Ukweli mchungu; Kibatala na jopo lake la Mawakili ndio Mawakili maarufu Afrika Mashariki

Ukweli mchungu; Kibatala na jopo lake la Mawakili ndio Mawakili maarufu Afrika Mashariki

king kakaa

Member
Joined
Sep 26, 2018
Posts
25
Reaction score
79
Mimi Binafsi kabla ya kesi ya Mbowe nilikua sikuwahi kuwafatilia kiundani Mawakili wale wa Mbowe ila baada ya kuanza kuwatetea akina Mbowe ndipo nilipo anza kuvutiwa na kuwafatilia.

Kila nilipo kuwa naingia JF kufatilia live kesi ile basi nilikua naanza kusoma pale mawakili wa upande wa utetezi unapo anzia nikawa navutiwa sana na aina yao ya maswali namna wanavyo hoji na kujiamini kwao.

Pia nilivutiwa zaidi na Kibatala pale alipo kuwa akiwahoji maafisa wa polisi na jeshi kwa kujiamini na kuwajaza uwoga mpaka kupelekea Maafisa wale ku kengeuka na kujawa na hofu.

Pia kesi ile ilikua kama Somo kwa wa Tanzania wengi tuligundua mambo mengi mbali na kuvutiwa pia tulijifunza vitu vingi kama PGO nk

Nilivutiwa na mambo mengi pamoja na kustaajabu uwezo mkubwa wa Kibatala alikua anajua kila aina ya mambo ambayo mashahidi wameyaleta akawa anayatolea ufafanuzi bila kubabaika mfano nilivutiwa zaidi pale morning kwenye ushahidi wa mambo ya IT.

Kuna siku nilikua safarini naenda sehem nikakuta mjadala ndani ya usafiri kuhusu hao mawakili kila mmoja alikua anawasifia upande wake kwangu haikua kazi ngum kujumuika katika kuwasifia na kupata nisio ya jua zaidi.

Kama watasoma uzi huu
1KIBATALA
2 MALYA
3NASHON
4

Nawengineo kidogo nime wasahau napenda kuwaambia nyie ni alama ya sheria kw Africa Mashariki
 
Mimi Binafsi kabla ya kesi ya Mbowe nilikua sikuwahi kuwafatilia kiundani Mawakili wale wa Mbowe ila baada ya kuanza kuwatetea akina Mbowe ndipo nilipo anza kuvutiwa na kuwafatilia

Kila nilipo kuwa naingia JF kufatilia live kesi ile basi nilikua naanza kusoma pale mawakili wa upande wa utetezi unapo anzia nikawa navutiwa sana na aina yao ya maswali namna wanavyo hoji na kujiamini kwao
Unamjua Mtobesya
 
Shahidi: Bwana Kibatala hilo siwezi kujibu
Kibatala: Huwezi kujibu kwa sababu hujui au hutaki? Kama hutaki nitamwambia jaji akulazimishe ujibu
Shahidi: Rudia swali ili nijibu.

Sehemu kama hizi ilikuwa burudani na elimu.
Sehemu nyingine pale shahidi anapigwa maswali hadi anaomba kwenda chooni.
Jaji anamwambia nenda lakini urudi. Pale kizimbani sio mchezo.
 
Ni Tanzania tu mkuu.

Huko pengine walienda kumtetea nani mpaka uunganishe nchi za watu
 
Mimi Binafsi kabla ya kesi ya Mbowe nilikua sikuwahi kuwafatilia kiundani Mawakili wale wa Mbowe ila baada ya kuanza kuwatetea akina Mbowe ndipo nilipo anza kuvutiwa na kuwafatilia.

Kila nilipo kuwa naingia JF kufatilia live kesi ile basi nilikua naanza kusoma pale mawakili wa upande wa utetezi unapo anzia nikawa navutiwa sana na aina yao ya maswali namna wanavyo hoji na kujiamini kwao.

