Ukweli mchungu ila ubachelor unawafaa zaidi Vijana waliojipata, wapambanaji na wanaojielewa

Ukweli mchungu ila ubachelor unawafaa zaidi Vijana waliojipata, wapambanaji na wanaojielewa

Sasa Mimi sio wa chini kwa chini. Mimi ni adui yako wa live, na sijifichi. Ndege wangu wakipeperuka, naanza kampeni ya kukutafutia ban hapa JF, labda urudi na Ile account yako nyingine ya Joannah 😅😅😅
🤣🤣🤣🤣Kwa hiyo Lamomy na Joannah ni account Moja? mbona account ya lamomy ni mapepe sana naa joannah imekaa ki Mwamposa Mwamposa?How comes
 
🤣🤣🤣🤣Kwa hiyo Lamomy na Joannah ni account Moja? mbona account ya lamomy ni mapepe sana naa joannah imekaa ki Mwamposa Mwamposa?How comes
Huyo ni da mau anatuvuruga tyuu!! Na nyingine ile ya wizo bichwa komwe pia yake 🤣🤣🤣🤣
 
Tatizo ishu zetu zinafanya ukutane na pisi chuma ulete.

Kuna kaumri fulani unapata wanawake wanaokupenda kwa dhati kabisa, ukishavuka hapo, ukawa bize na mitikasi ya maisha pisi utazokua unakutana nazo ni zile kausha damu tu.
 
🤣🤣🤣 halafu ww utakuwa wizo BICHWA KOMWE - unatusumbua tu hapa
Akhuuu 😂😂😂😂😂🤗🤗🤗🤗

Mie ukiniboa nakuparua hapo hapo sijifichi kwa account ya fekero my diha 😹😹

Nakuparua mpaka unasema asante wizo akeee nimetubu saba mara sabini 🤗🤗

ila nina vi account feki vingi vya kudangia humu, nishamnasa hadi mmeo kantreee ,🙈🙈
 
Akhuuu 😂😂😂😂😂🤗🤗🤗🤗

Mie ukiniboa nakuparua hapo hapo sijifichi kwa account ya fekero my diha 😹😹

Nakuparua mpaka unasema asante wizo akeee nimetubu saba mara sabini 🤗🤗

ila nina vi account feki vingi vya kudangia humu, nishamnasa hadi mmeo kantreee ,🙈🙈
Wizooooo 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Wee sema kweli?? Wizo huna bayaaaaaaa..!!
Wizo hivyo vi account fake usiviache endelea kuwakomesha..!! Ila kwa mume wangu u wizo utakufa, usintanie kabisaaa!! 😂😂😂😂

Narudia tena kwa mume wangu cheza kwa step ntakuroga!! 👹
 
Back
Top Bottom