Ukweli mchungu: Kikwete family ni Royal Family watatutawala milele

Ukweli mchungu: Kikwete family ni Royal Family watatutawala milele

Mwanangu kweli we ni mdukizi haswaaa umenifumbua akili kwa kuongezea nyama kidogo ni hivi sio tu family hizo ongeza kuwa CCM yote nayo ni Jakaya family hata tuneng'eneke vipi kuitoa madarakani sisi watz ni kibarua kugumu hatutaweza labda Mungu aingilie kati maana wao ndo wnajua nchi ilivyo tamu na kwa kifahamu hilo wamejiwekea mtandao wao kote angalia hawa viongozi wakubwa wa kuteuliwa na rais kama vile wakuu wa mikoa, wilaya, wakurugenzi wa halmashauri na manispaa mpka majiji, makatibu wakuu na manaibu, hawa wote ukichunguza ni makada lialia na kindakindaki wa ccm kama sio mwanaccm hupati teuzi hizi

kwaiyo jmn tujiandae kisaikolojia kutawaliwa na hawa kijani milele mi hamna kitu kinanikatisha tamaa kama vyama vingine vya nchi jirani vingi vilivyo kuwa vinaongoza nchi zao kabla ya kupata uhuru wao mpka sasa vilishatolewa madarakani na wapinzani ila kwa ccm ni tofauti tena vinakuja na kujifunza mbinu ovu na chafu za kuendelea kubaki madarakani ama kuingia tena madarakani sasa we fikiria kama tu vyama vingine vya nchi zingine vina kuja kujifunza yaani kupata mbinu ya kutawala nchi zao unadhani ccm itakuwa lahisi kuing'oa madarakani!??

Ndio maana katiba mpya hamna mtu kati ya ccm mwenye shida nayo maana kwanza hawaitaki kwa kuwa inakuja kuwanyima baadhi ya fursa ma mamlaka kama rais kuounguziwa mamlaka hasa ya kuteua teua na kushutakiwa kwa makosa aliyayafanya akiwa madarakani yaani akiwa anatawala ama kuongoza nk.

Kama tutatulia tu hata miaka mingine 100 itaisha bila katiba mpya hata ikipatikana hawataifuata wataivunja tu kama hii iliyopo tena waliyotunga wao ccm wenyewe siku izi wanaivunja mfano wa mambo waliyowahi kuvunja katiba ni kukataza mkutano ya vyama vua siasa katiba inaruhusu hiyo mikutano ila wao walikataza ni nani alibisha wanamuelewa!?? Ikija mpya ndo kabisaa maana itawabana na kuwanyima uhuru walio uzoea.. Mazoea hujenga tabia na tabia ni kama ngozi huwezi ibadili kirahisi hivo.. Ngoja niishiw hapa nisijw kuwavuruga bure wakat hapo mlipo mumeshavurugwa na January [emoji848][emoji23][emoji23]
Yaani CCM sio chama bali ni dubwasha kubwa na la hatari kama ulivyosema ni mpaka Mungu aingilie kati ila sio kwa kupiga kura wanajua utamu wa mamlaka hawa watu
 
Yule mwamba alishafanikiwa kuusambsratisha huu ufalme ila ndio hivyo tena RIP
Angesambaratisha KWA maslahi ya Taifa ingekuwa poa,lakini alianza zile zake zile!!

Kwamba

Nikiondoka kuna mwingine atafanya Haya!!?

Plus ndugu YANGU nkamia ndio akaharibu kabisaa Eti Bunge la Miaka Saba!?

Ndio ndio,

Jamuhuri iheshimiwe na wote,hakuna JINA kubwa kuliko jamuhuri!
 
Bado alichanga karata zake vizuri kumuweka magufuli,unadhani angemuweka nani,lowassa alikuwa amechafuka,Membe ingekuwa ngumu kumnadi walishasema ni ndugu yake,JPM ilikuwa chaguo sahihi kwa muda ule
Kweli Mkuu

Hata juzi alikuwa serengeti pale akapiga picha kama Kijana wa miaka 27!na raba kali!?

Wakati huo rafiki yake wa kitambo sana yupo south anaumwa na PM AKIENDA kumtembelea!

Matukio ndani ya siku mbili au tatu hivi hayakupishana Sana!

Halafu sherehe za mwaka mpya zikafata,Baada ya hapo! Mkutano wa maridhiano na wapinzani ukafuata Baada ya hapo Diwani wajina akaondolewa sintofahamu za kutosha humu JAMVINI!

Hatuja kaa sawa leo nyuzi kama mbili tatu za kumsifu mstaafu wa awamu ya nne!!

Hayo yoyote leo ni tar.12 mapinduzi day!

BADO siku 18 January iishe !!

Ngoja Tuone!
 
Angesambaratisha KWA maslahi ya Taifa ingekuwa poa,lakini alianza zile zake zile!!

Kwamba

Nikiondoka kuna mwingine atafanya Haya!!?

Plus ndugu YANGU nkamia ndio akaharibu kabisaa Eti Bunge la Miaka Saba!?

