Mkuu hongera sana.Hakuna Tafsiri maalumu ya haya mambo. Unaweza kumtongoza mwaka mzima Bado ukimuoa anakupenda tu Tena sana.
Hii hutokana na kwamba wanaume wengi huingia nagia ya kuoa ila akimla tu anaondoka nduki Kwa seep Kali sana.
Pia unaweza tongoza mwanamke ndani ya wiki tu ukamuoa halafu kule ndani kukawa Kuna Waka moto si utani!!
MIMI MWENYEWE.
Ukweli ni kwamba wote niliokuwa nao miadi ya kuja kuwaoa yaani mabinti nilikuwa nao malengo ya kuwaoa sikuwaoa wote.
Bali niliambiwa tu kuwa Kuna binti sehem fln kijijn anatabia ABC hivyo nenda ukamuone uoe huyo.
Vile sikuwa na muda wa hivyo nilijiridhisha tu kupitia huyo mtu aliyeniambia siku ya siku nikaenda direct kuchumbia sikuwahi muona Wala yeye kuniona na alikubali tukaoana ndoa ilifungwa maisha yanaendelea.
Changamoto zipo tu ila tuna furaha mno sijui Kwa upande wake yeye lkn kipindi nachumbia aliniambia tu kuwa anataka ajiendeleze kusoma kama nipo Tyr nikimuoa akasome sawa.
Nikamwambia hapana maana nahitaji mtu wakuwa nyumban nk
Alikubali baada ya kumpa nondo za maana.
Narudia hakuna formula. Wapo wanawake wapiga Dili wamekuja kwenye ndoa Kwa manufaa Yao tu nk
sababu hazitoshi ongeza, kama ni hizo hizo fanya utafiti tena, kama ni mawazo yako hebu waza tena na tenaHabarini,
Nimefanya huu uchunguzi usio rasmi, kwenye ndoa nyingi, ukiuliza mwanamke love story yake ya jinsi alivokutana na mmewe, utapata moja ya majibu haya:
1) Watakwambia hivi (nawanukuu)
"Yani huyu mume nilie nae wala hata sikuwa namuwaza, alitumia mwaka mzima kunitongoza, nilimzungusha mda mrefu, nilikuwa na boyfriend wangu mwingine niliempenda, sema boyfriend mwenyewe alikuwa haeleweki"
Which means mume aliolewa nae alikuwa second choice, baada ya first choice yake kushindikana, au baada ya kuona aina ya wanaume anaowataka hawamtongozi, au hawa-commit kwake. Ila kwenye ndoa hizi za type ya 1, kama mke na mme mnajielewa, ndoa itadumu hadi kifo kiwatenganishe.
2)Ni aina ya wanawake ambao wameingia kwenye ndoa kutafuta unafuu wa maisha k.v Joyce kiria alikiri kuingia kwenye ndoa sababu alikuwa na hali ngumu kiuchumi, wanawake wengi sana hu-fall kwenye hii category. Ubaya ni kwamba unaishi na mke ndani unamhudumia hela, ila ile raw physical attraction juu yako anakuwa hana, so kimoyomoyo anakuwa anateseka na anakuvumilia, akiwa mwema ataishi na wewe, mwishowe atakuzoea mtakuwa na bond ya urafiki. Akishindwa baada ya mda mfupi atadai talaka, au atakuletea mtoto wa nje, au atakufanyia vituko vingi ndoani, maana ataona kila unachofanya ni kero.
This is one of the reason ambayo Ina explain why wadada wengi ambao ni successful corporate ladies wako kwenye umri wa kuolewa ila bado wapo single, ni kwasababu pesa wanazo, sasa kupata mwanaume ambae ni handsome ambae atawaoa, hapo ni changamoto, wanaishia kukutana na wanaume wana kazi na hela kama wao, lakini hao wanaume wana sura mbaya, hivyo wanabaki kuwa kwenye dillema.
Wanaishia kujifariji kwa maneno yao kama "nina hela, mwanaume atanipa nini", "mwanamke ukiwa na hela hata nyege zinakata" n.k
Wanaume tuwe macho.
Duh, ya kweli hayo? You mean Ke akiwa na pesa anakosa nyeg?"mwanamke ukiwa na hela hata nyege zinakata"
big pointMwanamke hana haja na mwanaume wala ndoa isipokuwa vitu vidogo vidogo ndio vinavyopekeka kwa maanaume na ndoa.
Mbona unaenda kinyume na wenziio 😅😅 kikao chenu cha mwisho si kilisema mwanamke ndio anahitaji ndoa Kuliko mwanaume usiwe mtoro wa vipindi...Mwanamke hana haja na mwanaume wala ndoa isipokuwa vitu vidogo vidogo ndio vinavyopekeka kwa maanaume na ndoa.
Kinamfanya ahitaji hio ndoa au mwanaume ni vitu, akiwa navyo kabla hana haja, na akisha pata haja inaisha.Mbona unaenda kinyume na wenziio 😅😅 kikao chenu cha mwisho si kilisema mwanamke ndio anahitaji ndoa Kuliko mwanaume usiwe mtoro wa vipindi...
Well spoken.. ✅Sasa mwanamke tangu abarehe mpaka unakuja kumuoa ww tiyari amesha tembea na wanaume si chini ya 20 na ww ni wa 21 unategemea hayo mapenzi yatatoka wapi?
Mwanaume unatakiwa kuoa kwa malengo ya kuanzisha familia na sio sijui kupendwa na kuoneshwa mapenzi ya kinadharia yaliyoko kwenye tamthiria za kiphilipino.
