Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Subiri utaelewa Tu ni suala la muda TuAngesambaratisha KWA maslahi ya Taifa ingekuwa poa,lakini alianza zile zake zile!!
Kwamba
Nikiondoka kuna mwingine atafanya Haya!!?
Plus ndugu YANGU nkamia ndio akaharibu kabisaa Eti Bunge la Miaka Saba!?
Ndio ndio,
Jamuhuri iheshimiwe na wote,hakuna JINA kubwa kuliko jamuhuri!
Safi sana 👍 nafurahi nikimuona mtu anajiamini kama wewe ! Wanasemaga As you think so shall you be !! All the best and good luck !!Hamna mkuu
Hao ni sehemu ndogo sana na walitumika KWA kipindi FULANI wakati haiba yao ilihitajika na nguvu zao pia!
Mti hupukutisha majani Ili yaote mapya!
Bunge la 2025 kutakuwa na wapya wengi Sana wakongwe wachache Sana hata hamna kabisa!!
Hao walioshika vitengo toka royal family wanaweza wasishike muda waonukawa Ndio nhuu mama akiwa hatamuni!
Jamuhuri haiwezi endeleza hayo,itaibua vipaji vipya!
Mimi nina imani na jamhuri kuliko taasisi nyingine yeyote hata awamu za Serikali Sina imani nazo maana ni upepo uvumao KWA Muda!
Wao wataondoka na kuwa wankawaida tu na watabaki kula matunda waliyochuma zamani wakati wakiwa kitini!!
Chipukizi tutaingizwa muda Sio mrefu!
We subiri,Mimi najiandaa kuwa mtumishi wa jamuhuri katika level nyingine!
Na mwamba yule angetusua,hizo falme zote angezisambaratishaWaliteleza kidogo wakamkabidhi nchi JPM, cha moto walikiona ila hawatakaa wafanye tena kosa walilolifanya kumpa JPM nchi. Ndio maana wanawaandaa watoto wao kwenye nafasi za uwaziri ndio mapresident wajao.
Alikuwa mkombozi sana ila upande mwingine wa shilingi naye alikuwa na ushetani wake.Na mwamba yule angetusua,hizo falme zote angezisambaratisha
Ova
Upi?!Alikuwa mkombozi sana ila upande mwingine wa shilingi naye alikuwa na ushetani wake.
Aisee raisi anayepotezea na kukaa kimya baadhi ya watu wanauwawa na kupotezwa hiyo sikuikubali kabisaUpi?!
Hii si sawa! Sema bila malecela Nape angalikuwa anaendesha Bodaboda
Usisahau Nape alinyimwa hata sponsorship katika chuo cha diplomasia wakati JK akiwa ni Waziri wa Foreign Affairs, pale alipoambiwa asigombee uenyekiti wa UVCCM amwachie Nchimbi. Aliyesevu ngoma ni malecella. Ladwa ndiye alitoa fedha. Nape bishaBila JK, Nape angekuwa anaendesha bodaboda.
Acha nchi iliwe watuachie mifupa na miba tufyonze.Babu yake alikuwa Akida sijui Liwali kwenye serikali ya kikoloni.
Baba yake akawa DC kwenye serikali ya Nyerere.
Mtoto mtu akawa Rais,na bado ana ushawishi.
Mke wake ni mbunge.
Mtoto ni naibu waziri na bado umri wake ni mdogo unamruhusu kupambana.
Bado anawatoto wengine wanakua, wengine ni madaktari wengine marubani nk. Ridhwani angeweza kufanya kazi BOT au State Atorneys Office ila akaamua kuongia kwenye siasa ili atutawale.
Ili kufanikisha hili kuna familia tano zimejiunga pamoja,Kikwete Family,Makamba Family,Nnauye Family,Kinana Family,chini ya master mind Rostam Aziz.bila kusahau familia ya mzee Mwinyi. Hakuna kikundi au mtu mmoja mmoja anayeweza kuwashinda hawa ex soldiers
Bila Mzee Nnauye, Makamba angekuwa anauza mapeasi Lushoto, January Makamba angekuwa anaendesha Fuso.
Bila JK, Nape angekuwa anaendesha bodaboda.
Bila mzee Ruksa JK angekuwa analima mananasi Bagamoyo
Hii ni Family moja tusipoteze muda kushindana nayo bali tuishi nao kwa akili .
Kwani we hupendi asali
Basi tulia ulambe asali kimyakimya
Kusomesha sio kuelimisha.Mkuu somesha watoto na wajukuu acha kulalama na kulia wivu, ndio suluhisho la kumkomboa mtu kutoka katika umaskini.
Hajui siasa,anajua figisu za siasa za kibongo.Siasa anazijua sana yule mzee
Makondoo tunaishia,wajukuu zetu hawatakuwa makondoo.Watanzania ni makondoo hawana akili hizo
Upi huo???Alikuwa mkombozi sana ila upande mwingine wa shilingi naye alikuwa na ushetani wake.
Huko waliko wahusika wanakulaani kwa kitendo hiki cha kijinga ulichokifanya.Dua la kuku
Mtafute Mungu kwanza na haki yake, hayo mengine yatakufuata.Tafuta pesa vingine vyote utazidishiwa