Ukweli mchungu: Asilimia 70 ya wanawake walioolewa hawawapendi waume zao

Ukweli mchungu: Asilimia 70 ya wanawake walioolewa hawawapendi waume zao

Balqior

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2021
Posts
2,406
Reaction score
8,039
Habarini,

Nimefanya huu uchunguzi usio rasmi, kwenye ndoa nyingi, ukiuliza mwanamke love story yake ya jinsi alivokutana na mmewe, utapata moja ya majibu haya:

1) Watakwambia hivi (nawanukuu)

"Yani huyu mume nilie nae wala hata sikuwa namuwaza, alitumia mwaka mzima kunitongoza, nilimzungusha mda mrefu, nilikuwa na boyfriend wangu mwingine niliempenda, sema boyfriend mwenyewe alikuwa haeleweki"

Which means mume aliolewa nae alikuwa second choice, baada ya first choice yake kushindikana, au baada ya kuona aina ya wanaume anaowataka hawamtongozi, au hawa-commit kwake. Ila kwenye ndoa hizi za type ya 1, kama mke na mme mnajielewa, ndoa itadumu hadi kifo kiwatenganishe.

2)Ni aina ya wanawake ambao wameingia kwenye ndoa kutafuta unafuu wa maisha k.v Joyce kiria alikiri kuingia kwenye ndoa sababu alikuwa na hali ngumu kiuchumi, wanawake wengi sana hu-fall kwenye hii category. Ubaya ni kwamba unaishi na mke ndani unamhudumia hela, ila ile raw physical attraction juu yako anakuwa hana, so kimoyomoyo anakuwa anateseka na anakuvumilia, akiwa mwema ataishi na wewe, mwishowe atakuzoea mtakuwa na bond ya urafiki. Akishindwa baada ya mda mfupi atadai talaka, au atakuletea mtoto wa nje, au atakufanyia vituko vingi ndoani, maana ataona kila unachofanya ni kero.

This is one of the reason ambayo Ina explain why wadada wengi ambao ni successful corporate ladies wako kwenye umri wa kuolewa ila bado wapo single, ni kwasababu pesa wanazo, sasa kupata mwanaume ambae ni handsome ambae atawaoa, hapo ni changamoto, wanaishia kukutana na wanaume wana kazi na hela kama wao, lakini hao wanaume wana sura mbaya, hivyo wanabaki kuwa kwenye dillema.

Wanaishia kujifariji kwa maneno yao kama "nina hela, mwanaume atanipa nini", "mwanamke ukiwa na hela hata nyege zinakata" n.k

Wanaume tuwe macho.
 
Habarini,

Nimefanya huu uchunguzi usio rasmi, kwenye ndoa nyingi, ukiuliza mwanamke love story yake ya jinsi alivokutana na mmewe, utapata moja ya majibu haya:

1) Watakwambia hivi (nawanukuu)

"Yani huyu mume nilie nae wala hata sikuwa namuwaza, alitumia mwaka mzima kunitongoza, nilimzungusha mda mrefu, nilikuwa na boyfriend wangu mwingine niliempenda, sema boyfriend mwenyewe alikuwa haeleweki"

Which means mume aliolewa nae alikuwa second choice, baada ya first choice yake kushindikana, au baada ya kuona aina ya wanaume anaowataka hawamtongozi, au hawa-commit kwake. Ila kwenye ndoa hizi za type ya 1, kama mke na mme mnajielewa, ndoa itadumu hadi kifo kiwatenganishe.

2)Ni aina ya wanawake ambao wameingia kwenye ndoa kutafuta unafuu wa maisha k.v Joyce kiria alikiri kuingia kwenye ndoa sababu alikuwa na hali ngumu kiuchumi, wanawake wengi sana hu-fall kwenye hii category. Ubaya ni kwamba unaishi na mke ndani unamhudumia hela, ila ile raw physical attraction juu yako anakuwa hana, so kimoyomoyo anakuwa anateseka na anakuvumilia, akiwa mwema ataishi na wewe, mwishowe atakuzoea mtakuwa na bond ya urafiki. Akishindwa baada ya mda mfupi atadai talaka, au atakuletea mtoto wa nje, au atakufanyia vituko vingi ndoani, maana ataona kila unachofanya ni kero.

This is one of the reason ambayo Ina explain why wadada wengi ambao ni successful corporate ladies wako kwenye umri wa kuolewa ila bado wapo single, ni kwasababu pesa wanazo, sasa kupata mwanaume ambae ni handsome ambae atawaoa, hapo ni changamoto, wanaishia kukutana na wanaume wana kazi na hela kama wao, lakini hao wanaume wana sura mbaya, hivyo wanabaki kuwa kwenye dillema.

Wanaishia kujifariji kwa maneno yao kama "nina hela, mwanaume atanipa nini", "mwanamke ukiwa na hela hata nyege zinakata" n.k

Wanaume tuwe macho.
Mkuu hayo ndio maisha yalivyo,there is no such thing as perfect couple,lazima mmoja atampenda sana mwenzake na mwingine itakuwa sio sana au hampendi kabisa,na kinyume cha kupenda sio kuchukia.