Na ndio maana mwanaume anashauriwa akitaka kuoa atumie akili na sio hisia zilizo changanyika na nyege,na matamanio ,mwanaume kama mpenzi wako hata kama unampenda au anakupenda kiasi gani kama hana sifa za kuwa mama bora kwa watoto wako usithubuti kumuoa narudia tena usithubutu kumuoa.
Mwanaume unapo anzisha familia kinacho tazamwa ni masilahi ya watoto wako watakao zaliwa kwanza na sio hisia zako binafisi.
Kiufupi hakuna kitu kina kera hapa duniani kuwa na mama watoto mpumbavu na asiye jitambua hata angekuwa mzuri kama malaika.
Alafu kingine ukioa mwanamke anaye kupenda kupitiliza ni kero kubwa sana.
Mwanamke ameumbiwa Kuwatii waume wala siyo kuwapenda! Wanaume wapendeni wake zenu nanyi wake watiini waume zenu! Soma hii kutoka Waefeso 5:22-33Habarini,
Nimefanya huu uchunguzi usio rasmi, kwenye ndoa nyingi, ukiuliza mwanamke love story yake ya jinsi alivokutana na mmewe, utapata moja ya majibu haya:
1) Watakwambia hivi (nawanukuu)
"Yani huyu mume nilie nae wala hata sikuwa namuwaza, alitumia mwaka mzima kunitongoza, nilimzungusha mda mrefu, nilikuwa na boyfriend wangu mwingine niliempenda, sema boyfriend mwenyewe alikuwa haeleweki"
Which means mume aliolewa nae alikuwa second choice, baada ya first choice yake kushindikana, au baada ya kuona aina ya wanaume anaowataka hawamtongozi, au hawa-commit kwake. Ila kwenye ndoa hizi za type ya 1, kama mke na mme mnajielewa, ndoa itadumu hadi kifo kiwatenganishe.
2)Ni aina ya wanawake ambao wameingia kwenye ndoa kutafuta unafuu wa maisha k.v Joyce kiria alikiri kuingia kwenye ndoa sababu alikuwa na hali ngumu kiuchumi, wanawake wengi sana hu-fall kwenye hii category. Ubaya ni kwamba unaishi na mke ndani unamhudumia hela, ila ile raw physical attraction juu yako anakuwa hana, so kimoyomoyo anakuwa anateseka na anakuvumilia, akiwa mwema ataishi na wewe, mwishowe atakuzoea mtakuwa na bond ya urafiki. Akishindwa baada ya mda mfupi atadai talaka, au atakuletea mtoto wa nje, au atakufanyia vituko vingi ndoani, maana ataona kila unachofanya ni kero.
This is one of the reason ambayo Ina explain why wadada wengi ambao ni successful corporate ladies wako kwenye umri wa kuolewa ila bado wapo single, ni kwasababu pesa wanazo, sasa kupata mwanaume ambae ni handsome ambae atawaoa, hapo ni changamoto, wanaishia kukutana na wanaume wana kazi na hela kama wao, lakini hao wanaume wana sura mbaya, hivyo wanabaki kuwa kwenye dillema.
Wanaishia kujifariji kwa maneno yao kama "nina hela, mwanaume atanipa nini", "mwanamke ukiwa na hela hata nyege zinakata" n.k
Wanaume tuwe macho.
Hata wewe utaoa tuHabarini,
Nimefanya huu uchunguzi usio rasmi, kwenye ndoa nyingi, ukiuliza mwanamke love story yake ya jinsi alivokutana na mmewe, utapata moja ya majibu haya:
1) Watakwambia hivi (nawanukuu)
"Yani huyu mume nilie nae wala hata sikuwa namuwaza, alitumia mwaka mzima kunitongoza, nilimzungusha mda mrefu, nilikuwa na boyfriend wangu mwingine niliempenda, sema boyfriend mwenyewe alikuwa haeleweki"
Which means mume aliolewa nae alikuwa second choice, baada ya first choice yake kushindikana, au baada ya kuona aina ya wanaume anaowataka hawamtongozi, au hawa-commit kwake. Ila kwenye ndoa hizi za type ya 1, kama mke na mme mnajielewa, ndoa itadumu hadi kifo kiwatenganishe.
2)Ni aina ya wanawake ambao wameingia kwenye ndoa kutafuta unafuu wa maisha k.v Joyce kiria alikiri kuingia kwenye ndoa sababu alikuwa na hali ngumu kiuchumi, wanawake wengi sana hu-fall kwenye hii category. Ubaya ni kwamba unaishi na mke ndani unamhudumia hela, ila ile raw physical attraction juu yako anakuwa hana, so kimoyomoyo anakuwa anateseka na anakuvumilia, akiwa mwema ataishi na wewe, mwishowe atakuzoea mtakuwa na bond ya urafiki. Akishindwa baada ya mda mfupi atadai talaka, au atakuletea mtoto wa nje, au atakufanyia vituko vingi ndoani, maana ataona kila unachofanya ni kero.
This is one of the reason ambayo Ina explain why wadada wengi ambao ni successful corporate ladies wako kwenye umri wa kuolewa ila bado wapo single, ni kwasababu pesa wanazo, sasa kupata mwanaume ambae ni handsome ambae atawaoa, hapo ni changamoto, wanaishia kukutana na wanaume wana kazi na hela kama wao, lakini hao wanaume wana sura mbaya, hivyo wanabaki kuwa kwenye dillema.
Wanaishia kujifariji kwa maneno yao kama "nina hela, mwanaume atanipa nini", "mwanamke ukiwa na hela hata nyege zinakata" n.k
Wanaume tuwe macho.