Ni mkubwa kuliko TFF na huo ndiyo ukweli, hifadhi maneno yangu.Umaarufu sio ukubwa. Hata akina Harmorapa/Chikumbalaga/Pierre wamewai kua maarufu na kupata followers wengi. Kwaio nao walikua wakubwa!! Manara sawa ana ushawishi kuzidi rais wa TFF lakini huwezi sema ni mkubwa kuzidi TFF labda kama ni ajenda tu unaleta ambayo sisi mashabiki wa kawaida hatuijui
Na hakuna duniani mtu asiye chukiwa, hata wewe unachukiwa japokuwa huwafahamu wote wanaokuchukia'…Kama huchukiwi basi tambua huna thamani wala maana yoyote …' -Sheikh Othman Maalim
Ningeona maahabiki wengine angalau 10 kama wewe, ningeshawishika kujiunga na utopolo lakini ndio kama alivyosema "Mfungwa" kuwa ukimtoa baba yake na mzee Kikwete walio baki wote ni matahirauyo kiboko yake ni jerry mulo yule ndiye chizi mwenzake japo amekuja nyumbani yanga ila uyu jamaa GSM walitukosea sana kutuletea uyu jamaa wakamtosa Nugaz tuliyepambana nae kipindi tuko vibaya kiuchumi alikubali kuitwa majina yote na manara lakini ukumsikia akitukana wala kumvunjia heshima manara ..manara ujiona yeye ni mkubwa zaidi ya chochote apa tanzania alishawai kutuita yanga kuwa ukimtoa Baba yake na mzee jakaya wote tuliobaki hatuna akili alafu mtu uyo uyo GSM wakatuletea nawalaumu TFF adhabu waliyompa ni ndogo ilitakiwa apigwe angalau 5yrs
[emoji1787]Kama ni mkubwa kuliko TFF basi aifungie TFF
Yanga haiwezi kubariki ukiukaji wa hii adhabu.Siku ya Mwananchi MC wa tukio ni Haji Manara na hapangiwi chakusema na wapuuzi wapuuzi. Siku hiyo ndo utaona ukubwa wa Haji ukilinganisha na tiefuefu.
Ndo hapo sasa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sa kama ni mkubwa kuliko tff mbona tff ndo imemfungia??[emoji23][emoji23][emoji23]
Hajafungiwa popote, tiefuefu wametoa tamko la kujitekenyaNdo hapo sasa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
sio kwa manaraa... kiburi chake yule ni mwisho wa reliKaipata joto ya jiwe adhabu yake ikiisha akirudia tena anakuta na waya mkali zaidi.
Unawashwaaa wee sio bureee, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hajafungiwa popote, tiefuefu wametoa tamko la kujitekenya
Hifadhi maneno yangu, utaniambia.Unawashwaaa wee sio bureee, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaahHifadhi maneno yangu, utaniambia.
Upumbavu ulio kithiri kuitetea tiefuefuUpuuzi uliokomaa kumtetea Haji.
Haji aliomba msamaha bila kulijua kosa lake?Upumbavu ulio kithiri kuitetea tiefuefu
Ndiyo, hata kwenye press aliweka wazi hilo.Haji aliomba msamaha bila kulijua kosa lake?
Kujua kosa ni hatua ya awali.Kama mkosaji hajui kosa lake basi hajitambui.Aongezewe adhabu.Ndiyo, hata kwenye press aliweka wazi hilo.
Rangi yake tu ndo inatia huruma siyo kukubaliwa. Hivi uliwahi kukaa na hawa watu wewe? Unapokuwa na tatizo flani ukabahatika kuwa maarufu na siku ukienda kinyume ukaadhibiwa lazima wakukuhurumia watajitahidi kukutetea tu.Haji amezaliwa na roho ya kukubaliwa, hatuwezi kushindana na karama ya mtu