Ukweli mchungu: Asilimia 70 ya wanawake walioolewa hawawapendi waume zao

Ukweli mchungu: Asilimia 70 ya wanawake walioolewa hawawapendi waume zao

Mleta Mada Fanya halaka kabla hazijauzwa au kupewa mtu mwingine shauri yako we chelewa tu mpaka muda huu kama hujabaki na boksa basi unacheka cheka ovyo fanya upesi uziwahi usiwasikilize wanaosema kwamba eti ni nywele waongo wadai halaka wakurudishie.
 
Hakuna Tafsiri maalumu ya haya mambo. Unaweza kumtongoza mwaka mzima Bado ukimuoa anakupenda tu Tena sana.

Hii hutokana na kwamba wanaume wengi huingia nagia ya kuoa ila akimla tu anaondoka nduki Kwa seep Kali sana.

Pia unaweza tongoza mwanamke ndani ya wiki tu ukamuoa halafu kule ndani kukawa Kuna Waka moto si utani!!

MIMI MWENYEWE.

Ukweli ni kwamba wote niliokuwa nao miadi ya kuja kuwaoa yaani mabinti nilikuwa nao malengo ya kuwaoa sikuwaoa wote.

Bali niliambiwa tu kuwa Kuna binti sehem fln kijijn anatabia ABC hivyo nenda ukamuone uoe huyo.

Vile sikuwa na muda wa hivyo nilijiridhisha tu kupitia huyo mtu aliyeniambia siku ya siku nikaenda direct kuchumbia sikuwahi muona Wala yeye kuniona na alikubali tukaoana ndoa ilifungwa maisha yanaendelea.

Changamoto zipo tu ila tuna furaha mno sijui Kwa upande wake yeye lkn kipindi nachumbia aliniambia tu kuwa anataka ajiendeleze kusoma kama nipo Tyr nikimuoa akasome sawa.

Nikamwambia hapana maana nahitaji mtu wakuwa nyumban nk
Alikubali baada ya kumpa nondo za maana.


Narudia hakuna formula. Wapo wanawake wapiga Dili wamekuja kwenye ndoa Kwa manufaa Yao tu nk
 
Hakuna Tafsiri maalumu ya haya mambo. Unaweza kumtongoza mwaka mzima Bado ukimuoa anakupenda tu Tena sana.

Hii hutokana na kwamba wanaume wengi huingia nagia ya kuoa ila akimla tu anaondoka nduki Kwa seep Kali sana.

Pia unaweza tongoza mwanamke ndani ya wiki tu ukamuoa halafu kule ndani kukawa Kuna Waka moto si utani!!

MIMI MWENYEWE.

Ukweli ni kwamba wote niliokuwa nao miadi ya kuja kuwaoa yaani mabinti nilikuwa nao malengo ya kuwaoa sikuwaoa wote.

Bali niliambiwa tu kuwa Kuna binti sehem fln kijijn anatabia ABC hivyo nenda ukamuone uoe huyo.

Vile sikuwa na muda wa hivyo nilijiridhisha tu kupitia huyo mtu aliyeniambia siku ya siku nikaenda direct kuchumbia sikuwahi muona Wala yeye kuniona na alikubali tukaoana ndoa ilifungwa maisha yanaendelea.

Changamoto zipo tu ila tuna furaha mno sijui Kwa upande wake yeye lkn kipindi nachumbia aliniambia tu kuwa anataka ajiendeleze kusoma kama nipo Tyr nikimuoa akasome sawa.

Nikamwambia hapana maana nahitaji mtu wakuwa nyumban nk
Alikubali baada ya kumpa nondo za maana.


Narudia hakuna formula. Wapo wanawake wapiga Dili wamekuja kwenye ndoa Kwa manufaa Yao tu nk
Mkuu hongera sana.
 
