Ukweli mchungu; Kibatala na jopo lake la Mawakili ndio Mawakili maarufu Afrika Mashariki

Hahahaha ilikuwa burudani sana
 
Unauhakika?
 

Siwezi kupingana na wewe ngoja nitafatilia

Ila kwahili lilopo Mezani wenzetu wako mbali
 
Kambore mwanasheria wa kupigiwa simu cloud fm kutaka ufafanuzi nje ya hapo sidhani
Kwani kibatala ukiacha vikesi vya ufipa ana maajabu gani?

Kipindi akina mdee,mbowe, msigwa,matiko,bulaya nk wanafungwa ukonga huyu kibatala si ndo alikuwa wakili wao?

Hata yule dogo mtoto wa Chacha Wangwe anakutwa na hatia akalipa 10m, huyuhuyu kibatala si ndio alkuwa wakili wake?
 
S
Kwani kibatala ukiacha vikesi vya ufipa ana maajabu gani?

Kipindi akina mdee,mbowe, msigwa,matiko,bulaya nk wanafungwa ukonga huyu kibatala si ndo alikuwa wakili wao?

Shinikizo toka kwa jiwe
 
Kibatala;shahidi umesoma mpaka darasa la ngapi

Shahidi;. ,nimesoma mpaka fom
foo

Kibatala,; ulipata div ngapi

Shahidi,;; div. foo

Kibatala,;; ya point ngapi

Shahidi. Sikumbuki,,,, mwe kibatala Kibatala Sina hamu naye
 
Kibatala: unafahamu maana ya terrorism
Shahidi: Ni mambo ya utalii.

Fikiria shahidi kachemka swali kama hili, akifika nyumbani si ataenda kulala moja kwa moja!
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Urio?
 
Kibatala: unafahamu maana ya terrorism
Shahidi: Ni mambo ya utalii.

Fikiria shahidi kachemka swali kama hili, akifika nyumbani si ataenda kulala moja kwa moja!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…