Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,838
- 25,282
Naitwa MalayaIle ya wowowo xxl
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naitwa MalayaIle ya wowowo xxl
Rudisha uturoge Sasa.Naitwa Malaya
Usiwasikilize washenzi tu hao.Naitwa Malaya
Nimeona watu wanasema Hy nae Jibaba.Usiwasikilize washenzi tu hao.
Bora hao ni Watanzania wenzetu,mie nalia na yule Mwarabu Rostam ametumaliza sana kwa mgongo wa mchumi wa chama-halafu wote tupo tunamuangalia.
Heh! Wanasema Unique ni mbaba?Nimeona watu wanasema Hy nae Jibaba.
Lizee la hovyo, nimesoma mahala fulani.Heh! Wanasema Unique ni mbaba?
Duh au ni mwanaumetata?Lizee la hovyo, nimesoma mahala fulani.
Kamanda huu mkenge.Duh au ni mwanaumetata?
Bossy nimeambiwa mie ninakunywa dawa zakuongeza maisha , Kisa avatar MatataUsiwasikilize washenzi tu hao.
Mimi binafsi namkumbuka MagufuliJK n familia yake hawajawaondolea watu umaskini?. Mleta mada kaandika uchimvi kwenye andiko lake ingawa wenye akili wamemuelewa anamaanisha nini.
JK kapigana mpaka MOI ikajengwa, haijawaletea matibabu mamilioni ya watanzania wanaupata ajali kila kukicha?.
Kapigana mpaka mwendo kasi ukajengwa, haujaleta mabadiliko katika maisha ya wakazi wa Dar?.
Kila rais ukimsikiliza mtanzania wa kawaida wa mtaani hajafanya lolote, ni mwendo ule ule wa malalamiko.
Rais waliokuja baada ya Nyerere wamemshinda Nyerere kwa kila kitu; kwa kuleta maendeleo ya kiuchumi na kwa kuzalisha mafisadi.
Mimi binafsi namkumbuka Magufuli
1.ametuprotect against chanjo za corona. Hakika aliwazidi ujanja wazungu.
Mimi nilifurahishwa sana na hili.
Mengine siwezi kumsifia maana alikuwa anatimiza wajibu wake sawa na mimi ninapotimiza wajibu kulipa kodi nakuwa raia mwema.
Aisee kumbe hadi wewe umeamini asante sana eeh kama umekubali mio sii mbaba mie nijibaba lenye mavuzi ya gold ila tofauti ipo sio shoga bali nawala wanaume mliokaa vibaya wambeya wambeya ,wafitini ,Heh! Wanasema Unique ni mbaba?
Tuamke watatutawala sn hawaBabu yake alikuwa Akida sijui Liwali kwenye serikali ya kikoloni.
Baba yake akawa DC kwenye serikali ya Nyerere.
Mtoto mtu akawa Rais, na bado ana ushawishi.
Mke wake ni mbunge.
Mtoto ni naibu waziri na bado umri wake ni mdogo unamruhusu kupambana.
Bado ana watoto wengine wanakua, wengine ni madaktari wengine marubani nk. Ridhwani angeweza kufanya kazi BOT au State Atorneys Office ila akaamua kuingia kwenye siasa ili atutawale.
Ili kufanikisha hili kuna familia tano zimejiunga pamoja, Kikwete Family, Makamba Family, Nnauye Family, Kinana Family chini ya master mind Rostam Aziz bila kusahau familia ya mzee Mwinyi. Hakuna kikundi au mtu mmoja mmoja anayeweza kuwashinda hawa ex soldiers.
Bila Mzee Nnauye, Makamba angekuwa anauza mapeasi Lushoto, January Makamba angekuwa anaendesha Fuso.
Bila JK, Nape angekuwa anaendesha bodaboda.
Bila mzee Ruksa JK angekuwa analima mananasi Bagamoyo
Hii ni Family moja tusipoteze muda kushindana nayo bali tuishi nao kwa akili.
Kwani we hupendi asali
Basi tulia ulambe asali kimyakimya