Joannah
JF-Expert Member
- May 8, 2020
- 20,921
- 49,014
Daaah!nimeliaaa sana 🤣Yeah imekuaje umechelewa kujua ebana eeeh🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daaah!nimeliaaa sana 🤣Yeah imekuaje umechelewa kujua ebana eeeh🤣
Ukiwa na penzi lako unataka kulirasimisha, unawachek mods wanakuwekea tag mnayoipendekeza. Mimi na mchumba tumechagua tag hii.Eeeh mna mambo nyie!saa hivi nikiclick hii mchumba yako inasoma Analyse mmmh Kwa hiyo ephen,na analyse na mchumba ni ID za Mtu mmoja
Kweli JF ni lidude likubwa 😄Ukiwa na penzi lako unataka kulirasimisha, unawachek mods wanakuwekea tag mnayoipendekeza. Mimi na mchumba tumechagua tag hii.
Ila unaweza chagua jina lolote mnalopenda na linakuwa rasmi ni lenu. 😅😅😅
Labda kama wanakutaka, ila kinyume na hapo hakuna sababu ya kunibanSubiri mods wakupe ban!😂😂
Utakuwa mkinga wa kwanza kurogeka 😅😅🤣🤣🤣 uniroge mi kijukuu cha mtume shauri yako, ulishawahi kuona mkinga anarogeka??
😅😅😅 Wewe tamba tu wakati unanijua hauna kinga yoyote🤣🤣🤣🤣 Mi natokea uchawi ulikozaliwa
Ngoja nimtafutie ban Lamomy ili apunguze kuniharibia 😅Itakua poa sana sababu nimechoka kupigwa matukio kila siku kudadeqqq😂
🤣🤣🤣🤣 unakufa ww na ukoo wako wote!!Utakuwa mkinga wa kwanza kurogeka 😅😅
🤣🤣🤣🤣 vuta kiti ukae, ndio kwanza kumekucha.!!😅😅😅 Wewe tamba tu wakati unanijua hauna kinga yoyote
😅😅😅 Na watakupata tu. Kumbe unapigwa vita Kila upande?Na wananitafutia ban kinguvu toka jana aisee ulijuaje?? Kuna jinga moja lilinivaa kwenye ule uzi wa chama mpk nikapewa ban ya kutokuchangia uzi 😂😂😂😂😂