Ukweli mchungu: Asilimia kubwa ya Wakristu na Waislamu duniani wanafanya ibada ya sanamu bila kujua kama wanafanya ibada ya sanamu

Ukweli mchungu: Asilimia kubwa ya Wakristu na Waislamu duniani wanafanya ibada ya sanamu bila kujua kama wanafanya ibada ya sanamu

wewe mfuga Govi kanisani, unafikiri kuimba kwaya ndio kuabudu mungu hataki nyimbo za viuno mungu angetaka nyimbo kuwa ni ibada basi diamond na harmonize wangekuwa mitume wenu
Find someone of your league to parallel your mediocrity.

Damn Fool...
 
Hata wewe msabato unae waponda wakatoliki, kwa mantiki ya uzi huu, wewe pia unafanya ibada ya sanamu.

Kwani ibada ya sanamu nini?

Umewahi kusikia mashabiki wa mpira wanasema " kwenye timu hii golini kuna sanamu?" Je unadhani maana yake huwaga ni nini?

Maana yake ni kwamba kwenye timu hiyo golini kuna kipa ambae hatimizi majukumu yake kama kipa. Kipa kazi yake ni kuokoa mipira yote inayo elekezwa golini kwake. Ila kama kipa huyu hadaki magoli yanafungwa tu haokoi wala nini basi watu watasema golini kuna sanamu.

Ni sawa na wanapo sema "Huyu jamaa ni baba au sanamu la baba?" Wana maanisha ni baba ambae hatimizi majukumu yake.

Vivyo hivyo kwa habari ya ibada ya sanamu.

Ibada ya sanamu ni nini sasa?

Ibada ya sanamu ni ibada yoyote ile ambayo Mungu/muungu anae ombwa hatoi majibu.

Ibrahimu alivyo yaharibu masanamu ya mababu zake alifanya hivyo sio kwa sababu yale walikuwa ni masanamu la hasha ila alifanya hivyo kwa sababu masanamu yale yalikuwa hayatoi majibu ya maombi ndio maana akaenda kuyacharaza mapanga kwa Hasira.

Kama masanamu yale ya miungu ya mababu zake yangekuwa yanatoa majibu basi Ibrahim asinge thubutu hata kunyoosha mkono wake kuyakata. Yani asinge thubutu hata kujifanya kama anajikuna.

Wakristu na waislamu na ibada ya sanamu.

Ukweli ni kwamba Asilimia kubwa ya wakristu na waislamu wengi duniani hufanya ibada za sanamu. Kwa sababu hufanya ibada zisizo na majibu. Sanamu lina masikio lakini halijibu na lina macho lakini halioni. Vivyo hivyo Mungu (wa Wakristu na Waislamu) anasikia maombi yote wanayo muomba watu wake lakini huwaga hajibu na ana ona mambo yote mabaya wanayo tendewa watu wake lakini haintervene. Anayaacha yaendelee kutokea hivyo hivyo licha ya yeye kuwa na uwezo wa kuyazuia yasitokee.

Ndio maana kwa wakristu na waislamu mtu akifanya maombi halafu yakajibiwa majibu hayo huitwa muujiza. Muujiza ni jambo ambalo sio la kawaida. Yesu alipo tembea juu ya maji uliitwa muujiza kwa sababu sio kawaida kwa mtu kutembea juu ya maji.

So maombi yanayo jibiwa na Mungu wa wakristu na waislamu huwaga yanaitwa muujiza kwa sababu sio kawaida Mungu kujibu maombi..

Hata wakristu na waislamu ndani ya nafsi zao huwaga wanajua kabisa kwamba Mungu huwaga hajibu maombi yao. Ndio maana wengi wao huenda kwa waganga kutafuta majibu ya maombi yao.

Wakristu na Waislamu wana amini Mungu anayaona zaidi madhambi yao kuliko maombi yao. Ndio maana mkristu au muislamu akitenda dhambi anakuwa na uhakika kabisa Mungu kamuona na anakuwa na ile kitu inaitwa Guilty conscious kwa sababu anajua Mungu kamuona . Lakini akifanya maombi yake anakuwa hana imani kama Mungu kayasikia na kwamba atamjibu.

Ndio maana hata kwenye Uzi wangu huu wakristu na waislamu watakuja ku comment hapa kwamba Mungu ataniadhibu kwa kuwa ninakufuru ila ningeandika Uzi nikisema nataka nifunge nimuombe Mungu awafanye watu wote duniani waache dhambi basi wakristu na waislamu hao watakuja kunidhihaki hapa kwa sababu wanajua Mungu hatonijibu kwa maana wanajua Mungu huwa hajibu maombi ya watu.

Bahati nzuri vitabu vya dini zote mbili vimeshaweka wazi kabisa kwamba Mungu huwa hajibu maombi ya watu..

Tufanye nini sasa ee rabbi? Vunja masanamu (Vunja connection na Mungu asie jibu maombi yako na anza sasa kumtafuta Mungu mwenye kujibu maombi yako. Acha ibada ya sanamu sasa)
kula K-VANT!!
 
