Ukweli mchungu: Kikwete family ni Royal Family watatutawala milele

Ukweli mchungu: Kikwete family ni Royal Family watatutawala milele

Unajua kuna digrii ngapi,zipo mitaani,wazazi wetu walifuata maneno kama yako?
Google maana ya connection,halafu utafakari,japo unaweza ukasoma na usiwe bodaboda au machinga,inategemeana na nyakati.
Mkuu somesha watoto na wajukuu acha kulalama na kulia wivu, ndio suluhisho la kumkomboa mtu kutoka katika umaskini.
 
Back
Top Bottom