Ukweli Kuhusu Wahafidhina Wanaomnanga Hayati Magufuli

Ukweli Kuhusu Wahafidhina Wanaomnanga Hayati Magufuli

Alisema JPM alikufa kwa COVID.

Usijitie kusshau.

Hao wastaafu ambao umewatafsiri wewe hawakutajwa majina na kuna wakati tushawahi kusikia voice note za wastaafu wakimuita huyo mnayemtukana kuwa ni mshamba.

Ubishi ni tafsiri yako
Ni mbaya pia kujua kama hujui ni mbishi! Nn unapinga kua hakuwasema wastaafu wana washwawashwa? Yaan unataka uamunishe jukwaa kua hakuwahi kuwasema vby ila yeye ndo anasemwa vby? Not on that way u think!!
 
Alisema JPM alikufa kwa COVID.

Usijitie kusshau.

Hao wastaafu ambao umewatafsiri wewe hawakutajwa majina na kuna wakati tushawahi kusikia voice note za wastaafu wakimuita huyo mnayemtukana kuwa ni mshamba.

Ubishi ni tafsiri yako
Pia kufa kwa COVID sio kusemwa vby! Wao waliokua kweny system ndio wanajua, sasa unalalamika nn mkuu? Kufa kwa COVID sio tusi wala sio ubaya ni ugonjwa kama magonjwa mengine. Ni vzr ulete alilosemwa vby na Rais Samia!!
 
Kiongozi mmoja alisema "Mwananchi mmoja akiumia nisooote tumeumia, haki yakila mmoja nimsingi wa haki zetu sooote"
Haki au uhuru wa maoni ya mwananchi umeutendea vizuri, sihitaji kukukatisha tamaa wala kujibu kwa mtazamo wako ila najibu kulingana na uongo unaotaka sijui kumuaminisha nani!.

Kwanza; huyo mwananchi unayemsema akiumia nyote mmeunia ni yupi huyo?.

Pili; toka lini wewe/nyie mkaiishi hiyo slogan 'mmoja wingi wenu' toka lini au ni wkt wa kpnd cha jembe?

Na my opinion point umeegemea kwa wahafidhina kama wewe, sipo kwa ajili ya utetezi wa marehemu NO, nasimama na yule anaonekana hafai kwa mtu kama wewe/nyie.
 
Pale mwisho wa andiko langu nimeandika ruksa kutukana na kuandika chochote unachoona nafsi yako itafurahi, hapo nimeona umetenda sawasawa na nafsi yako 👏🏾👏🏾👏🏾.

Sasa kijana wangu fazili unakopi ujinga unataka kuusadikisha kwenye werevu eeh?.

Kwa nini usianzishe mada yako huko na huyo kijana mwenzako aliyekupa hilo andiko?.

Umeshindwa kuitumikisha akikinyako kuelewa mhafidhina ni nani?, Basi anza kuelewa na wewe ni mmoja wapo.
 
Sasa kwa nini uchaguzi wa 2020 ulifinyangwa vile??
Issue ya uchaguzi tutaiangalia kwenye mada ijayo now tunasema "Ukweli kuhusu Wahafidhina Wanaomnanga Magufuri"
 
Sawa kabisa comrade kwa mawazo yako ila wakati mnatumia nguvu kubwa sana kufanya haya mnayofanya, nakukumbusha jambo hapa, wengi wa kizazi hiki wao wameona na kugusa.

Hiyoan awkward person mnayoitumia kwa nguvu inapaswa ukiwa hai for 40yrs ndipo uanze kudanganya hao utakaokuwa nao but for this touched generation!.
Hatuhitaji kutumia nguvu kubwa kueleza ubaya wa Magufuli, kwa sababu yeye mwenyewe alifanya kazi kubwa na ya wazi kuonesha hayo.

Sisi tunafanya marejeo tu.

Tatizo tuna uelewa tofauti. Sasa unategemea mimi nifikiri sawa na mtu ambaye hajui uhuru wake, hajui haki za binadamu, hajui sheria, hajui historia, hajasoma, hajui Kiingereza kupanua wigo wa mawazo, hajasafiri kufika hata Kenya?