Kama mtu anaweza kuishi na rafiki miaka na miaka kwa kupeana sapoti za kimaisha vipi MIMI NISIWEZE KUISHI NA MWANAMKE ANAYENIPA SAPOTI NA UCHI WAKE PIA ZAIDI YA YULE RAFIKI ?

So kwangu mimi ndoa imekuwa overrated saaaaaana kiasi kwamba tumeaminishwa kwamba hatuwezi kuishi bila kupendana kotu ambacho sio kweli.

Mnaweza msipendane na mkaishi vizuri huku mkifanya mapenzi pale mnapopata hamu ya tendo.

WAnaume tunaweza kukojoa kwenye tendo na tukaridhika hata kama tunayefanya nae hatukumpenda ile kimapenzi.

Na wanawake ndio hivyo hivyo wanaweza kuridhoshwa na mtu ambaye hata hajampenda lakini kwa kuwa ana upwiru basi atatidhishwa na maisha yanaendelea.

KAdri mnavyozidi kuishi na kufanyiana mema mtajikuta mnatengeneza muungsniko wa aina yake ambao hata ndoa zingine hauna.
 
Mkuu hayo ndio maisha yalivyo,there is no such thing as perfect couple,lazima mmoja atampenda sana mwenzake na mwingine itakuwa sio sana au hampendi kabisa,na kinyume cha kupenda sio kuchukia.

Kama mtu anaweza kuishi na rafiki miaka na miaka kwa kupeana sapoti za kimaisha vipi MIMI NISIWEZE KUISHI NA MWANAMKE ANAYENIPA SAPOTI NA UCHI WAKE PIA ZAIDI YA YULE RAFIKI ?

So kwangu mimi ndoa imekuwa overrated saaaaaana kiasi kwamba tumeaminishwa kwamba hatuwezi kuishi bila kupendana kotu ambacho sio kweli.

Mnaweza msipendane na mkaishi vizuri huku mkifanya mapenzi pale mnapopata hamu ya tendo.

WAnaume tunaweza kukojoa kwenye tendo na tukaridhika hata kama tunayefanya nae hatukumpenda ile kimapenzi.

Na wanawake ndio hivyo hivyo wanaweza kuridhoshwa na mtu ambaye hata hajampenda lakini kwa kuwa ana upwiru basi atatidhishwa na maisha yanaendelea.

KAdri mnavyozidi kuishi na kufanyiana mema mtajikuta mnatengeneza muungsniko wa aina yake ambao hata ndoa zingine hauna.
Perfect couple wapo but hiyo ni 1%, very very very rare. The rest ni interest zimewaleta hapo
 
Habarini,

Nimefanya huu uchunguzi usio rasmi, kwenye ndoa nyingi, ukiuliza mwanamke love story yake ya jinsi alivokutana na mmewe, utapata moja ya majibu haya:

1) Watakwambia hivi (nawanukuu)

"Yani huyu mume nilie nae wala hata sikuwa namuwaza, alitumia mwaka mzima kunitongoza, nilimzungusha mda mrefu, nilikuwa na boyfriend wangu mwingine niliempenda, sema boyfriend mwenyewe alikuwa haeleweki"

Which means mume aliolewa nae alikuwa second choice, baada ya first choice yake kushindikana, au baada ya kuona aina ya wanaume anaowataka hawamtongozi, au hawa-commit kwake. Ila kwenye ndoa hizi za type ya 1, kama mke na mme mnajielewa, ndoa itadumu hadi kifo kiwatenganishe.

2)Ni aina ya wanawake ambao wameingia kwenye ndoa kutafuta unafuu wa maisha k.v Joyce kiria alikiri kuingia kwenye ndoa sababu alikuwa na hali ngumu kiuchumi, wanawake wengi sana hu-fall kwenye hii category. Ubaya ni kwamba unaishi na mke ndani unamhudumia hela, ila ile raw physical attraction juu yako anakuwa hana, so kimoyomoyo anakuwa anateseka na anakuvumilia, akiwa mwema ataishi na wewe, mwishowe atakuzoea mtakuwa na bond ya urafiki. Akishindwa baada ya mda mfupi atadai talaka, au atakuletea mtoto wa nje, au atakufanyia vituko vingi ndoani, maana ataona kila unachofanya ni kero.

This is one of the reason ambayo Ina explain why wadada wengi ambao ni successful corporate ladies wako kwenye umri wa kuolewa ila bado wapo single, ni kwasababu pesa wanazo, sasa kupata mwanaume ambae ni handsome ambae atawaoa, hapo ni changamoto, wanaishia kukutana na wanaume wana kazi na hela kama wao, lakini hao wanaume wana sura mbaya, hivyo wanabaki kuwa kwenye dillema.

