Ukweli mchungu. Haya ni maisha yangu

Ukweli mchungu. Haya ni maisha yangu

PART TWO...................
Nitajitaidi angalau kwa leo ni post Sehemu hii ya pili tu kwani kwa sasa niko na majukumu ya ofisi mengi!

Tuendelee!!!
.
.
Huu ndio ulikuwa Mwanzo wa ukaribu wangu na Malaika huyu wa duniani. Kwa Semester ile tulimalizia discussion na maandalizi ya UE kwa pamoja, alinisaidia sana pamoja na classmate wenzangu ku cover pale nilipo miss. Nashukuru Mungu Sikupata Supp, japo ufaulu wangu ulikuwa wa kawaida sana.

Nikiwa Likizo baada ya semester ya kwanza, katika moja na mbili na mama, alinipa simulizi moja ambayo sikuwa naifahamu kumuhusu baba. Mama alisema, wakati tukiwa wadogo, kuna Mnyarwanda mmoja alikuja kama mkimbizi, alimkaribisha pale nyumbani kwa mikono miwili kama mdogo wake, mama aliendelea kusema binti yule alipata ujauzito na baadae mtoto wa kike ambaye baba yake hakuwa anafahamika. Mama alisema baada ya miaka mitatu alikuja kugundua baba wa mtoto yule wa kike alikuwa ni baba yetu mzazi. Mama akasema alichukua hatua ya kumfukuza binti yule (Dada Nshime) bila kumhusisha baba. Mama aliongeza kwa kusema mpaka baba anafariki hakuwai kumsamehe wala kutuambia sisi watoto wake kuhusu jambo hili. "Johannes mna dada yenu huko duniani" alijisemea mama!

Semester ya Pili ilianza kwa mixed feelings. Kwanza nilikuwa sijui namna ya kubehave nikiwa na Herrieth, mara zote tukiwa kwenye discussions, nilijitaidi kuwa perfectionist na problem solver, niliamini hii ndio njia pekee ya kuendelea kuwa karibu yake. Pili bado nilikuwa nina kipengele cha mkopo na pesa ya kujikimu kimaisha.

Herrieth alinifanya niiipende shule, nililazimika kusoma sana ili niwe brighter kuliko yeye, assignment nyingi nilikuwa nafanya mimi ili nimfurahishe, na namshukuru Mungu njia zangu zilikuwa zina fanya kazi na kutoa matokeo.

Baada ya Tests za kwanza, matokeo yetu kwa pamoja yalikuwa mazuri sana, Herrieth alifurahi kweli na sifa zote kuhusu ufaulu wake nilipewa mimi. Taratibu nilianza kuona udhaifu wa Herrieth na nguvu (strength) zangu ni zipi. Niliona mimi najiweza sana Darasani na nina uwezo mkubwa wa kufundisha, discussions za usiku ziliongezeka na mara kadhaa, tulifanyia discussion Hall 3, alipokuwa anakaa Herrieth na wenzake.

Siku moja Jumapili, mida ya mchana, Herieth alinipigia simu akiomba aje kunitembelea Ghetoni kwangu Msewe. Hakuna siku moyo wangu ulivuja damu kama siku hii. Kwanza sikuwepo msewe, nilikuwa nimeenda TAIFA na wadau kuangalia mechi ya Simba, pili Gheto langu lilikuwa ni baya sana, nilikuwa nina godoro moja tu la 3*6 tena la inch 4, wenyewe wana liita godoro la kunyoosha mbavu, sina mziki ghetoni, wala chochote chenye thamani. Mashuka yalikuwa ni machafu halafu ndani hamna feni, niliogopa Herrieth angekuja kwenye hali hiyo , ndoto yoyote niliyokuwa nayo juu yake ingeyeyuka.

Nilimsihi Herrieth tufanye wakati mwingine, alinijibu kwamba yuko Msewe kwa rafiki yake wa kike, hivyo ingekuwa ni rahisi kwake kwa siku hiyo. Kwa haraka sana Nilitafakari cha kufanya, nilimuomba anipe lisaa limoja nirudi ghetoni (nilimdanganya niko jirani), wakati niko njiani narudi nilijaribu kuazima godoro kwa wadau (majirani zangu) bila mafanikio, hivyo nikasema moyoni liwalo na liwe.

