Ukweli Kuhusu Wahafidhina Wanaomnanga Hayati Magufuli

Ukweli Kuhusu Wahafidhina Wanaomnanga Hayati Magufuli

Wewe unataka mimi tu nijibu swali, wewe hujibu?
Hukuniuliza swali ila umenipiga na msonobali kisa sijasoma l na r, nasubiri kusoma hayo matatizo ya late mwamba!.
 
Hukuniuliza swali ila umenipiga na msonobali kisa sijasoma l na r, nasubiri kusoma hayo matatizo ya late mwamba!.
Basi na mimi nitakujibu baada ya miezi 10 tuende sawa. Usijione wewe tu ndiye unayeweza kujibu watu baada ya miezi 10 na ukategemea mazungumzo yaendelee tu.
 
Basi na mimi nitakujibu baada ya miezi 10 tuende sawa. Usijione wewe tu ndiye unayeweza kujibu watu baada ya miezi 10 na ukategemea mazungumzo yaendelee tu.
Acha hasira kijana wangu, nilisafiri plus majukumu hatari hivyo nimerudi nyumbani Tanganyika, twende kazi.
 
Mkuu, Rais SSH anachokifamya toka alipokabidhiwa madaraka ni "paradigm shift" kutoka mfumo uliokuwepo wa "one man show" pale alipohudumu chini ya aliyekuwa bosi wake, na sasa anajitahidi kuendesha serikali yake katika mfumo wa kitaasisi zaidi.
Kuwarudidhia wezi hela zao!, na kuwarudisha kazini majizi woote waliotumbuliwa na magufuli!?.
 
Back
Top Bottom