Mungu hayupo.

Ndio maana mnabaki kuparangana kutetea kisicho kuwepo.

Mungu huyo hawezi kuja kujidhihirisha, kusuluhisha na kuweka njia sahihi ya yeye kuabudiwa kwa vile Hayupo.

Mnabaki kutetea fictional character.
Huwezi kumpangia Muumba amna ya kutenda.
Yeye Mungu ndiye aliyeamua iwe hivyo.
Omba utakalo lakini atakupa atakalo yeye.
Pia Mungu atakuweka anapotaka yeye uwepo kwa hekima yake si maamuzi yako wala wafuasi au wazazi wako.

Hata uombe nini Mungu ameshakuamulia nini upewe,nini kikufoke katika mazuri na mabaya kwa hekima yake Muumba.
Na unapoomba yeye ndiye mwenye maamuzi ya kukubali au kutaa,akupeulichoo.ba au mbadalaau asikujibu kabisa. Vigezo na masharti huwa ni vya Mungu mwenyewe. Hakuna wa kumlazimisha Mungu
Lakini ukiwa mcha mungu wa kweli basi utajuwa hata namna ya kuomba na abdabu za maombi.

Wengi wetu hatujui taratibu na adabu za Kumuelekea Mungu aliye Mkuu mtakatifu mwenye kuheshimiwa na viumbe vyote isipokuwa watu wapumbavu ambao hudhani wamejileta duniani wenyewe na pumzi wanayopumia ni kwasababu ya useless wao na ujanja wao.
Kumbe yote yamepangwa na Mungu.
 
Na kuthibitishia Mungu huyo hayupo kwa namna yeyote ile ya kuthibitishika.

Kisicho kuwepo hakina uthibitisho wa kutokuwepo kwake kwa vile hakipo kwa namna yoyote ile ya kuthibitishika.

Ukisema kitu kipo, eleza na thibitisha kipo kwa namna gani?

Kama huyo Mungu yupo mlete hapa au mwambie aje hapa ajidhihirishe.

Au thibitisha huyo Mungu ni nini, Na yupo kwa namna gani?

Na si mawazo yako ya kufikirika tu.
Mbona rahisihii
Hebu Soma maneno ya Mungu Mwenyewe anasema:-
{ وَمِنَ ٱلنَّاسِ مَن يُجَٰدِلُ فِي ٱللَّهِ بِغَيۡرِ عِلۡمٖ وَيَتَّبِعُ كُلَّ شَيۡطَٰنٖ مَّرِيدٖ }
[Surah Al-Ḥajj: 3]

"Na miongoni mwa watu wapo wanao bishana juu ya Mwenyezi Mungu bila ya ilimu, na wanamfuata kila shet'ani aliye asi."

Endelea kumsikilza ! Mungu anazidi kujifafanua.
{ يَٰٓأَيُّهَا ٱلنَّاسُ إِن كُنتُمۡ فِي رَيۡبٖ مِّنَ ٱلۡبَعۡثِ فَإِنَّا خَلَقۡنَٰكُم مِّن تُرَابٖ ثُمَّ مِن نُّطۡفَةٖ ثُمَّ مِنۡ عَلَقَةٖ ثُمَّ مِن مُّضۡغَةٖ مُّخَلَّقَةٖ وَغَيۡرِ مُخَلَّقَةٖ لِّنُبَيِّنَ لَكُمۡۚ وَنُقِرُّ فِي ٱلۡأَرۡحَامِ مَا نَشَآءُ إِلَىٰٓ أَجَلٖ مُّسَمّٗى ثُمَّ نُخۡرِجُكُمۡ طِفۡلٗا ثُمَّ لِتَبۡلُغُوٓاْ أَشُدَّكُمۡۖ وَمِنكُم مَّن يُتَوَفَّىٰ وَمِنكُم مَّن يُرَدُّ إِلَىٰٓ أَرۡذَلِ ٱلۡعُمُرِ لِكَيۡلَا يَعۡلَمَ مِنۢ بَعۡدِ عِلۡمٖ شَيۡـٔٗاۚ وَتَرَى ٱلۡأَرۡضَ هَامِدَةٗ فَإِذَآ أَنزَلۡنَا عَلَيۡهَا ٱلۡمَآءَ ٱهۡتَزَّتۡ وَرَبَتۡ وَأَنۢبَتَتۡ مِن كُلِّ زَوۡجِۭ بَهِيجٖ }
[Surah Al-Ḥajj: 5]:
Enyi watu! Ikiwa nyinyi mna shaka ya kufufuliwa basi kwa hakika Sisi tulikuumbeni kutokana na udongo, kisha kutokana na manii, kisha kutokana na kipande cha damu ilio gandana, kisha kutokana na kipande cha nyama chenye umbo na kisicho kuwa na umbo, ili tukubainishieni. Nasi tunakiweka katika matumbo ya uzazi tunacho kitaka mpaka muda ulio wekwa. Kisha tunakutoeni kwa hali ya mtoto mchanga, kisha mfikie kutimia akili. Na wapo katika nyinyi wanao kufa, na wapo katika nyinyi wanao rudishwa kwenye umri wa unyonge kabisa, hata mtu awe hajui kitu baada ya kuwa anakijua. Na unaiona ardhi imetulia kimya, lakini tunapo yateremsha maji juu yake husisimka na kututumka, na kumea kila namna ya mimea mizuri.
JE UNA HOJA HAPO?
 