Saa kumi alasiri nilifika ghetoni, kwa haraka sana nikajaribu kufanya usafi kwa kadri nilivyoweza, kuna Mdau(jirani) mmoja wa CONAS alikuwa anaenda chuo, nikajaribu kumuomba mashuka, mwamba akakubali kwa ahadi ya kufuliwa kabla ya kuyarudisha. Ile tu nimemaliza kutandika mashuka, kudeki chumba na kuondoa nguo zote chafu nje, Herrieth akanipigia simu kwamba hatoweza kuja tena amepata dharula na amelazimika kurudi chuo. Kwa kweli nilipata mixed feelings, kwanza nilighazabika kwa kuwa nimetoka taifa na kuacha mechi muhimu halafu kilichonirudisha hakipo. Lakini pia nilifarijika baada ya kukwepa aibu kubwa ya mwaka.

Siku moja usiku, mida ya saa tano baada ya evening Prep, mwamba niliamua kuwasindikiza wakina Herrieth mpaka Hall 3, tuliongea mambo mengi ikiwa ni pamoja na historia ya maisha yetu, Herrieth alitueleza kwamba yeye alizaliwa 1995, hivyo mimi nilikuwa mkubwa kwake kwa miaka mitatu, pia alisema hajawahi kumfahamu Baba yake tangu amezaliwa, na mama yake amekuwa akimwambia Baba yake alifariki wakati wa vita nchin Rwanda.

Baada ya kuwafikisha Hall 3, Herieth na rafiki zake waliniaga na kuondoka, lakini Herrieth alisita, akarudi nyuma na aliniambia "Johannes wait a minute let me put my bag, I have something for you," Nilikaa pale nje kama kwa dakika 20 hivi namsubiri, then nikaona ameshuka na rasket ndogo kaweka mgongoni, nikajiuliza leo sijui napewa nini? " Lets go Johannes, today i want to sleep at your place" Moyo wangu ulilia Paa!!!! Yani sikujua cha kujibu, nilibaki namwangalia tu kwa wasiwasi mkubwa sana. Ndugu msomaji, napenda uamini kwamba huyu binti alikuwa ni mzuri sana, mrefu, natural hair tena ndefu, alikuwa ana shingo ndefu na ngozi yake ilikuwa very soft mpaka unaogopa kuiangalia.

Nikasema moyoni, hivi haya yanayotokea ni ndoto au ni ukweli, maana huu ni usiku. "Johannes, is everything okay? I’m sorry if I crossed any boundaries" nilipayuka "no no no Herrieth, I'm truly amazed—I never expected such an angel to place her trust in someone as poor as me" nilimjibu kwa unyonge sana Herrieth huku nikikumbuka hali ya chumba changu kilivyo kichafu, hakuna feni, mashuka nilirudisha kwa mdau wa CONAS, vumbi la chumbani, yote kwa yote nikasema Liwalo na liwe.

Tulielekea mpaka kituo cha Kontena kusubiria bodaboda, kwani kwa usiku ule tusingeweza kutembea. Baada ya muda boda alifika tukaelewana bei (elfu 3) mpaka Msewe, tulipanda Mshikaki, Boda mbele, Herrieth Katikati mimi kwa nyuma nimembambia Herrieth kwa mara kwanza kwenye bodabdoa

Nilifungua chumba changu kwa unyonge mkubwa sana, taa ikawashwa, uso wa aibu ulikuwa umenivaa kwani gheto lile lilikuwa ni baya mno. Halikuwa hadhi ya Herieth, magheto kama yale yaliwafaa mafukara sambuli yetu. Herieth alimwagika machozi kwa uchungu, nami sikuweza kumzuia, nilimuacha alie kwani nilijua kilichomliza. Hali yangu ya maisha ilikuwa ni mbaya sana, na hayo yote yalionekana kwenye reflection ya chumba changu.

"Johannes, you have the most beautiful soul I've ever encountered—so humble, loving, caring, and always smiling. It’s hard to believe that someone like you is living this kind of life?" Yalikuwa ni maneno ya uchungu kutoka kwa mrembo Herieth, huku akizidi kuangua kilio kanakwamba kafiwa na mzazi. Baada ya muda alinyamaza nami nikapata ujasiri wa kumueleza Herieth ukweli.

Nimwambia Herieth, historia ya maisha yangu, nilimueleza kuhusu hali ngumu ya mama yangu na ndugu zangu, nilimwambia chochote unachonipa huwa namtumia mdogo wangu wa kike anayesoma, niliweleza kwa kawaida nakula mara moja tu kwa siku, na siku nyingine navusha bila kula, nakumbuka simulizi ile kwa Herieth ilimuumiza sana, alijisikia mnyonge sana huku akinilaumu kwa nini sikumwambia siku zote hizo.

Sikuwa na maneno mazuri ya kumueleza Herieth, tayari alikuwa amesha choka sana, alikuwa mnyonge. Taratibu nilimuweka kwenye kigodoro changu kidogo na kumlaza, nilisita kufanya chochote kwake kwani alikuwa yuko na hali ya huzuni sana. Baada ya kimya kirefu kama nusu saa hivi, Herieth alianza kutoa nguo zake, akabaki na nguo za ndani tu! Bila kuongea chochote, huku natetemeka, nilitoa trouser yangu ya kitambaa na T-Shirt nilibaki na boxer tu! "What do you think you`re doing?" Nilishtushwa na swali, tena kwa ukali kutoka kwa Herieth, "Its hell in here, thats why i had to remove my clothes," aliendelea kuhamaki na kujitetea. Mwamba nikaona huu ni ujinga, yani tunda limenguka lenyewe nishindwe kulila? Nilimwambia " Herieth, you are the most beautiful person I have ever encountered in this lifetime" huku nikimsogelea kwenye godoro "Your eyes are calling out to me, and your waist is longing for my touch" huku nikitasamu niliendelea kushusha verse na kumtuliza mtoto "Herieth, from the moment I first laid eyes on you, my life transformed completely. You redefined beauty in a woman for me, and being with you feels like everything is at its highest stakes"

Usiku ule ulikuwa mrefu, mzuri sana kwetu sote, mrembo Herieth alinipa penzi ambalo sikuwahi kupata, mixer pigo za kinyarwanda na kihaya. Herieth uzuri wake nili-udhihirisha hadi kwenye tendo la ndoa, hakuwa mvivu pamoja na ubovu wa chumba, udogo wa godoro, au joto la mule ndani. Mtoto aligugumia tendo mwanzo mwisho, Penzi lile lilikuwa ni tamu zaidi ya asali, sikuwa kwenye maisha yangu kuwa na ndoto za kulala na mwanamke wa levels zile, kwangu ulikuwa ni muujiza, ilikuwa ni ndoto iliyotimia.

Penzi letu lilizidi kumea, karibu kila mtu darasani kwetu alifahamu kuhusu sisi, tuliongozana kila sehemu pamoja na Mungu akatusaidia tukamaliza salama Mwaka wa Pili wa Shule ya Uhandisi pale Chuo kikuu cha DSM.

2017 tukiwa tunaingia mwa wa nne, mwaka wa mwisho wa Shule yetu ya Uhandisi, Mimi na Harieth tulikuwa tumepanga Chumba na Sebule, Changanyikeni. Maisha kipindi hiki yalianza kuwa mazuri kwani Mwaka wa TATU nilirudishiwa Mkopo wangu. Herieth nilimpenda sana, sidhani kama kuna mwanaume hata mmoja aliyewahi kumpenda mwanamke kiasi kile.

Nilimtambulisha Herieth kwa mama na ndugu zangu, huku nikimwambia mama kwamba huyo ndiye mke wangu mtarajiwa. Herieth alipata ujauzito Semester ya mwisho ya mwaka wa nne. Nilimwambia Herieth, ujauzito huo asiutoe, na mara baada ya chuo nitaongozana naye kwenda Rwanda kumtolea possa.

Siku moja Herieth akiwa na mazungumzo ya simu na mama yake, alimpa simu mama yake anisalimie, Mama Mkwe alikuwa anajua kihaya vizuri, tulisalimiana na kutaniana sana, baadae nilimuuliza mama Mkwe, Kihaya umejifunzia wapi?, akanijibu kwamba aliwahi kuishi mkoa wa Kagera miaka ya 90, nikamuuliza uliishi Kagera sehemu gani, akasema Muleba, Kijiji cha Bisheke. "Now she caught my attention". Baada ya hapo moyo wangu ulisita sana kuendelea kumuhoji maswali mengi kwani nilihisi namfahamu huyo Mama Herieth ambaye ni Mama Mkwe mtarajiwa.

Mimba ya Herieth ikiwa na miezi 6, niliendelea kumdodosa Mama Herieth hasa nikitaka kujua aliwahi kuishi "Bisheke" kwa nani? Siku moja nilimuuliza Herieth hivi jina la mama yako ni nani? "Nshimeimana" alinijibu mara moja. Niliendelea kusita.

Kesho yake nilimuomba Herieth kuongea na mama yake, siku hiyo Mama yake Herieth alinieleza kwamba aliwahi kuishi Muleba, Bisheke, nyumbani kwa familia ya Rwebangira na ndipo alipo mpata Mtoto wake Herieth! Nilichoka aiseee..............

Kwa lugha rahisi, Herieth alikuwa ni dada yangu wa damu.