Pia nilivutiwa zaidi na Kibatala pale alipo kuwa akiwahoji maafisa wa polisi na jeshi kwa kujiamini na kuwajaza uwoga mpaka kupelekea Maafisa wale ku kengeuka na kujawa na hofu.

Pia kesi ile ilikua kama Somo kwa wa Tanzania wengi tuligundua mambo mengi mbali na kuvutiwa pia tulijifunza vitu vingi kama PGO nk

Nilivutiwa na mambo mengi pamoja na kustaajabu uwezo mkubwa wa Kibatala alikua anajua kila aina ya mambo ambayo mashahidi wameyaleta akawa anayatolea ufafanuzi bila kubabaika mfano nilivutiwa zaidi pale morning kwenye ushahidi wa mambo ya IT.

Kuna siku nilikua safarini naenda sehem nikakuta mjadala ndani ya usafiri kuhusu hao mawakili kila mmoja alikua anawasifia upande wake kwangu haikua kazi ngum kujumuika katika kuwasifia na kupata nisio ya jua zaidi.

Kama watasoma uzi huu
1KIBATALA
2 MALYA
3NASHON
4

Nawengineo kidogo nime wasahau napenda kuwaambia nyie ni alama ya sheria kw Africa Mashariki
Najua huijui hata picha ya Peter Kibatala The Man of The Match.
Hongera nyingi kwao.
1642389271508.jpg
 
Mimi Binafsi kabla ya kesi ya Mbowe nilikua sikuwahi kuwafatilia kiundani Mawakili wale wa Mbowe ila baada ya kuanza kuwatetea akina Mbowe ndipo nilipo anza kuvutiwa na kuwafatilia.

Kila nilipo kuwa naingia JF kufatilia live kesi ile basi nilikua naanza kusoma pale mawakili wa upande wa utetezi unapo anzia nikawa navutiwa sana na aina yao ya maswali namna wanavyo hoji na kujiamini kwao.

Pia nilivutiwa zaidi na Kibatala pale alipo kuwa akiwahoji maafisa wa polisi na jeshi kwa kujiamini na kuwajaza uwoga mpaka kupelekea Maafisa wale ku kengeuka na kujawa na hofu.

Pia kesi ile ilikua kama Somo kwa wa Tanzania wengi tuligundua mambo mengi mbali na kuvutiwa pia tulijifunza vitu vingi kama PGO nk

Nilivutiwa na mambo mengi pamoja na kustaajabu uwezo mkubwa wa Kibatala alikua anajua kila aina ya mambo ambayo mashahidi wameyaleta akawa anayatolea ufafanuzi bila kubabaika mfano nilivutiwa zaidi pale morning kwenye ushahidi wa mambo ya IT.

Kuna siku nilikua safarini naenda sehem nikakuta mjadala ndani ya usafiri kuhusu hao mawakili kila mmoja alikua anawasifia upande wake kwangu haikua kazi ngum kujumuika katika kuwasifia na kupata nisio ya jua zaidi.

Kama watasoma uzi huu
1KIBATALA
2 MALYA
3NASHON
4

Nawengineo kidogo nime wasahau napenda kuwaambia nyie ni alama ya sheria kw Africa Mashariki
Najua huijui hata picha ya Peter Kibatala The Man of The Match.
Hongera nyingi kwao.View attachment 2159247
 
Mimi Binafsi kabla ya kesi ya Mbowe nilikua sikuwahi kuwafatilia kiundani Mawakili wale wa Mbowe ila baada ya kuanza kuwatetea akina Mbowe ndipo nilipo anza kuvutiwa na kuwafatilia.

Kila nilipo kuwa naingia JF kufatilia live kesi ile basi nilikua naanza kusoma pale mawakili wa upande wa utetezi unapo anzia nikawa navutiwa sana na aina yao ya maswali namna wanavyo hoji na kujiamini kwao.

Pia nilivutiwa zaidi na Kibatala pale alipo kuwa akiwahoji maafisa wa polisi na jeshi kwa kujiamini na kuwajaza uwoga mpaka kupelekea Maafisa wale ku kengeuka na kujawa na hofu.

