Ukweli mchungu; Kibatala na jopo lake la Mawakili ndio Mawakili maarufu Afrika Mashariki

Ukweli mchungu; Kibatala na jopo lake la Mawakili ndio Mawakili maarufu Afrika Mashariki

Kesi gani inayohusisha nchi zote za Afrika mashariki walioshinda? Hadi uwasifie

Hao ni mawakili local vikesi vya mtaa wa ufipa hawana kesi hata moja ya nchi hata mbili tu za Afrika mashariki walizoshinda za nchi tofauti

ikitokea uganda,kenya,rwanda wakiwaitaji watawaomba tu
 
Aiseee
Oya mkuu nitajie kesi hata 5 kibatala alizoshinda,

Huyo kibatala bora hata jebra kambole


Njooni mnipige sasa, nipo kibo complex hapa
 
ikitokea uganda,kenya,rwanda wakiwaitaji watawaomba tu
Kwa usajili upi huo wa Tanganyika Law society? Hujui kupractice sheria hata hapo Zanzibar tu unatakiwa uwe na usajili wa chama cha wanasheria wa Zanzibar

Kibatala hata hapo Zanzibar tu hawezi mtetea hata kibaka sababu hana usajili.

Usajili wake hana wa nchi hizo huyo jojo.lske akilivaa mwisho wake Tanganyika havuki hata Zanzibar huyo
 
Shahidi: Bwana Kibatala hilo siwezi kujibu
Kibatala: Huwezi kujibu kwa sababu hujui au hutaki? Kama hutaki nitamwambia jaji akulazimishe ujibu
Shahidi: Rudia swali ili nijibu.

Sehemu kama hizi ilikuwa burudani na elimu.
Sehemu nyingine pale shahidi anapigwa maswali hadi anaomba kwenda chooni.
Jaji anamwambia nenda lakini urudi. Pale kizimbani sio mchezo.

Jamaa walikua wanatufaidisha na kutufundisha
 
Shahidi: Bwana Kibatala hilo siwezi kujibu
Kibatala: Huwezi kujibu kwa sababu hujui au hutaki? Kama hutaki nitamwambia jaji akulazimishe ujibu
Shahidi: Rudia swali ili nijibu.

Sehemu kama hizi ilikuwa burudani na elimu.
Sehemu nyingine pale shahidi anapigwa maswali hadi anaomba kwenda chooni.
Jaji anamwambia nenda lakini urudi. Pale kizimbani sio mchezo.

Jamaa walikua wanatufaidisha na kutufundisha
 
Ni Tanzania tu mkuu.

Huko pengine walienda kumtetea nani mpaka uunganishe nchi za watu

Wewe wa huko una Wajua?

Nimepata ushuhuda wa watu wa mataifa mbal mbal wakiwasifu sasa kote huko kuna Miranda’s ya kijamii na vyombo vya Habari mbona hatukusikia
 
SAWA KWAKUWA WAMESHINDWA KUMALIZIA KESI INGEISHA NDIYO WANGEKUWA MAARUFU SASA KESI HAIJAISHA UMAARUFU WAMEUPATA WAPI

Huwa naonaga michango yako humu ming huwa najiuliza huwaga unawaza chochote akilini mwako au upo kama muamzi ulio tobolewa

Kesi walio ifuta ni akina Kibatala?
 
Hapo jirani Kenya kuna mtu anaitwa James Orengo,huyo ni Kibatala wanne ukiwaunganisha.
 
Aiseee
Oya mkuu nitajie kesi hata 5 kibatala alizoshinda,

Huyo kibatala bora hata jebra kambole


Njooni mnipige sasa, nipo kibo complex hapa

Kama ulisoma nilicho andika nimesema baada ya kufatilia kesi ya kina Mbowe

Swala la kushinda kesi ngapi kwangu halina nafasi
 
Ila sio maarufu mimi nililenga umaarufu pia hata huyo Orengo hakuwahi kusimamia kesi kubwa kama hii
Kesi iliyopelekea kutengua ushindi wa Kenyatta 2017 jopo la mawakili wa Odinga lilikuwa chini ya Orengo. Ni kesi iliyoiweka Kenya kuwa nchi ya 3 duniani kwa mahakama kutengua matokeo ya urais. Sidhani kama utailinganisha na hii ya mchongo. Jopo la Uhuru lilikuwa chini ya mawakili nguli kama Prof. Lumumba,Alfred Ngatia nk. Kwa Seneta Orengo kupenya miongoni mwa hao kwa hoja haikuwa kazi nyepesi. Unaweza kuifuatilia you tube uone wenzetu eanavyoingea lugha ya malikia kwenye chemba za mahakama kwa umahiri kabisa.
 
SAWA KWAKUWA WAMESHINDWA KUMALIZIA KESI INGEISHA NDIYO WANGEKUWA MAARUFU SASA KESI HAIJAISHA UMAARUFU WAMEUPATA WAPI
Nadhani waliondoa kesi ili kupunguza umaarufu wao. Jamaa wana wivu sana hadi kwenye umaarufu wa watu[emoji23]
 
The undisputed Law Moguls, achana nao kabisa hao watu Luten Urio alijikuta anaichekea tu kizimbani bila hata kuchekeshwa.
 
Aiseee
Oya mkuu nitajie kesi hata 5 kibatala alizoshinda,

Huyo kibatala bora hata jebra kambole


Njooni mnipige sasa, nipo kibo complex hapa
Kambore mwanasheria wa kupigiwa simu cloud fm kutaka ufafanuzi nje ya hapo sidhani
 
Back
Top Bottom