Kwa leo naomba niishie hapa, Je! Ni nini kitaendelea kuhusu kisa hiki cha kweli kwenye amisha yangu? Ungana nami siku ya Kesho!
Kwa iyo ulimgegeda dadako na umeishi naye na umempa na mimba kabsaa ?? Aiseeee ngoja nkachukue soda ya peps ya barid kwanza
 
Majina yangu ni Johannes Ignatius Rwebangira, mzaliwa wa kijiji cha Bisheke, Kata ya Mubunda, Wilaya ya Muleba Mkoani Kagera. Baba na Mama yangu wote wakiwa wazawa wa kijiji hiki pia, hivyo hapa ni nyumbani.

Mwaka 1994, nikiwa na umri wa miaka miwili (2), ndipo safari ya hadithi ya maisha yangu ilipoanza ambayo ni tamu kuisikia lakini chungu kuiiishi. (NITARUDI HAPA)

Nyumbani kwetu tumezaliwa watoto watano (5), wawili wa kiume na watatu (3) wa kike, mimi nikiwa mzaliwa wa nne (4), na bahati nzuri Mungu ametuweka wote hai. Baba na Mama yetu walikuwa ni wakulima na wafugaji wadogo kikijini, waliishi maisha ya kawaida sana, yasiyo na fahari. Maisha hayo waliyaambukiza kwa watoto, kwani tangu darasa la kwanza mpaka la saba wote tulisoma shule ya msingi ya kijijini Bisheke, tena bila viatu na wakati mwingine bila madaftari.

Mwaka 1994, watu wengi jamii ya Wanya-Rwanda walikuja kijijini kwetu, walikuwa ni wakimbizi jamii ya Watusi, baadae nilikuja kufahamu kwamba walikimbia Vita ya wenyewe kwa wenyewe miaka hiyo.

Binti Mmoja Mrembo (Dada Nshime) wa Kinya-Rwanda alipokelewa nyumbani kwetu na kupewa hifadhi na mama yetu akawa kama msaidizi wa Kazi. Binti yule alikaa kwetu kama ndugu, japo alikuwa anasaidia kazi za nyumbani na Shambani kwa malipo kidogo kila mwezi. Dada Nshime alitupenda sana, sikuwahi kujua kama sio dada yetu mpaka nilipopata ufahamu wa kiutu uzima. Mwaka mmoja baadae Dada Nshime alijifungua mtoto wa kike palepale nyumbani, baba wa mtoto huyo hatukuwahi kumfahamu mpaka dada Nshime alipo tuacha. Nakumbuka Dada Nshime Aliondoka nyumbani mwaka 1997, kwa kutoroka bila kuaga japo baadae sana tulikuja kujua kisa cha kuondoka kwake, na "ndio msingi wa simulizi hii ya maisha yangu."

Maisha yaliendelea, nilimaliza elimu ya sekondari (kidato cha 4) mwaka 2011, Katika shule ya Sekondari ya Mubunda, safari yangu ilikuwa ni ngumu sana kwani nililazimika kuhairisha masomo mara kadhaa, hivyo kuchelewa kumaliza kwa miaka miwili. Mungu si Athumani nilifaulu vizuri na kuchaguliwa kujiunga na Shule ya Advance Sekondari ya Ihungo Mjini Bukoba.

Mwezi January Mwaka 2012, Baba yetu ambaye alikuwa ni mlevi wa pombe na sigara sana, alianza kuumwa tumbo sana, tulimpeleka hospitali ya mission ya Rubya, wakagundua ana Kansa ya Inni, ambayo ilikuwa imesambaa sana. Baba alikaa kama wiki tatu hivi hospitalini na baadae ali aaga Dunia Mwezi wa Tatu mwaka huo huo nyumbani Bisheke.

Nilienda Advance Sec. kwa unyonge sana, kwani pamoja na ulevi uliopindukia wa baba, kitu kiomoja ambacho nitakikumbuka daima, ni upendo na kujali kwake familia na watoto wake.

Mungu alinisaidia, nikafaulu mtihani wangu wa NECTA wa advance, na kuchaguliwa katika chuo cha Uhandisi (COET) ktk Chuo Kikuu cha Dar Es Salaam, Mwaka 2014. Nilifurahi sana, na kidogo nikaanza kuona ndoto zangu zinaenda kutimia.

Mwezi wa November, 2014 nilijiunga rasmi na chuo kikuu cha Dar Es Salaam na kupangiwa hostel main campus, hall 5, floor ya 6 chumba namba nimesahau. Kwa mara ya kwanza nilikanyaga Dar, sikuwahi kudhani kwamba mshamba mimi wa kijijini naweza kufika DSM.

Course niliyochagua ambayo ndio fani yangu mpaka sasa ilikuwa na wanafunzi wa mwaka wa kwanza 35 tu, kati ya hao wanaume 27 na wanawake 8 ambao miongoni mwao watano walikuwa wametoka Rwanda kwa ufadhili wa serikali yao. Hivyo basi Darasa letu lilikuwa na Wanya-rwanda watano wa jinsia ya kike.

