Ukweli mchungu; Kibatala na jopo lake la Mawakili ndio Mawakili maarufu Afrika Mashariki

Ukweli mchungu; Kibatala na jopo lake la Mawakili ndio Mawakili maarufu Afrika Mashariki

Shahidi: Bwana Kibatala hilo siwezi kujibu
Kibatala: Huwezi kujibu kwa sababu hujui au hutaki? Kama hutaki nitamwambia jaji akulazimishe ujibu
Shahidi: Rudia swali ili nijibu.

Sehemu kama hizi ilikuwa burudani na elimu.
Sehemu nyingine pale shahidi anapigwa maswali hadi anaomba kwenda chooni.
Jaji anamwambia nenda lakini urudi. Pale kizimbani sio mchezo.
Hahahaha ilikuwa burudani sana
 
Kwa usajili upi huo wa Tanganyika Law society? Hujui kupractice sheria hata hapo Zanzibar tu unatakiwa uwe na usajili wa chama cha wanasheria wa Zanzibar

Kibatala hata hapo Zanzibar tu hawezi mtetea hata kibaka sababu hana usajili.

Usajili wake hana wa nchi hizo huyo jojo.lske akilivaa mwisho wake Tanganyika havuki hata Zanzibar huyo
Unauhakika?
 
Kesi iliyopelekea kutengua ushindi wa Kenyatta 2017 jopo la mawakili wa Odinga lilikuwa chini ya Orengo. Ni kesi iliyoiweka Kenya kuwa nchi ya 3 duniani kwa mahakama kutengua matokeo ya urais. Sidhani kama utailinganisha na hii ya mchongo. Jopo la Uhuru lilikuwa chini ya mawakili nguli kama Prof. Lumumba,Alfred Ngatia nk. Kwa Seneta Orengo kupenya miongoni mwa hao kwa hoja haikuwa kazi nyepesi. Unaweza kuifuatilia you tube uone wenzetu eanavyoingea lugha ya malikia kwenye chemba za mahakama kwa umahiri kabisa.

Siwezi kupingana na wewe ngoja nitafatilia

Ila kwahili lilopo Mezani wenzetu wako mbali
 
Kambore mwanasheria wa kupigiwa simu cloud fm kutaka ufafanuzi nje ya hapo sidhani
Kwani kibatala ukiacha vikesi vya ufipa ana maajabu gani?

Kipindi akina mdee,mbowe, msigwa,matiko,bulaya nk wanafungwa ukonga huyu kibatala si ndo alikuwa wakili wao?

Hata yule dogo mtoto wa Chacha Wangwe anakutwa na hatia akalipa 10m, huyuhuyu kibatala si ndio alkuwa wakili wake?
 
S
Kwani kibatala ukiacha vikesi vya ufipa ana maajabu gani?

Kipindi akina mdee,mbowe, msigwa,matiko,bulaya nk wanafungwa ukonga huyu kibatala si ndo alikuwa wakili wao?

Shinikizo toka kwa jiwe
 
Kibatala;shahidi umesoma mpaka darasa la ngapi

Shahidi;. ,nimesoma mpaka fom
foo

Kibatala,; ulipata div ngapi

Shahidi,;; div. foo

Kibatala,;; ya point ngapi

Shahidi. Sikumbuki,,,, mwe kibatala Kibatala Sina hamu naye
 
Kibatala: unafahamu maana ya terrorism
Shahidi: Ni mambo ya utalii.

Fikiria shahidi kachemka swali kama hili, akifika nyumbani si ataenda kulala moja kwa moja!
 
Shahidi: Bwana Kibatala hilo siwezi kujibu
Kibatala: Huwezi kujibu kwa sababu hujui au hutaki? Kama hutaki nitamwambia jaji akulazimishe ujibu
Shahidi: Rudia swali ili nijibu.

Sehemu kama hizi ilikuwa burudani na elimu.
Sehemu nyingine pale shahidi anapigwa maswali hadi anaomba kwenda chooni.
Jaji anamwambia nenda lakini urudi. Pale kizimbani sio mchezo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Urio?
 
Kibatala: unafahamu maana ya terrorism
Shahidi: Ni mambo ya utalii.

Fikiria shahidi kachemka swali kama hili, akifika nyumbani si ataenda kulala moja kwa moja!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom