Ibrah Goye
Member
- Jul 29, 2019
- 13
- 11
Tuache sisi tuamini kwa yule tunayemuomba uzima na afya ww endelea kuamini unavyoamini usilazimishe watu kitu kiovu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna Mungu wa aina yeyote ile anayejibu maombi.Kama Mungu wako unayemuabuda na kumuomba kila siku anakujibu, tambua huyo ndo MUNGU wa kweli, vinginevyo umepigwa na kitu kizito.
Hapa sijataja dini wala dhehebu, bali nimesema kama unachoabudu hakina majibu kimbia, unaabudu sanamu.
Kilicho mfanya tb joshua kua tajiri sana namaarufu,mkubwa,akiaminiwa kuponya nakuokoa maisha yawatu ndio kitu sahihi kinacho elezwa mdahuu duniani..siri iliovuja ndio kitu pekee kilicho mfikisha kwenye mafanikio makubwa.Naunga mkono hoja na iwe hivyo kwa jina la Yesu
[emoji23][emoji23][emoji23]NDUGU WW NI SHETANI AU AGENT WAKE AU UNATUMIKA BILA KUJIJUA.OMBA TOBA HARAKA
Shetani mwenyewe hayupo iweje uwe nakazi kwa boss asie kuwepoNDUGU WW NI SHETANI AU AGENT WAKE AU UNATUMIKA BILA KUJIJUA.OMBA TOBA HARAKA
Sawa mkuu upo sahihi kabisaLIKUD Wewe ndie huna hoja. Ungekuwa na hoja unge mdefend mungu wako na Accumen Mo am defend mungu wake kihoja. Unachofanya hapa ni kumshambulia mungu wake bila kuonyesha uwezo wa huyo mungu wako.
Ficha ujuha dogo.[emoji23][emoji23][emoji23]
inaonesha hata alicho kilenga mtoa mada wewe hukijui broo.
Kitendo chamfano ule wa ibrahimu ndio mstari wenyewe.
Samahani Kidogo Accumen..Duniani kawaida nyie wapumbavu mko wachache sana ,huo ujinga wenu hauingii akili mpaka unakufa hakuna mtu anaweza kukubali huo ujinga wako😅😅
.Pointless huwezi kushawishi mtu
Huyu ndio mwanzilishi wa ujinga huo👇👇ndie mnayemuabudu
View attachment 2933163
Mwenzako hapo kasema mungu wake ni pesa (mleta mada) ina maana kapuyanga?Hakuna Mungu wa aina yeyote ile anayejibu maombi.
Mungu hayupo.
Hapana hajapuyanga, Yupo sahihi.Mwenzako hapo kasema mungu wake ni pesa (mleta mada) ina maana kapuyanga?
Huyu Accumen Mo ni mzee wakukurupuka bila facts za uhakika.Samahani Kidogo Accumen..
Mimi sio Atheist!
ILa nina maswali ya ufahamu..
Ila ningependa kujua Unaamini kabisa Madalyn Murray O'Hair aliyezaliwa miaka ya 1919 kama sikosei ndo mwanzilishi wa Atheists...?
Kama ndyo!
Rumii miaka ya 325-1800 walikuwa wakiwaua Atheist walikuwa wakiua kitu ambacho hakijaanzishwa bado?
Na hata Mtume miaka ya 600s alikuwa akipambana na Makafiri wa kibedui (Atheist) wanaopinga uwepo wa ALLAH..
Alipingana na kitu ambacho hakikuwepo..?
Natangulisha Shukrani kwako kwa mjadala mzuri..
Hoja nyepesi sana. Sana. Kama unyoya. Mzazi kuna kipindi unaweza omba kitu asikupe sababu anajua si wakati wakw sahihi au anataka ujifunze kitu kwanza. Allah akurambe uso.Hata wewe msabato unae waponda wakatoliki, kwa mantiki ya uzi huu, wewe pia unafanya ibada ya sanamu.
Kwani ibada ya sanamu nini?
Umewahi kusikia mashabiki wa mpira wanasema " kwenye timu hii golini kuna sanamu?" Je unadhani maana yake huwaga ni nini?
Maana yake ni kwamba kwenye timu hiyo golini kuna kipa ambae hatimizi majukumu yake kama kipa. Kipa kazi yake ni kuokoa mipira yote inayo elekezwa golini kwake. Ila kama kipa huyu hadaki magoli yanafungwa tu haokoi wala nini basi watu watasema golini kuna sanamu.
Ni sawa na wanapo sema "Huyu jamaa ni baba au sanamu la baba?" Wana maanisha ni baba ambae hatimizi majukumu yake.