Binti mmoja wa Kinya-Rwanda alijitambulisha jina lake kama Herrieth Shimeimana, binti huyu alikuwa ni mzuri sana, mrefu mwenye rangi ya maji ya kunde yaliyo pauka, umbo lake lilimvutia mpaka Tutorial Assistant wetu aliyemnyanyua na kutaka ajitambulishe alipokuwa anajibu Swali.

Baada ya Kipindi kwa kujikongoja na kujitaidi sana, nilijaribu kumsalimia Herrieth bila mafanikio kwani alikuwa na marafiki wengi wa kiume watoto wa mjini ambao pengine walikuwa na muonekano mzuri kuliko wangu.

Binti Herrieth sikuwahi kuongea naye hata neno moja kwa mwaka wa kwanza wote kwani vipindi vingi vilihusisha first years wa course zote za COET, hivyo ilikuwa ni ngumu kumpata, na isitoshe nijiona siko kwenye League yake. Binti alikwa mzuri haswa.....

Mwaka wa Pili ulianza kwa shida kidogo, kwani nilikosa hostel Main Campus na Mabibo Hostel. Nililazimika kupanga chumba kidogo sana Msewe, karibu na hospitali ya Masista kwa mama mmoja hivi ambaye alikuwa ni Nurse pale chuoni. Alikubali nimlipe kwa mwezi mmoja mmoja mpaka pale hali yangu itakapo tengamaa. Pia nilipata shida ya mkopo kwani jina langu halikuonekana kama nina stahili mkopo, kwa kifupi, semester ya kwanza mwaka wa pili ulianza vibaya sana kwangu.

Masomo yalikuwa ni magumu kweli, group discussions nyingi nilikuwa nazikosa, muda mwingi nikishinda ofisi za bodi ya mikopo Mwenge kushughulikia issue yangu. Test za kwanza kwa ajili ya Course work nilifanya vibaya sana na nikajiona nisipokuwa makini mwaka huo sitoboi.

Siku moja Usiku, nikiwa nimechoka baada ya kushinda Bodi ya Mikopo, tena bila mafanikio, nilipokea wa sms kwenye simu yangu ya kitochi, " We need to meet tomorrow morning around 8:00AM, Vimbwetani COET, we have an assignment to attend together" sms hii niliipotezea na kuona ni ujinga kwani nilianza kukata tamaa na shule, kumbuka hapa bado sijalipa ada, na UE zinakuja, hivyo niliona ni kheri nipambanie mkopo kuliko kufanya assignments hivyo sikujibu chochote.

Saa 8:30 AM asubuhi nikiwa kwenye daladala kuelekea Mwenge (Bodi) nilipigiwa na simu ngeni, ilikuwa ni simu ya binti akiniuliza niko wapi, "Johannes where are you", nilimjibu "Wewe ni nani?" ..........."Its Herrieth, i sent you a text yesterday about our assignment, deadline is today around noon", kwa mara ya kwanza nilisahau kama nina matatizo ya mkopo na deni la mwenye nyumba, "Herrieth i`m on my way coming, give me 15 minutes" nilihamaki na ghafla nilishuka kwenye daladala na kukimbia COET kwani ndio kwanza tulikuwa tunatoka kituo cha Utawala.

Group discussion ilienda vizuri, japo kwa upande wangu bado nilikuwa na mawazo sana, naweza kusema wenzangu walifanya kwa niaba yangu. Kwa mara ya kwanza nilifanikiwa kuwa na ukaribu na Herrieth, binti alizidi kupendeza machoni mwangu, alikuwa faraja ya mateso na shuruba niliyopitia, kila nikimuona ninaomba hiyo ndoto ninayoiota iwe ni kweli. Maskini mimi, sikujuwa kwamba nilikuwa naota ndoto mchana tena nikiwa sijalala.

Wiki moja kabla ya Mtihani wetu wa mwisho yaani UE, bado mambo ya mikopo yalikuwa yameshindikana, nilifanya kila nililoweza bila mafanikio, ofisi ya Dean of Students walisema hawana budget hiyo, viongozi wa dini walisema wana request kama hizo nyingi, nikaanza kupata mawazo ya kuhairisha mwaka, nirudi nyumbani nifanye kazi nitafute ada, kwani Mama yangu alikuwa hajiwezi kabisa, ndugu zangu karibu wote wana matatizo yao na mdogo wangu yuko advance anategea kutunzwa.