Habarini,

Nimefanya huu uchunguzi usio rasmi, kwenye ndoa nyingi, ukiuliza mwanamke love story yake ya jinsi alivokutana na mmewe, utapata moja ya majibu haya:

1) Watakwambia hivi (nawanukuu)

"Yani huyu mume nilie nae wala hata sikuwa namuwaza, alitumia mwaka mzima kunitongoza, nilimzungusha mda mrefu, nilikuwa na boyfriend wangu mwingine niliempenda, sema boyfriend mwenyewe alikuwa haeleweki"

Which means mume aliolewa nae alikuwa second choice, baada ya first choice yake kushindikana, au baada ya kuona aina ya wanaume anaowataka hawamtongozi, au hawa-commit kwake. Ila kwenye ndoa hizi za type ya 1, kama mke na mme mnajielewa, ndoa itadumu hadi kifo kiwatenganishe.

2)Ni aina ya wanawake ambao wameingia kwenye ndoa kutafuta unafuu wa maisha k.v Joyce kiria alikiri kuingia kwenye ndoa sababu alikuwa na hali ngumu kiuchumi, wanawake wengi sana hu-fall kwenye hii category. Ubaya ni kwamba unaishi na mke ndani unamhudumia hela, ila ile raw physical attraction juu yako anakuwa hana, so kimoyomoyo anakuwa anateseka na anakuvumilia, akiwa mwema ataishi na wewe, mwishowe atakuzoea mtakuwa na bond ya urafiki. Akishindwa baada ya mda mfupi atadai talaka, au atakuletea mtoto wa nje, au atakufanyia vituko vingi ndoani, maana ataona kila unachofanya ni kero.

This is one of the reason ambayo Ina explain why wadada wengi ambao ni successful corporate ladies wako kwenye umri wa kuolewa ila bado wapo single, ni kwasababu pesa wanazo, sasa kupata mwanaume ambae ni handsome ambae atawaoa, hapo ni changamoto, wanaishia kukutana na wanaume wana kazi na hela kama wao, lakini hao wanaume wana sura mbaya, hivyo wanabaki kuwa kwenye dillema.

Wanaishia kujifariji kwa maneno yao kama "nina hela, mwanaume atanipa nini", "mwanamke ukiwa na hela hata nyege zinakata" n.k

Wanaume tuwe macho.
sababu hazitoshi ongeza, kama ni hizo hizo fanya utafiti tena, kama ni mawazo yako hebu waza tena na tena
 
Ishi na hi, kiumbe ambacho hua kinapendwa bila sababu yoyote hapa duniani ni 1. Mwanamke, 2. Mtoto na 3. Mbwa na kiumbe kinacho gawa huo upendo ni kiumbe ME/M. Wanawake na watoto hupenda KWASABABU, bila sababu mwanamke HAWEZI ku fall in love ❤️, so hao uliowahoji hata kama wange bahatika kuolewa na hao waliowapenda still wangekuja na story hizo hizo. Mwanaume ndio kiumbe pekee kinacho PENDA. Chunguza hilo
 
Mbona unaenda kinyume na wenziio 😅😅 kikao chenu cha mwisho si kilisema mwanamke ndio anahitaji ndoa Kuliko mwanaume usiwe mtoro wa vipindi...
Kinamfanya ahitaji hio ndoa au mwanaume ni vitu, akiwa navyo kabla hana haja, na akisha pata haja inaisha.
 
Kitu ukiwa nacho chumbani unaanza kukizoea ila kikisepa ndio thamani yake huonekana.
Hao hao wanaosema sikumpenda we ukigundua piga chini kmmke huku mtaani kuna dhiki ya ajabu sana kujitegemea wanashindwa wanaishia kuuza bar
 
Inawezekana kuwa mwanamke akikwambia hivyo anakuwa ameshatembea na wanaume idadi sio ndogo
 
Sasa mwanamke tangu abarehe mpaka unakuja kumuoa ww tiyari amesha tembea na wanaume si chini ya 20 na ww ni wa 21 unategemea hayo mapenzi yatatoka wapi?