Watanzania wengi ndio wapo katika kundi hilo, wajinga, wanaridhika kirahisi, wanaongozwa na woga, wanataka mbabe fulani na kuona ubabe ndiyo uongozi mzuri, hawataki kutetea uhuru wao.

Sasa watu hao wakimpenda mtu kwa ujinga wao, wingi wao ndio unafanya waliposimama pawe sawa?

Unaweka hoja kwamba wingi ndiyo kuwa sawa, nchi yenye wajinga wengi wajinga wengi wanaweza kupenda kitu kibaya kinachowaumiza wao wenyewe.

Magufuli kanunua ndege za dola milioni 726, katika nchi ambayo haina hata business plan ya kuendesha biashara ya ndege.

Halafu tunaambiwa kilimo ndiyo uti wa mgongo wa Tanzania, na bajeti ya kilimo cha umwagiliaji ni dola za Marekani milioni 16, hiyo bei ya nyumba moja tu hapo Malibu.

Yani tuendelee kulima kwa kutegemea mvua za kudra wakati hela zote hizo tunanunulia ndege!

Tena ndege zenyewe zinaishia kukamatwa huko nje kwa madeni. No staregic planning at all.

Wewe unamuona huyo mtu anajua priorities za nchi?

 
Angekuwa na watu wengi hivyo angenajisi uchaguzi? Matokeo ya kweli ya uchaguzi aliyoonyeshwa hata yeye alichoka kabisa. Kipimo halisi cha kiongozi kukubalika ni kuheshimu uchaguzi. Haya ya kutuambia alikuwa anakubalika sana huko mitaani, kisha akapora uchaguzi ni vichekesho.
Mkuu kuna ethics fulani nadhani uhifaham but naomba leo nikifahamishe.

Unaweza usikubalike au kupendwa siku ya kwanza kazini kwako na hiyo itatokana na ulivyokataliwa vyovyote vile.
°But ukiwa kwa hao wasiokupenda ukatengeneza legacy yako hao hao waliokukataa wanakuja na watakuelewa ipasavyo, hicho ndicho kilichotokea -pinga (kwa sababu una uhuru)
 
Kwa kifupi Jiwe alikuwa laana kwa taifa
watanzania wengi wanapenda kupigwapigwa, ndivyo walivyolelewa.

Na ndiyo maana wakipata rais anayewapigapiga wanamuona kuwa ndiye kiongozi wao mzuri.

Na hata huyo kiongozi naye kazoea kupigwapigwa. Ndivyo alivyolelewa.

Na akipata ukubwa, anaona ndiyo muda wake wa kupigapiga watu na yeye.

Yani tushazoea kupigwapigwa, ukianza kusema "jamani eeh, huku kupigwapigwa si sawa, twende kwa sgeria".

Wewe ndiye unaonekana mtu wa ajabu.

Ndiyo maana kuna Watanzania wengi huwaambii kitu kuhusu Magufuli.

Ni kama wale wanawake wanaotoka kwenye makabila yenye tamaduni zilizowafundisha kwamba, mwanamme asiyekupiga hakupendi.

Yani wabongo wanaweza kudanganywa na visiasa vya kitoto kabisa, wakati mambo ya msingi wanayaacha.
 
Mkuu kuna ethics fulani nadhani uhifaham but naomba leo nikifahamishe.

Unaweza usikubalike au kupendwa siku ya kwanza kazini kwako na hiyo itatokana na ulivyokataliwa vyovyote vile.

°But ukiwa kwa hao wasiokupenda ukatengeneza legacy yako hao hao waliokukataa wanakuja na watakuelewa ipasavyo, hicho ndicho kilichotokea -pinga (kwa sababu una uhuru)
Legacy moja kubwa ya Magufuli ni kutoheshimu utawala wa sheria.

Wewe rais gani anasema ataua upinzani? Rais gani anazuia upinzani kufanya mikutano ya hadhara inayoruhusiwa kikatiba?

Tunasema tuna katiba mbovu, hata hiyo mbovu hakuiheshimu.
 