"Ndugu zangu leo naomba niwaage", haya yalikuwa ni maneno yangu ya utangulizi kwa wanafunzi wenzangu baada ya kipindi nilipokuwa nawaaga kwani tayari nilishaandika barua ya kuhairisha mwaka. Niliwaeleza matatizo niliyopitia semester nzima, kwamba wakati wao wana hangaika na shule, mimi nilihangaika na daladala, kuingia na kutoka kwenye maofisi ya watu kutafuta msaada. Jumla ya Ada illyohitajika kwa Semester ile ni 750,000.00, hivyo hata kwa wanafunzi wenzangu ilikuwa ni changamoto.

Nikiwa mnyonge sana, tena niliyekata tamaa, nikielekea ofisi ya principal wa COET ku submit ile barua, nilipata simu kutoka kwa Herrieth "Johannes are you at COET?" nilijibu ndio nipo COET, kuna nini Herriet? "I heard from my friend that you are postponing a year because of school fees?, can we meet now?" yeye hakuwa darasani wakati naaga wengine!

Binti Herrieth alinipa kiasi cha shilingi million moja za kitanzania, akisema amenikopesha, kwamba siku ni sort mambo yangu nimrudishie. Kwanza sikuamni, kwamba nimepata ada, nimepata hela ya kodi, tena zimetoka kwa Herrieth, mwanamke wa ndoto zangu ambaye kila nikimuona natetemeka. "Herrieth why are you helping me?" nilihamaki kwa broken English yangu, alinijibu kwamba, wao wanapewa pocket money kila baada ya miezi mitatu, na alikuwa na balance ambayo alipanga kumtumia mama yake, lakini baada ya kusikia kwamba nina uhitaji ambao ungewa risk future ya masomo yangu akaona anisaidie.

Huu ndio ulikuwa Mwanzo wa ukaribu wangu na Malaika huyu wa duniani. Kwa Semester ile tulimalizia discussion na maandalizi ya UE kwa pamoja, alinisaidia sana pamoja na classmate wenzangu ku cover pale nilipo miss. Nashukuru Mungu Sikupata Supp, japo ufaulu wangu ulikuwa wa kawaida sana.

Fuatana na mimi kwenye simulizi hii halisi ya maisha yangu, je? ni nini kilitokea kati yangu na Herrieth kuanzia Semester ya Pili mwaka wa Pili? Ngoja niandae report ya Client then tutaendelea.............
twende
 
Majina yangu ni Johannes Ignatius Rwebangira, mzaliwa wa kijiji cha Bisheke, Kata ya Mubunda, Wilaya ya Muleba Mkoani Kagera. Baba na Mama yangu wote wakiwa wazawa wa kijiji hiki pia, hivyo hapa ni nyumbani.

Mwaka 1994, nikiwa na umri wa miaka miwili (2), ndipo safari ya hadithi ya maisha yangu ilipoanza ambayo ni tamu kuisikia lakini chungu kuiiishi. (NITARUDI HAPA)

Nyumbani kwetu tumezaliwa watoto watano (5), wawili wa kiume na watatu (3) wa kike, mimi nikiwa mzaliwa wa nne (4), na bahati nzuri Mungu ametuweka wote hai. Baba na Mama yetu walikuwa ni wakulima na wafugaji wadogo kikijini, waliishi maisha ya kawaida sana, yasiyo na fahari. Maisha hayo waliyaambukiza kwa watoto, kwani tangu darasa la kwanza mpaka la saba wote tulisoma shule ya msingi ya kijijini Bisheke, tena bila viatu na wakati mwingine bila madaftari.

Mwaka 1994, watu wengi jamii ya Wanya-Rwanda walikuja kijijini kwetu, walikuwa ni wakimbizi jamii ya Watusi, baadae nilikuja kufahamu kwamba walikimbia Vita ya wenyewe kwa wenyewe miaka hiyo.

Binti Mmoja Mrembo (Dada Nshime) wa Kinya-Rwanda alipokelewa nyumbani kwetu na kupewa hifadhi na mama yetu akawa kama msaidizi wa Kazi. Binti yule alikaa kwetu kama ndugu, japo alikuwa anasaidia kazi za nyumbani na Shambani kwa malipo kidogo kila mwezi. Dada Nshime alitupenda sana, sikuwahi kujua kama sio dada yetu mpaka nilipopata ufahamu wa kiutu uzima. Mwaka mmoja baadae Dada Nshime alijifungua mtoto wa kike palepale nyumbani, baba wa mtoto huyo hatukuwahi kumfahamu mpaka dada Nshime alipo tuacha. Nakumbuka Dada Nshime Aliondoka nyumbani mwaka 1997, kwa kutoroka bila kuaga japo baadae sana tulikuja kujua kisa cha kuondoka kwake, na "ndio msingi wa simulizi hii ya maisha yangu."

