We are good, Adim saana dashemejMinal Aidin wal Faizin.
How are you?
Nipoo, maisha tu yananipeleka puta.We are good, Adim saana dashemej
Sidhani ila alivoona akakimbia chap kuja kuletaa uzi huku kumsimangaUlimshauri huyo jamaa yako lakini?
Angemshauri ingekuwa vyema sana.Sidhani ila alivoona akakimbia chap kuja kuletaa uzi huku kumsimanga
Huyo Lamomy ganzi sana, na kama sijamroga huu mwaka sio Mimi. Kila chaka ninalotaka kukaa, lazima akaeneze upupu. Kuniharibia kwa Missy Gf , now ananichafua kwa mchumba π π π π
Ugomvi huu πMuache mchumba wanguπ
Nimemchokoza nani mieπUgomvi huu π
Hiyo ID ya Mchumba inayo cheza cheza naona maruwe ruwe πNimemchokoza nani mieπ