Ukweli mchungu: Asilimia 70 ya wanawake walioolewa hawawapendi waume zao

Ukweli mchungu: Asilimia 70 ya wanawake walioolewa hawawapendi waume zao

Wanawake ni viumbe vyenye Siri sana. Anaweza ishi na ww miaka hata mitano hakupendi kabisa na asikuonyeshe, hali hiyo ni tofauti na wanaume.... Ila ikatokea akakupenda huwaga wanapenda kupitiliza mpaka utajiuliza hivi ni huyu au mwingine Lovelovie
😁😁😁
 
Ukielewa huu msemo hautapoteza muda kwa mwanamke:-

1.Mwanamme akipata fedha anajali ndoa na kuidumisha.
2.Mwanamke akifanikiwa kiuchumi anawaza kuvunja ndoa kuishi independent.

Kwahiyo ukiona mwanamke yupo kwenye ndoa means hana pa kwenda ,yupo financially dependent kwa mme.
 
Hii ni 100% ukweli. Na dalili muhimu kuwa mkeo alijilamizisha kuolewa ni.. Akikosea haombi msamaha, anataka kubembelezwa kwa makosa yake. Hana ubunifu kumhudumia mume, ni kama ana mlinzi nyumbani na hajui, mme ameoga, amekula, anaumwa, nguo chafu nk. Mkipishana kidogo, neno la kwanza nimechoka kunyanyaswa. Anakudunisha na wanaume wengine walio bora. Ukisafiri hakupigii hakujulii hali au kuuliza kama umefika salama. Ukimtania au kutaka kucheza na kufurahi naye atakuambia sitaki mambo ya kitoto toto. Hapendi muongozane au kutoka naye.
Ukimtania au kutaka kucheza na kufurahi naye atakuambia sitaki mambo ya kitoto toto.

Dah [emoji3][emoji3]
 
Back
Top Bottom