Maisha yaliendelea, nilimaliza elimu ya sekondari (kidato cha 4) mwaka 2011, Katika shule ya Sekondari ya Mubunda, safari yangu ilikuwa ni ngumu sana kwani nililazimika kuhairisha masomo mara kadhaa, hivyo kuchelewa kumaliza kwa miaka miwili. Mungu si Athumani nilifaulu vizuri na kuchaguliwa kujiunga na Shule ya Advance Sekondari ya Ihungo Mjini Bukoba.

Mwezi January Mwaka 2012, Baba yetu ambaye alikuwa ni mlevi wa pombe na sigara sana, alianza kuumwa tumbo sana, tulimpeleka hospitali ya mission ya Rubya, wakagundua ana Kansa ya Inni, ambayo ilikuwa imesambaa sana. Baba alikaa kama wiki tatu hivi hospitalini na baadae ali aaga Dunia Mwezi wa Tatu mwaka huo huo nyumbani Bisheke.

Nilienda Advance Sec. kwa unyonge sana, kwani pamoja na ulevi uliopindukia wa baba, kitu kiomoja ambacho nitakikumbuka daima, ni upendo na kujali kwake familia na watoto wake.

Mungu alinisaidia, nikafaulu mtihani wangu wa NECTA wa advance, na kuchaguliwa katika chuo cha Uhandisi (COET) ktk Chuo Kikuu cha Dar Es Salaam, Mwaka 2014. Nilifurahi sana, na kidogo nikaanza kuona ndoto zangu zinaenda kutimia.

Mwezi wa November, 2014 nilijiunga rasmi na chuo kikuu cha Dar Es Salaam na kupangiwa hostel main campus, hall 5, floor ya 6 chumba namba nimesahau. Kwa mara ya kwanza nilikanyaga Dar, sikuwahi kudhani kwamba mshamba mimi wa kijijini naweza kufika DSM.

Course niliyochagua ambayo ndio fani yangu mpaka sasa ilikuwa na wanafunzi wa mwaka wa kwanza 35 tu, kati ya hao wanaume 27 na wanawake 8 ambao miongoni mwao watano walikuwa wametoka Rwanda kwa ufadhili wa serikali yao. Hivyo basi Darasa letu lilikuwa na Wanya-rwanda watano wa jinsia ya kike.

Binti mmoja wa Kinya-Rwanda alijitambulisha jina lake kama Herrieth Shimeimana, binti huyu alikuwa ni mzuri sana, mrefu mwenye rangi ya maji ya kunde yaliyo pauka, umbo lake lilimvutia mpaka Tutorial Assistant wetu aliyemnyanyua na kutaka ajitambulishe alipokuwa anajibu Swali.

Baada ya Kipindi kwa kujikongoja na kujitaidi sana, nilijaribu kumsalimia Herrieth bila mafanikio kwani alikuwa na marafiki wengi wa kiume watoto wa mjini ambao pengine walikuwa na muonekano mzuri kuliko wangu.

Binti Herrieth sikuwahi kuongea naye hata neno moja kwa mwaka wa kwanza wote kwani vipindi vingi vilihusisha first years wa course zote za COET, hivyo ilikuwa ni ngumu kumpata, na isitoshe nijiona siko kwenye League yake. Binti alikwa mzuri haswa.....

Mwaka wa Pili ulianza kwa shida kidogo, kwani nilikosa hostel Main Campus na Mabibo Hostel. Nililazimika kupanga chumba kidogo sana Msewe, karibu na hospitali ya Masista kwa mama mmoja hivi ambaye alikuwa ni Nurse pale chuoni. Alikubali nimlipe kwa mwezi mmoja mmoja mpaka pale hali yangu itakapo tengamaa. Pia nilipata shida ya mkopo kwani jina langu halikuonekana kama nina stahili mkopo, kwa kifupi, semester ya kwanza mwaka wa pili ulianza vibaya sana kwangu.

Masomo yalikuwa ni magumu kweli, group discussions nyingi nilikuwa nazikosa, muda mwingi nikishinda ofisi za bodi ya mikopo Mwenge kushughulikia issue yangu. Test za kwanza kwa ajili ya Course work nilifanya vibaya sana na nikajiona nisipokuwa makini mwaka huo sitoboi.