Mwanaume unatakiwa kuoa kwa malengo ya kuanzisha familia na sio sijui kupendwa na kuoneshwa mapenzi ya kinadharia yaliyoko kwenye tamthiria za kiphilipino.

Na ndio maana mwanaume anashauriwa akitaka kuoa atumie akili na sio hisia zilizo changanyika na nyege,na matamanio ,mwanaume kama mpenzi wako hata kama unampenda au anakupenda kiasi gani kama hana sifa za kuwa mama bora kwa watoto wako usithubuti kumuoa narudia tena usithubutu kumuoa.
Mwanaume unapo anzisha familia kinacho tazamwa ni masilahi ya watoto wako watakao zaliwa kwanza na sio hisia zako binafisi.
Kiufupi hakuna kitu kina kera hapa duniani kuwa na mama watoto mpumbavu na asiye jitambua hata angekuwa mzuri kama malaika.

Alafu kingine ukioa mwanamke anaye kupenda kupitiliza ni kero kubwa sana.
Well spoken.. ✅
 
Lakini si anampa? Alipatwa patwa vipi si tatizo as long as anatoa kila inapohitajika na ujauzito anabeba. Huwezi jua mkuu pengine ukimhoji hata mzazi wako au wangu au wa member yoyote ataangukia humo lakini ndo kama hivi ushazaliwa upo hapa unaleta tafiti na tunatoa maoni.
 
Ndoa nyingi zina matatizo makubwa sana kwa Karne tulionao hamna ndoa yenye amani katika ndoa kumi unaweza ukakuta Moja ndio Ina aman na shida kubwa nayoiona ni tamaa za kidunia na kutaka kuishi maisha ambayo sio yako uwezi ukaishi maisha mazuri na wakati hujayafanyia kazi na ukiangalia kwa sasa wanawake wengi waliolewa ni Malaya sana ukimgusa kidogo tayari ndoa za amani zilikuwa enzi na nuha
 
Habarini,

Nimefanya huu uchunguzi usio rasmi, kwenye ndoa nyingi, ukiuliza mwanamke love story yake ya jinsi alivokutana na mmewe, utapata moja ya majibu haya:

1) Watakwambia hivi (nawanukuu)

"Yani huyu mume nilie nae wala hata sikuwa namuwaza, alitumia mwaka mzima kunitongoza, nilimzungusha mda mrefu, nilikuwa na boyfriend wangu mwingine niliempenda, sema boyfriend mwenyewe alikuwa haeleweki"

Which means mume aliolewa nae alikuwa second choice, baada ya first choice yake kushindikana, au baada ya kuona aina ya wanaume anaowataka hawamtongozi, au hawa-commit kwake. Ila kwenye ndoa hizi za type ya 1, kama mke na mme mnajielewa, ndoa itadumu hadi kifo kiwatenganishe.

2)Ni aina ya wanawake ambao wameingia kwenye ndoa kutafuta unafuu wa maisha k.v Joyce kiria alikiri kuingia kwenye ndoa sababu alikuwa na hali ngumu kiuchumi, wanawake wengi sana hu-fall kwenye hii category. Ubaya ni kwamba unaishi na mke ndani unamhudumia hela, ila ile raw physical attraction juu yako anakuwa hana, so kimoyomoyo anakuwa anateseka na anakuvumilia, akiwa mwema ataishi na wewe, mwishowe atakuzoea mtakuwa na bond ya urafiki. Akishindwa baada ya mda mfupi atadai talaka, au atakuletea mtoto wa nje, au atakufanyia vituko vingi ndoani, maana ataona kila unachofanya ni kero.

This is one of the reason ambayo Ina explain why wadada wengi ambao ni successful corporate ladies wako kwenye umri wa kuolewa ila bado wapo single, ni kwasababu pesa wanazo, sasa kupata mwanaume ambae ni handsome ambae atawaoa, hapo ni changamoto, wanaishia kukutana na wanaume wana kazi na hela kama wao, lakini hao wanaume wana sura mbaya, hivyo wanabaki kuwa kwenye dillema.

