Kesi gani inayohusisha nchi zote za Afrika mashariki walioshinda? Hadi uwasifie
Hao ni mawakili local vikesi vya mtaa wa ufipa hawana kesi hata moja ya nchi hata mbili tu za Afrika mashariki walizoshinda za nchi tofauti
Kwa usajili upi huo wa Tanganyika Law society? Hujui kupractice sheria hata hapo Zanzibar tu unatakiwa uwe na usajili wa chama cha wanasheria wa Zanzibarikitokea uganda,kenya,rwanda wakiwaitaji watawaomba tu
We fala nn wao ndo walifuta kesi?SAWA KWAKUWA WAMESHINDWA KUMALIZIA KESI INGEISHA NDIYO WANGEKUWA MAARUFU SASA KESI HAIJAISHA UMAARUFU WAMEUPATA WAPI
Shahidi: Bwana Kibatala hilo siwezi kujibu
Kibatala: Huwezi kujibu kwa sababu hujui au hutaki? Kama hutaki nitamwambia jaji akulazimishe ujibu
Shahidi: Rudia swali ili nijibu.
Sehemu kama hizi ilikuwa burudani na elimu.
Sehemu nyingine pale shahidi anapigwa maswali hadi anaomba kwenda chooni.
Jaji anamwambia nenda lakini urudi. Pale kizimbani sio mchezo.
Shahidi: Bwana Kibatala hilo siwezi kujibu
Kibatala: Huwezi kujibu kwa sababu hujui au hutaki? Kama hutaki nitamwambia jaji akulazimishe ujibu
Shahidi: Rudia swali ili nijibu.
Sehemu kama hizi ilikuwa burudani na elimu.
Sehemu nyingine pale shahidi anapigwa maswali hadi anaomba kwenda chooni.
Jaji anamwambia nenda lakini urudi. Pale kizimbani sio mchezo.
Ni Tanzania tu mkuu.
Huko pengine walienda kumtetea nani mpaka uunganishe nchi za watu
Najua huijui hata picha ya Peter Kibatala The Man of The Match.
Hongera nyingi kwao.View attachment 2159247
SAWA KWAKUWA WAMESHINDWA KUMALIZIA KESI INGEISHA NDIYO WANGEKUWA MAARUFU SASA KESI HAIJAISHA UMAARUFU WAMEUPATA WAPI
Aiseee
Oya mkuu nitajie kesi hata 5 kibatala alizoshinda,
Huyo kibatala bora hata jebra kambole
Njooni mnipige sasa, nipo kibo complex hapa
Hapo jirani Kenya kuna mtu anaitwa James Orengo,huyo ni Kibatala wanne ukiwaunganisha.
Kesi iliyopelekea kutengua ushindi wa Kenyatta 2017 jopo la mawakili wa Odinga lilikuwa chini ya Orengo. Ni kesi iliyoiweka Kenya kuwa nchi ya 3 duniani kwa mahakama kutengua matokeo ya urais. Sidhani kama utailinganisha na hii ya mchongo. Jopo la Uhuru lilikuwa chini ya mawakili nguli kama Prof. Lumumba,Alfred Ngatia nk. Kwa Seneta Orengo kupenya miongoni mwa hao kwa hoja haikuwa kazi nyepesi. Unaweza kuifuatilia you tube uone wenzetu eanavyoingea lugha ya malikia kwenye chemba za mahakama kwa umahiri kabisa.Ila sio maarufu mimi nililenga umaarufu pia hata huyo Orengo hakuwahi kusimamia kesi kubwa kama hii
Nadhani waliondoa kesi ili kupunguza umaarufu wao. Jamaa wana wivu sana hadi kwenye umaarufu wa watu[emoji23]SAWA KWAKUWA WAMESHINDWA KUMALIZIA KESI INGEISHA NDIYO WANGEKUWA MAARUFU SASA KESI HAIJAISHA UMAARUFU WAMEUPATA WAPI
Ndo tusikilize tunaemjua kibatala ni overrated kuliko uhalisiaKama ulisoma nilicho andika nimesema baada ya kufatilia kesi ya kina Mbowe
Swala la kushinda kesi ngapi kwangu halina nafasi
Anawapelekesha mawakili wa serikali hadi wanaomba msaada wa DPP kuifuta kesiKwani uongo kesi anazoshinda ni za uswahilini mtaa mmoja tu wa ufipa
Kambore mwanasheria wa kupigiwa simu cloud fm kutaka ufafanuzi nje ya hapo sidhaniAiseee
Oya mkuu nitajie kesi hata 5 kibatala alizoshinda,
Huyo kibatala bora hata jebra kambole
Njooni mnipige sasa, nipo kibo complex hapa