kufikiri waislamu ni wavivu na wacheza ngoma na wasio taka shule kwani hapo ndipo upeo wako wa kufikiri ulipofika,nani anaweza kumkatalia mtu upeo wake? Inawezekana kabisa waislamu ni wavivu na wacheza ngoma na mambo mengine yote wayafanyayo kujidunisha. Waislamu wa Pemba Kilwa, Kigoma, Tabora, Tanga, Lindi, Mtwara na kwingineko Tanzania wote wana tabia zinazofanana kwa sababu ya tamadunizao za kiislamu. Tamaduni ambazo no tofauti kabisa na zile za Indonesia, Malaysia, Falme za kiarabu na kwingineko kote duniani. Waislamu wa Tanzania labda tatizo lao la kibaiolojia zaidi, wana genes za umasikini na kuwa duni si et eeeh Gwakisa. Hii inawezekana, kama waislamu wote duniani wamezaliwa na genes za kuwa magaidi kwa nini hili lishindikane? Upeo wa kufikiri ndio mpaka wa fikra kwa kila binadamu kufikia tawala zingine za tafakuru ya juu. Hebu hakikisha theory yako ya uduni wa waislamu na kukua na kuzaliwa kwa black nation katika USA, kisha soma Galtung theory of Core and Periphery halafu uone kama mpaka wa upeo wako utaongezeka au la halafu uje uwaambie wana JF
Usiishie kulaumu tu , do something about it.
Umasikini upo tena kwa sana tu , na si kwa waislamu tu, mtu wa Kasulu atasema nini?
Umasikini wenu wa mawazo na ubinafsi wa umimi utakuangamiza kimaendeleo.Deep down dhana, nafikiri, ya Mohammed Said kuweka na kupublicise allegations zake dhidi ya Nyerere, mimi nakiona kama kilio cha mtanzania mwingine anayelilia maendelea, jambo ambalo si baya.
Jambo la kusikitisha ni kumtwika Nyerere ukosefu wako wa maendeleo ukijitambulisha kwa kundi moja tu, kama mwislamu.
Matatizo kama haya ya kukosa maendeleo jamii inayoyahitaji kila mahali nchini, nenda sehemu mbali mbali za nchi na utakuta matatizo kama haya.
Tatizo lako Domokaya na wengine ni kujilinganisha maendeleo yako katika misingi ya kidini.Hapo utashindwa, tena vibaya, siyo siri.Na sababu si za kidini bali za kihistoria.Ukae ukielewa hilo.
Matatizo haya yanaweza kutatuliwa from the root.Tujenge shule sehemu hizi zote, tulime na tufanye kazi, hakuna njia ya mkato.