Wanaishia kujifariji kwa maneno yao kama "nina hela, mwanaume atanipa nini", "mwanamke ukiwa na hela hata nyege zinakata" n.k

Wanaume tuwe macho.
Siyo wajibu wa Mwanamke kumpenda Mwanaume, kupenda katika mahusiano ni wajibu wa Mwanaume. Wanawake wanapaswa kuwa na heshima.
Mwanamke muulize kuhusu kupenda watoto na wazazi.
 
Sasa mwanamke tangu abarehe mpaka unakuja kumuoa ww tiyari amesha tembea na wanaume si chini ya 20 na ww ni wa 21 unategemea hayo mapenzi yatatoka wapi?

Mwanaume unatakiwa kuoa kwa malengo ya kuanzisha familia na sio sijui kupendwa na kuoneshwa mapenzi ya kinadharia yaliyoko kwenye tamthiria za kiphilipino.

Na ndio maana mwanaume anashauriwa akitaka kuoa atumie akili na sio hisia zilizo changanyika na nyege,na matamanio ,mwanaume kama mpenzi wako hata kama unampenda au anakupenda kiasi gani kama hana sifa za kuwa mama bora kwa watoto wako usithubuti kumuoa narudia tena usithubutu kumuoa.
Mwanaume unapo anzisha familia kinacho tazamwa ni masilahi ya watoto wako watakao zaliwa kwanza na sio hisia zako binafisi.
Kiufupi hakuna kitu kina kera hapa duniani kuwa na mama watoto mpumbavu na asiye jitambua hata angekuwa mzuri kama malaika.

Alafu kingine ukioa mwanamke anaye kupenda kupitiliza ni kero kubwa sana.
 
Wazungu wanasema women marry the available men. When it comes to women, they settle for who's ready not who they love.

Huyo mwanamke uliyemuoa sio kwamba anakupenda ni wewe tu ulikuwa na kimbelembele cha kumuoa ulikuwa available man.

Love and marriage is two big gap when it comes to women

Learn or perish
 
Habarini,

Nimefanya huu uchunguzi usio rasmi, kwenye ndoa nyingi, ukiuliza mwanamke love story yake ya jinsi alivokutana na mmewe, utapata moja ya majibu haya:

1) Watakwambia hivi (nawanukuu)

"Yani huyu mume nilie nae wala hata sikuwa namuwaza, alitumia mwaka mzima kunitongoza, nilimzungusha mda mrefu, nilikuwa na boyfriend wangu mwingine niliempenda, sema boyfriend mwenyewe alikuwa haeleweki"

Which means mume aliolewa nae alikuwa second choice, baada ya first choice yake kushindikana, au baada ya kuona aina ya wanaume anaowataka hawamtongozi, au hawa-commit kwake. Ila kwenye ndoa hizi za type ya 1, kama mke na mme mnajielewa, ndoa itadumu hadi kifo kiwatenganishe.

2)Ni aina ya wanawake ambao wameingia kwenye ndoa kutafuta unafuu wa maisha k.v Joyce kiria alikiri kuingia kwenye ndoa sababu alikuwa na hali ngumu kiuchumi, wanawake wengi sana hu-fall kwenye hii category. Ubaya ni kwamba unaishi na mke ndani unamhudumia hela, ila ile raw physical attraction juu yako anakuwa hana, so kimoyomoyo anakuwa anateseka na anakuvumilia, akiwa mwema ataishi na wewe, mwishowe atakuzoea mtakuwa na bond ya urafiki. Akishindwa baada ya mda mfupi atadai talaka, au atakuletea mtoto wa nje, au atakufanyia vituko vingi ndoani, maana ataona kila unachofanya ni kero.

This is one of the reason ambayo Ina explain why wadada wengi ambao ni successful corporate ladies wako kwenye umri wa kuolewa ila bado wapo single, ni kwasababu pesa wanazo, sasa kupata mwanaume ambae ni handsome ambae atawaoa, hapo ni changamoto, wanaishia kukutana na wanaume wana kazi na hela kama wao, lakini hao wanaume wana sura mbaya, hivyo wanabaki kuwa kwenye dillema.

Wanaishia kujifariji kwa maneno yao kama "nina hela, mwanaume atanipa nini", "mwanamke ukiwa na hela hata nyege zinakata" n.k

Wanaume tuwe macho.
Hii ni 100% ukweli. Na dalili muhimu kuwa mkeo alijilamizisha kuolewa ni.. Akikosea haombi msamaha, anataka kubembelezwa kwa makosa yake. Hana ubunifu kumhudumia mume, ni kama ana mlinzi nyumbani na hajui, mme ameoga, amekula, anaumwa, nguo chafu nk. Mkipishana kidogo, neno la kwanza nimechoka kunyanyaswa. Anakudunisha na wanaume wengine walio bora. Ukisafiri hakupigii hakujulii hali au kuuliza kama umefika salama. Ukimtania au kutaka kucheza na kufurahi naye atakuambia sitaki mambo ya kitoto toto. Hapendi muongozane au kutoka naye.
 
Back
Top Bottom