Pia kesi ile ilikua kama Somo kwa wa Tanzania wengi tuligundua mambo mengi mbali na kuvutiwa pia tulijifunza vitu vingi kama PGO nk

Nilivutiwa na mambo mengi pamoja na kustaajabu uwezo mkubwa wa Kibatala alikua anajua kila aina ya mambo ambayo mashahidi wameyaleta akawa anayatolea ufafanuzi bila kubabaika mfano nilivutiwa zaidi pale morning kwenye ushahidi wa mambo ya IT.

Kuna siku nilikua safarini naenda sehem nikakuta mjadala ndani ya usafiri kuhusu hao mawakili kila mmoja alikua anawasifia upande wake kwangu haikua kazi ngum kujumuika katika kuwasifia na kupata nisio ya jua zaidi.

Kama watasoma uzi huu
1KIBATALA
2 MALYA
3NASHON
4

Nawengineo kidogo nime wasahau napenda kuwaambia nyie ni alama ya sheria kw Africa Mashariki
Hao jamaa wanajua sana sheria kwakweli.
 
Bila kibatala hakika siro kingai mahita jumanne gudlack walipanga kumfunga Mbowe
 
Mimi Binafsi kabla ya kesi ya Mbowe nilikua sikuwahi kuwafatilia kiundani Mawakili wale wa Mbowe ila baada ya kuanza kuwatetea akina Mbowe ndipo nilipo anza kuvutiwa na kuwafatilia.

Kila nilipo kuwa naingia JF kufatilia live kesi ile basi nilikua naanza kusoma pale mawakili wa upande wa utetezi unapo anzia nikawa navutiwa sana na aina yao ya maswali namna wanavyo hoji na kujiamini kwao.

Pia nilivutiwa zaidi na Kibatala pale alipo kuwa akiwahoji maafisa wa polisi na jeshi kwa kujiamini na kuwajaza uwoga mpaka kupelekea Maafisa wale ku kengeuka na kujawa na hofu.

Pia kesi ile ilikua kama Somo kwa wa Tanzania wengi tuligundua mambo mengi mbali na kuvutiwa pia tulijifunza vitu vingi kama PGO nk

Nilivutiwa na mambo mengi pamoja na kustaajabu uwezo mkubwa wa Kibatala alikua anajua kila aina ya mambo ambayo mashahidi wameyaleta akawa anayatolea ufafanuzi bila kubabaika mfano nilivutiwa zaidi pale morning kwenye ushahidi wa mambo ya IT.

Kuna siku nilikua safarini naenda sehem nikakuta mjadala ndani ya usafiri kuhusu hao mawakili kila mmoja alikua anawasifia upande wake kwangu haikua kazi ngum kujumuika katika kuwasifia na kupata nisio ya jua zaidi.

Kama watasoma uzi huu
1KIBATALA
2 MALYA
3NASHON
4

Nawengineo kidogo nime wasahau napenda kuwaambia nyie ni alama ya sheria kw Africa Mashariki
SAWA KWAKUWA WAMESHINDWA KUMALIZIA KESI INGEISHA NDIYO WANGEKUWA MAARUFU SASA KESI HAIJAISHA UMAARUFU WAMEUPATA WAPI
 
Kesi gani inayohusisha nchi zote za Afrika mashariki walioshinda? Hadi uwasifie

Hao ni mawakili local vikesi vya mtaa wa ufipa hawana kesi hata moja ya nchi hata mbili tu za Afrika mashariki walizoshinda za nchi tofauti
 
Kesi gani inayohusisha nchi zote za Afrika mashariki walioshinda? Hadi uwasifie

Hao ni mawakili local vikesi vya mtaa wa ufipa hawana kesi hata moja ya nchi hata mbili tu za Afrika mashariki walizoshinda za nchi tofauti
Wivu unakusumbua.
 
Back
Top Bottom