mdukuzi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 20,925
- 51,688
Babu yake alikuwa Akida sijui Liwali kwenye serikali ya kikoloni.
Baba yake akawa DC kwenye serikali ya Nyerere.
Mtoto mtu akawa Rais, na bado ana ushawishi.
Mke wake ni mbunge.
Mtoto ni naibu waziri na bado umri wake ni mdogo unamruhusu kupambana.
Bado ana watoto wengine wanakua, wengine ni madaktari wengine marubani nk. Ridhwani angeweza kufanya kazi BOT au State Atorneys Office ila akaamua kuingia kwenye siasa ili atutawale.
Ili kufanikisha hili kuna familia tano zimejiunga pamoja, Kikwete Family, Makamba Family, Nnauye Family, Kinana Family chini ya master mind Rostam Aziz bila kusahau familia ya mzee Mwinyi. Hakuna kikundi au mtu mmoja mmoja anayeweza kuwashinda hawa ex soldiers.
Bila Mzee Nnauye, Makamba angekuwa anauza mapeasi Lushoto, January Makamba angekuwa anaendesha Fuso.
Bila JK, Nape angekuwa anaendesha bodaboda.
Bila mzee Ruksa JK angekuwa analima mananasi Bagamoyo
Hii ni Family moja tusipoteze muda kushindana nayo bali tuishi nao kwa akili.
Kwani we hupendi asali
Basi tulia ulambe asali kimyakimya
Baba yake akawa DC kwenye serikali ya Nyerere.
Mtoto mtu akawa Rais, na bado ana ushawishi.
Mke wake ni mbunge.
Mtoto ni naibu waziri na bado umri wake ni mdogo unamruhusu kupambana.
Bado ana watoto wengine wanakua, wengine ni madaktari wengine marubani nk. Ridhwani angeweza kufanya kazi BOT au State Atorneys Office ila akaamua kuingia kwenye siasa ili atutawale.
Ili kufanikisha hili kuna familia tano zimejiunga pamoja, Kikwete Family, Makamba Family, Nnauye Family, Kinana Family chini ya master mind Rostam Aziz bila kusahau familia ya mzee Mwinyi. Hakuna kikundi au mtu mmoja mmoja anayeweza kuwashinda hawa ex soldiers.
Bila Mzee Nnauye, Makamba angekuwa anauza mapeasi Lushoto, January Makamba angekuwa anaendesha Fuso.
Bila JK, Nape angekuwa anaendesha bodaboda.
Bila mzee Ruksa JK angekuwa analima mananasi Bagamoyo
Hii ni Family moja tusipoteze muda kushindana nayo bali tuishi nao kwa akili.
Kwani we hupendi asali
Basi tulia ulambe asali kimyakimya