Huwezi kumpangia Muumba amna ya kutenda.
Yeye Mungu ndiye aliyeamua iwe hivyo.
Omba utakalo lakini atakupa atakalo yeye.
Pia Mungu atakuweka anapotaka yeye uwepo kwa hekima yake si maamuzi yako wala wafuasi au wazazi wako.

Hata uombe nini Mungu ameshakuamulia nini upewe,nini kikufoke katika mazuri na mabaya kwa hekima yake Muumba.
Na unapoomba yeye ndiye mwenye maamuzi ya kukubali au kutaa,akupeulichoo.ba au mbadalaau asikujibu kabisa. Vigezo na masharti huwa ni vya Mungu mwenyewe. Hakuna wa kumlazimisha Mungu
Lakini ukiwa mcha mungu wa kweli basi utajuwa hata namna ya kuomba na abdabu za maombi.

Wengi wetu hatujui taratibu na adabu za Kumuelekea Mungu aliye Mkuu mtakatifu mwenye kuheshimiwa na viumbe vyote isipokuwa watu wapumbavu ambao hudhani wamejileta duniani wenyewe na pumzi wanayopumia ni kwasababu ya useless wao na ujanja wao.
Kumbe yote yamepangwa na Mungu.
Logical non sequitur.
 
Mbona rahisihii
Hebu Soma maneno ya Mungu Mwenyewe anasema:-
{ وَمِنَ ٱلنَّاسِ مَن يُجَٰدِلُ فِي ٱللَّهِ بِغَيۡرِ عِلۡمٖ وَيَتَّبِعُ كُلَّ شَيۡطَٰنٖ مَّرِيدٖ }
[Surah Al-Ḥajj: 3]

"Na miongoni mwa watu wapo wanao bishana juu ya Mwenyezi Mungu bila ya ilimu, na wanamfuata kila shet'ani aliye asi."

Endelea kumsikilza ! Mungu anazidi kujifafanua.
{ يَٰٓأَيُّهَا ٱلنَّاسُ إِن كُنتُمۡ فِي رَيۡبٖ مِّنَ ٱلۡبَعۡثِ فَإِنَّا خَلَقۡنَٰكُم مِّن تُرَابٖ ثُمَّ مِن نُّطۡفَةٖ ثُمَّ مِنۡ عَلَقَةٖ ثُمَّ مِن مُّضۡغَةٖ مُّخَلَّقَةٖ وَغَيۡرِ مُخَلَّقَةٖ لِّنُبَيِّنَ لَكُمۡۚ وَنُقِرُّ فِي ٱلۡأَرۡحَامِ مَا نَشَآءُ إِلَىٰٓ أَجَلٖ مُّسَمّٗى ثُمَّ نُخۡرِجُكُمۡ طِفۡلٗا ثُمَّ لِتَبۡلُغُوٓاْ أَشُدَّكُمۡۖ وَمِنكُم مَّن يُتَوَفَّىٰ وَمِنكُم مَّن يُرَدُّ إِلَىٰٓ أَرۡذَلِ ٱلۡعُمُرِ لِكَيۡلَا يَعۡلَمَ مِنۢ بَعۡدِ عِلۡمٖ شَيۡـٔٗاۚ وَتَرَى ٱلۡأَرۡضَ هَامِدَةٗ فَإِذَآ أَنزَلۡنَا عَلَيۡهَا ٱلۡمَآءَ ٱهۡتَزَّتۡ وَرَبَتۡ وَأَنۢبَتَتۡ مِن كُلِّ زَوۡجِۭ بَهِيجٖ }
[Surah Al-Ḥajj: 5]:
Enyi watu! Ikiwa nyinyi mna shaka ya kufufuliwa basi kwa hakika Sisi tulikuumbeni kutokana na udongo, kisha kutokana na manii, kisha kutokana na kipande cha damu ilio gandana, kisha kutokana na kipande cha nyama chenye umbo na kisicho kuwa na umbo, ili tukubainishieni. Nasi tunakiweka katika matumbo ya uzazi tunacho kitaka mpaka muda ulio wekwa. Kisha tunakutoeni kwa hali ya mtoto mchanga, kisha mfikie kutimia akili. Na wapo katika nyinyi wanao kufa, na wapo katika nyinyi wanao rudishwa kwenye umri wa unyonge kabisa, hata mtu awe hajui kitu baada ya kuwa anakijua. Na unaiona ardhi imetulia kimya, lakini tunapo yateremsha maji juu yake husisimka na kututumka, na kumea kila namna ya mimea mizuri.
JE UNA HOJA HAPO?
Ulicho andika hapa ni hekaya sawa na kuleta hadithi za Abunuwasi na kudai zina ukweli.
 
Back
Top Bottom