Vivyo hivyo kwa habari ya ibada ya sanamu.
Ibada ya sanamu ni nini sasa?
Ibada ya sanamu ni ibada yoyote ile ambayo Mungu/muungu anae ombwa hatoi majibu.
Ibrahimu alivyo yaharibu masanamu ya mababu zake alifanya hivyo sio kwa sababu yale walikuwa ni masanamu la hasha ila alifanya hivyo kwa sababu masanamu yale yalikuwa hayatoi majibu ya maombi ndio maana akaenda kuyacharaza mapanga kwa Hasira.
Kama masanamu yale ya miungu ya mababu zake yangekuwa yanatoa majibu basi Ibrahim asinge thubutu hata kunyoosha mkono wake kuyakata. Yani asinge thubutu hata kujifanya kama anajikuna.
Wakristu na waislamu na ibada ya sanamu.
Ukweli ni kwamba Asilimia kubwa ya wakristu na waislamu wengi duniani hufanya ibada za sanamu. Kwa sababu hufanya ibada zisizo na majibu. Sanamu lina masikio lakini halijibu na lina macho lakini halioni. Vivyo hivyo Mungu (wa Wakristu na Waislamu) anasikia maombi yote wanayo muomba watu wake lakini huwaga hajibu na ana ona mambo yote mabaya wanayo tendewa watu wake lakini haintervene. Anayaacha yaendelee kutokea hivyo hivyo licha ya yeye kuwa na uwezo wa kuyazuia yasitokee.
Ndio maana kwa wakristu na waislamu mtu akifanya maombi halafu yakajibiwa majibu hayo huitwa muujiza. Muujiza ni jambo ambalo sio la kawaida. Yesu alipo tembea juu ya maji uliitwa muujiza kwa sababu sio kawaida kwa mtu kutembea juu ya maji.
So maombi yanayo jibiwa na Mungu wa wakristu na waislamu huwaga yanaitwa muujiza kwa sababu sio kawaida Mungu kujibu maombi..
Hata wakristu na waislamu ndani ya nafsi zao huwaga wanajua kabisa kwamba Mungu huwaga hajibu maombi yao. Ndio maana wengi wao huenda kwa waganga kutafuta majibu ya maombi yao.
Wakristu na Waislamu wana amini Mungu anayaona zaidi madhambi yao kuliko maombi yao. Ndio maana mkristu au muislamu akitenda dhambi anakuwa na uhakika kabisa Mungu kamuona na anakuwa na ile kitu inaitwa Guilty conscious kwa sababu anajua Mungu kamuona . Lakini akifanya maombi yake anakuwa hana imani kama Mungu kayasikia na kwamba atamjibu.
Ndio maana hata kwenye Uzi wangu huu wakristu na waislamu watakuja ku comment hapa kwamba Mungu ataniadhibu kwa kuwa ninakufuru ila ningeandika Uzi nikisema nataka nifunge nimuombe Mungu awafanye watu wote duniani waache dhambi basi wakristu na waislamu hao watakuja kunidhihaki hapa kwa sababu wanajua Mungu hatonijibu kwa maana wanajua Mungu huwa hajibu maombi ya watu.
Bahati nzuri vitabu vya dini zote mbili vimeshaweka wazi kabisa kwamba Mungu huwa hajibu maombi ya watu..
Tufanye nini sasa ee rabbi? Vunja masanamu (Vunja connection na Mungu asie jibu maombi yako na anza sasa kumtafuta Mungu mwenye kujibu maombi yako. Acha ibada ya sanamu sasa)
Hajapunga, yuko sahihi. Je utakubali kuwa wewe ndie hauko sahihi kwa kusema mungu hayupu?Hapana hajapuyanga, Yupo sahihi.
Yani mtu yeyote yuko huru kuabudu chochote hata jiwe kama Mungu wake.
Lakini mtu huyo akianza kudai kwamba imani kwa Mungu wake huyo ndio ina ukweli thabiti kuliko Mungu wa wengine lazima athibitishe hilo.
Maana "Mungu" ni title tu ya kufikirika kutegemea na imani ya mhusika kuhusu nguvu fulani.
Sasa kama anajua atakayeenda peponi na motoni ya Nini kutuchosha Duniani na kututesa si angetuweka tu huko Tangu tunazaliwa?Allah (s.w) ni mjuzi wa kila jambo lililotokea na litakalotokea, hivyo anajua wanaadamu watakaojifanyia wema na kwenda peponi na watakaojifanyia uovu na kwenda motoni.
Rejea Qur'an (11:6), (6:59), (65:12), n.k.