Hatuhitaji kutumia nguvu kubwa kueleza ubaya wa Magufuli, kwa sababu yeye mwenyewe alifanya kazi kubwa na ya wazi kuonesha hayo.

Sisi tunafanya marejeo tu.

Tatizo tuna uelewa tofauti. Sasa unategemea mimi nifikiri sawa na mtu ambaye hajui uhuru wake, hajui haki za binadamu, hajui sheria, hajui historia, hajasoma, hajui Kiingereza kupanua wigo wa mawazo, hajasafiri kufika hata Kenya?

Watanzania wengi ndio wapo katika kundi hilo, wajinga, wanaridhika kirahisi, wanaongozwa na woga, wanataka mbabe fulani na kuona ubabe ndiyo uongozi mzuri, hawataki kutetea uhuru wao.

Sasa watu hao wakimpenda mtu kwa ujinga wao, wingi wao ndio unafanya waliposimama pawe sawa?

Unaweka hoja kwamba wingi ndiyo kuwa sawa, nchi yenye wajinga wengi wajinga wengi wanaweza kupenda kitu kibaya kinachowaumiza wao wenyewe.

Magufuli kanunua ndege za dola milioni 726, katika nchi ambayo haina hata business plan ya kuendesha biashara ya ndege.

Halafu tunaambiwa kilimo ndiyo uti wa mgongo wa Tanzania, na bajeti ya kilimo cha umwagiliaji ni dola za Marekani milioni 16, hiyo bei ya nyumba moja tu hapo Malibu.

Yani tuendelee kulima kwa kutegemea mvua za kudra wakati hela zote hizo tunanunulia ndege!

Tena ndege zenyewe zinaishia kukamatwa huko nje kwa madeni. No staregic planning at all.

Wewe unamuona huyo mtu anajua priorities za nchi?

Utakuwa mwandishi mzuri sana, but na huyu ni nani sasa 👇🏾aliyeruhusu kujengwa kwa hili dege?
 
Utakuwa mwandishi mzuri sana, but na huyu ni nani sasa 👇🏾aliyeruhusu kujengwa kwa hili dege?
That's logical non sequitur.

Watanzania wengi hawajui kufikiri kimantiki.

Yani ukimsema vibaya Magufuli moja kwa moja wanakuona wewe ni mtu wa Samia.

Mimi wote siwakubali.

Namuona Samia kama mwanafunzi wa Magufuli tu.

Na kwa hivyo, post yako ni moot and pointless kwangu.

Ingekuwa na maana kama mimi ningekuwa namsifia Samia.

Jaribu kutumia mantiki, badala ya kutumia hisia tu.
 
Yaani huo ndiyo ukweli, wanaomkubali Hayati Magufuli ni majority kubwa kuliko hawa hawa wanaorusha mawe na mikuki kwa marehemu.

Magufuli alikuwa anakubalika na wamachinga,bodaboda na mama ntilie kwasababu aliwapa uhuru wa kuvunja sheria za mipango miji kwa kufanya biashara kati kati ya barabara ,kufanya biashara kwenye road reserve ,kufanya biashra kwenye mitaro ili mradi umelipa elfu 20 ya kitambulisho hewa ,yaani ukilipa elfu 20 ukaja kutandaza machungwa kati kati ya road reserve hakuna mtu wa kukuzuia hata kama wakija mgambo na kukunyanyasa basi magufuli aliotoa namba yake wampigie....Makundi hayo ndiyo yalimpenda magufuli.

Kundi jingine lililompenda JIWE ni lile la Kikosi kazi ,waporaji wa mali za wafanyabiashara,wazeee wa plea bargain.

Kundi la tatu lililompenda JIWE ni The Big Chawaz hawa ndiyo kina Bashite ,sabaya,mnyeti etc
 
Rais gani anazuia upinzani kufanya mikutano ya hadhara inayoruhusiwa kikatiba?
😂 Ahahahhaaaaa, imebidi nicheke kwanza maana kuna wkt unaweza kuisi kama dunia si mahali salama pa kuishi.

Unaweza kutafuta new logical fallacy kutuambia Magu ndiye Rais wa kwanza kuvunja katiba yetu, ahahahaa.
 
Back
Top Bottom