Siku moja Usiku, nikiwa nimechoka baada ya kushinda Bodi ya Mikopo, tena bila mafanikio, nilipokea wa sms kwenye simu yangu ya kitochi, " We need to meet tomorrow morning around 8:00AM, Vimbwetani COET, we have an assignment to attend together" sms hii niliipotezea na kuona ni ujinga kwani nilianza kukata tamaa na shule, kumbuka hapa bado sijalipa ada, na UE zinakuja, hivyo niliona ni kheri nipambanie mkopo kuliko kufanya assignments hivyo sikujibu chochote.

Saa 8:30 AM asubuhi nikiwa kwenye daladala kuelekea Mwenge (Bodi) nilipigiwa na simu ngeni, ilikuwa ni simu ya binti akiniuliza niko wapi, "Johannes where are you", nilimjibu "Wewe ni nani?" ..........."Its Herrieth, i sent you a text yesterday about our assignment, deadline is today around noon", kwa mara ya kwanza nilisahau kama nina matatizo ya mkopo na deni la mwenye nyumba, "Herrieth i`m on my way coming, give me 15 minutes" nilihamaki na ghafla nilishuka kwenye daladala na kukimbia COET kwani ndio kwanza tulikuwa tunatoka kituo cha Utawala.

Group discussion ilienda vizuri, japo kwa upande wangu bado nilikuwa na mawazo sana, naweza kusema wenzangu walifanya kwa niaba yangu. Kwa mara ya kwanza nilifanikiwa kuwa na ukaribu na Herrieth, binti alizidi kupendeza machoni mwangu, alikuwa faraja ya mateso na shuruba niliyopitia, kila nikimuona ninaomba hiyo ndoto ninayoiota iwe ni kweli. Maskini mimi, sikujuwa kwamba nilikuwa naota ndoto mchana tena nikiwa sijalala.

Wiki moja kabla ya Mtihani wetu wa mwisho yaani UE, bado mambo ya mikopo yalikuwa yameshindikana, nilifanya kila nililoweza bila mafanikio, ofisi ya Dean of Students walisema hawana budget hiyo, viongozi wa dini walisema wana request kama hizo nyingi, nikaanza kupata mawazo ya kuhairisha mwaka, nirudi nyumbani nifanye kazi nitafute ada, kwani Mama yangu alikuwa hajiwezi kabisa, ndugu zangu karibu wote wana matatizo yao na mdogo wangu yuko advance anategea kutunzwa.

"Ndugu zangu leo naomba niwaage", haya yalikuwa ni maneno yangu ya utangulizi kwa wanafunzi wenzangu baada ya kipindi nilipokuwa nawaaga kwani tayari nilishaandika barua ya kuhairisha mwaka. Niliwaeleza matatizo niliyopitia semester nzima, kwamba wakati wao wana hangaika na shule, mimi nilihangaika na daladala, kuingia na kutoka kwenye maofisi ya watu kutafuta msaada. Jumla ya Ada illyohitajika kwa Semester ile ni 750,000.00, hivyo hata kwa wanafunzi wenzangu ilikuwa ni changamoto.

Nikiwa mnyonge sana, tena niliyekata tamaa, nikielekea ofisi ya principal wa COET ku submit ile barua, nilipata simu kutoka kwa Herrieth "Johannes are you at COET?" nilijibu ndio nipo COET, kuna nini Herriet? "I heard from my friend that you are postponing a year because of school fees?, can we meet now?" yeye hakuwa darasani wakati naaga wengine!

Binti Herrieth alinipa kiasi cha shilingi million moja za kitanzania, akisema amenikopesha, kwamba siku ni sort mambo yangu nimrudishie. Kwanza sikuamni, kwamba nimepata ada, nimepata hela ya kodi, tena zimetoka kwa Herrieth, mwanamke wa ndoto zangu ambaye kila nikimuona natetemeka. "Herrieth why are you helping me?" nilihamaki kwa broken English yangu, alinijibu kwamba, wao wanapewa pocket money kila baada ya miezi mitatu, na alikuwa na balance ambayo alipanga kumtumia mama yake, lakini baada ya kusikia kwamba nina uhitaji ambao ungewa risk future ya masomo yangu akaona anisaidie.

Huu ndio ulikuwa Mwanzo wa ukaribu wangu na Malaika huyu wa duniani. Kwa Semester ile tulimalizia discussion na maandalizi ya UE kwa pamoja, alinisaidia sana pamoja na classmate wenzangu ku cover pale nilipo miss. Nashukuru Mungu Sikupata Supp, japo ufaulu wangu ulikuwa wa kawaida sana.

Fuatana na mimi kwenye simulizi hii halisi ya maisha yangu, je? ni nini kilitokea kati yangu na Herrieth kuanzia Semester ya Pili mwaka wa Pili? Ngoja niandae report ya Client then tutaendelea.............
Itaendelea lini? Mbona wewoooo!!!
 
Back
Top Bottom