MoseKing
JF-Expert Member
- Jul 5, 2017
- 4,928
- 8,976
Tunazungumzia ubovu was mashirika ya umma wewe unalrta stori za wazungu kama scapegoat.Hasira za Ukweli hizo Naelewa Wazungu(mabeberu) ni wezi tu.
Wewe mzee ni mpumbavu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunazungumzia ubovu was mashirika ya umma wewe unalrta stori za wazungu kama scapegoat.Hasira za Ukweli hizo Naelewa Wazungu(mabeberu) ni wezi tu.
Nimesema ni wezi tu! ndio hoja yenyewe, nimesema wanatuhadaa tu ndio hoja yenyewe.
Sasa huo mbadala uwe vipi?
Auziwe GSM??? au unataka kusema nini.
Kupanda na kushuka treni, na kukosa mategemeo ya kuwa yanafanana za Wazungu ndio yanapeleka mashirika yetu kuwa mabovu? Hamieni huko. Mmelazimishwa kuishi hapa?Tunazungumzia ubovu was mashirika ya umma wewe unalrta stori za wazungu kama scapegoat.
Wewe mzee ni mpumbavu.
Ukinitajia mbadala wa nani atafanya vizuri katika kuweka sawa, hilo shirika tajwa, Nitakujibu.Unaweza kututajia ni kitu gani wazungu wanatuibia hadi sasa? Hii itasaidia kujua kama unachoongea unakijua au unakaza fuvu.
Narudia tRNA wewe mbuzi ni mpumbavu. Tuhame hapa, hii nchi ni ya baba yako.Kupanda na kushuka treni, na kukosa mategemeo ya kuwa yanafanana za Wazungu ndio yanapeleka mashirika yetu kuwa mabovu? Hamieni huko. Mmelazimishwa kuishi hapa?
Nitarudia. na kuongeza, lengo kuu la hii mada ni kuweka taswira ya uongo..
. ni la Uhasama.
Wacha niwe mpumbavu wewe uendele kutawaliwa
Cha ajabu ni Mwafrika tu ndie asiyejua. Ndicho wanachotaka tuamini. Kwa akili zilizotawaliwa zinaamini. Kwangu, kama jamaa huko juu "Fuvu langu ni kavu na halipenyezi upumbavu.Mbona huku Ujerumani reli ni mali ya serikali, shirika la Posta /DHL ni mali ya serikali. Ni umakini wa watendaji. Kama sheria zikifuatwa all major infrastructure serikali inasimamia vizuri tuu
Sasa unalia nini?Narudia tRNA wewe mbuzi ni mpumbavu. Tuhame hapa, hii nchi ni ya baba yako.
ugeuka mitala wa vifutu was CCM huko, ndio mnajiina kama hii nchi imegeuka ni Mali yenu?
Kwani Ujerumani ni Tanzania? Mada inahusu TanzaniaMbona huku Ujerumani reli ni mali ya serikali, shirika la Posta /DHL ni mali ya serikali. Ni umakini wa watendaji. Kama sheria zikifuatwa all major infrastructure serikali inasimamia vizuri tuu
Ahamie wapi? Umewahi hata kupanda treni ya Kigoma? Umeona vyoo vyake vilivyo?Sasa unalia nini?
punguza jazba. Uhame tu.
Unaonekana huna exposure na akili piaKupanda na kushuka treni, na kukosa mategemeo ya kuwa yanafanana za Wazungu ndio yanapeleka mashirika yetu kuwa mabovu? Hamieni huko. Mmelazimishwa kuishi hapa?
Nitarudia. na kuongeza, lengo kuu la hii mada ni kuweka taswira ya uongo..
. ni la Uhasama.
Wacha niwe mpumbavu wewe uendele kutawaliwa
Kwani China ni Tanzania au Afrika?Wataalamu wa kuendesha STATE OWNERSHIP/ STATE OWNED ENTERPRISES / STATE COMPANIES hapa duniani ni CHINA asilimia 60%-70% ya makampuni ya China ni ya serikali na yanafanya vizuri ndani ya China na duniani kote.
Tanzania tukajifunze China kuendesha haya mashirika katika ubora au tuajiri wataalamu kutoka China watuendeshee haya mashirika yetu kwa miaka 10+
Wewe ni mtala wa Aweso au mchengerwa?Sasa unalia nini?
punguza jazba. Uhame tu.
Umeshawahi kuona vyoo vya treni kwenda ufaransa kutoka uingereza.? Yale yale, kuwa ni mavi na mikojo ya Waafrika ndio yananuka. Ahamie kokote anapotaka.Ahamie wapi? Umewahi hata kupanda treni ya Kigoma? Umeona vyoo vyake vilivyo?
Vyovyote utavyotaka iwe. Haibadilishi chochote kwangu. Mbuzi wangu ana kamba nzuri tu.Wewe ni mtala wa Aweso au mchengerwa?
Ukitaka kupata kilicho bora jifunze kwa aliye bora.Kwani China ni Tanzania au Afrika?
Unatamani nifunguke. Unatamani nikwambie ni nchi chache sana ambazo sijafika....Exposure my foot.Unaonekana huna exposure na akili pia