Wanaishia kujifariji kwa maneno yao kama "nina hela, mwanaume atanipa nini", "mwanamke ukiwa na hela hata nyege zinakata" n.k

Wanaume tuwe macho.
Mwanamke ameumbiwa Kuwatii waume wala siyo kuwapenda! Wanaume wapendeni wake zenu nanyi wake watiini waume zenu! Soma hii kutoka Waefeso 5:22-33
"Enyi wake, watiini waume zenu kama kumtii Bwana wetu. Kwa maana mume ni kichwa cha mkewe, kama Kristo naye ni kichwa cha Kanisa; naye ni mwokozi wa mwili. Lakini kama vile Kanisa limtiivyo Kristo vivyo hivyo wake nao wawatii waume zao katika kila jambo. Enyi waume, wapendeni wake zenu, kama Kristo naye alivyolipenda Kanisa, akajitoa kwa ajili yake; ili makusudi alitakase na kulisafisha kwa maji katika neno; apate kujiletea Kanisa tukufu, lisilo na ila wala kunyanzi wala lo lote kama hayo; bali liwe takatifu lisilo na mawaa. Vivyo hivyo imewapasa waume nao kuwapenda wake zao kama miili yao wenyewe. Ampendaye mkewe hujipenda mwenyewe. Maana hakuna mtu anayeuchukia mwili wake po pote; bali huulisha na kuutunza, kama Kristo naye anavyolitendea Kanisa..........."
 
Habarini,

Nimefanya huu uchunguzi usio rasmi, kwenye ndoa nyingi, ukiuliza mwanamke love story yake ya jinsi alivokutana na mmewe, utapata moja ya majibu haya:

1) Watakwambia hivi (nawanukuu)

"Yani huyu mume nilie nae wala hata sikuwa namuwaza, alitumia mwaka mzima kunitongoza, nilimzungusha mda mrefu, nilikuwa na boyfriend wangu mwingine niliempenda, sema boyfriend mwenyewe alikuwa haeleweki"

Which means mume aliolewa nae alikuwa second choice, baada ya first choice yake kushindikana, au baada ya kuona aina ya wanaume anaowataka hawamtongozi, au hawa-commit kwake. Ila kwenye ndoa hizi za type ya 1, kama mke na mme mnajielewa, ndoa itadumu hadi kifo kiwatenganishe.

2)Ni aina ya wanawake ambao wameingia kwenye ndoa kutafuta unafuu wa maisha k.v Joyce kiria alikiri kuingia kwenye ndoa sababu alikuwa na hali ngumu kiuchumi, wanawake wengi sana hu-fall kwenye hii category. Ubaya ni kwamba unaishi na mke ndani unamhudumia hela, ila ile raw physical attraction juu yako anakuwa hana, so kimoyomoyo anakuwa anateseka na anakuvumilia, akiwa mwema ataishi na wewe, mwishowe atakuzoea mtakuwa na bond ya urafiki. Akishindwa baada ya mda mfupi atadai talaka, au atakuletea mtoto wa nje, au atakufanyia vituko vingi ndoani, maana ataona kila unachofanya ni kero.

This is one of the reason ambayo Ina explain why wadada wengi ambao ni successful corporate ladies wako kwenye umri wa kuolewa ila bado wapo single, ni kwasababu pesa wanazo, sasa kupata mwanaume ambae ni handsome ambae atawaoa, hapo ni changamoto, wanaishia kukutana na wanaume wana kazi na hela kama wao, lakini hao wanaume wana sura mbaya, hivyo wanabaki kuwa kwenye dillema.

Wanaishia kujifariji kwa maneno yao kama "nina hela, mwanaume atanipa nini", "mwanamke ukiwa na hela hata nyege zinakata" n.k

Wanaume tuwe macho.
Hata wewe utaoa tu
 
Back
Top Bottom