Ndio ndio,

Jamuhuri iheshimiwe na wote,hakuna JINA kubwa kuliko jamuhuri!
Kabisa
 
Sidhani kama JAMUHURI imeamua hatma ya nchi itegemee hao PEKEE!

Jamuhuri ni complex individual haizoeleki!

Leo itakutumia vizuri kufanikisha operation fulani kesho itasema inatosha Sasa, infulence YAKO KWA kampuni ni kubwa Sana hatutaki jina lako liimbwe Sana kuliko jamuhuri!

Ni hatari Sana jina likavuma kuliko JAMUHURI, jamuhuri haipendi kudogoshwa kama KIPINDI kile, ndio maana hayati Mkapa alimwambia jpm kuwa tunataka kusikia serikali imefanya hivi na vile sio jina lako!!!

Jamhuri haidogoshwi KWA umaarufu wa majina FULANI ndio maana vijana wa NYERERE hawana majina hadi leo!hata Hawa wanaovuma sidhani kama JAMUHURI itavumilia majina yao kwenye hatma ya NCHI YETU!

"NIMEJIFUNZA HAYO,I STAND TO BE CORRECTED"
Kuna kitu nimejifunza kupitia ulichoandika
 
Kweli Mkuu

Hata juzi alikuwa serengeti pale akapiga picha kama Kijana wa miaka 27!na raba kali!?

Wakati huo rafiki yake wa kitambo sana yupo south anaumwa na PM AKIENDA kumtembelea!

Matukio ndani ya siku mbili au tatu hivi hayakupishana Sana!

Halafu sherehe za mwaka mpya zikafata,Baada ya hapo! Mkutano wa maridhiano na wapinzani ukafuata Baada ya hapo Diwani wajina akaondolewa sintofahamu za kutosha humu JAMVINI!

Hatuja kaa sawa leo nyuzi kama mbili tatu za kumsifu mstaafu wa awamu ya nne!!

Hayo yoyote leo ni tar.12 mapinduzi day!

BADO siku 18 January iishe !!

Ngoja Tuone!
Ahaaa da nchi ngumu hii
 
Angesambaratisha KWA maslahi ya Taifa ingekuwa poa,lakini alianza zile zake zile!!

Kwamba

Nikiondoka kuna mwingine atafanya Haya!!?

Plus ndugu YANGU nkamia ndio akaharibu kabisaa Eti Bunge la Miaka Saba!?

Ndio ndio,

Jamuhuri iheshimiwe na wote,hakuna JINA kubwa kuliko jamuhuri!
Jamuhuri ni watu na hao watu ndio wao !! Na hapo inakuwaje sasa !!
 
Jamuhuri ni watu na hao watu ndio wao !! Na hapo inakuwaje sasa !!
Hamna mkuu

Hao ni sehemu ndogo sana na walitumika KWA kipindi FULANI wakati haiba yao ilihitajika na nguvu zao pia!

Mti hupukutisha majani Ili yaote mapya!

Bunge la 2025 kutakuwa na wapya wengi Sana wakongwe wachache Sana hata hamna kabisa!!

Hao walioshika vitengo toka royal family wanaweza wasishike muda waonukawa Ndio nhuu mama akiwa hatamuni!

Jamuhuri haiwezi endeleza hayo,itaibua vipaji vipya!

Mimi nina imani na jamhuri kuliko taasisi nyingine yeyote hata awamu za Serikali Sina imani nazo maana ni upepo uvumao KWA Muda!

Wao wataondoka na kuwa wankawaida tu na watabaki kula matunda waliyochuma zamani wakati wakiwa kitini!!

Chipukizi tutaingizwa muda Sio mrefu!

We subiri,Mimi najiandaa kuwa mtumishi wa jamuhuri katika level nyingine!
 
Babu yake alikuwa Akida sijui Liwali kwenye serikali ya kikoloni.

Baba yake akawa DC kwenye serikali ya Nyerere.

Mtoto mtu akawa Rais,na bado ana ushawishi.

Mke wake ni mbunge.

Mtoto ni naibu waziri na bado umri wake ni mdogo unamruhusu kupambana.

Bado anawatoto wengine wanakua, wengine ni madaktari wengine marubani nk. Ridhwani angeweza kufanya kazi BOT au State Atorneys Office ila akaamua kuongia kwenye siasa ili atutawale.

Ili kufanikisha hili kuna familia tano zimejiunga pamoja,Kikwete Family,Makamba Family,Nnauye Family,Kinana Family,chini ya master mind Rostam Aziz.bila kusahau familia ya mzee Mwinyi. Hakuna kikundi au mtu mmoja mmoja anayeweza kuwashinda hawa ex soldiers

Bila Mzee Nnauye, Makamba angekuwa anauza mapeasi Lushoto, January Makamba angekuwa anaendesha Fuso.

Bila JK, Nape angekuwa anaendesha bodaboda.

Bila mzee Ruksa JK angekuwa analima mananasi Bagamoyo

Hii ni Family moja tusipoteze muda kushindana nayo bali tuishi nao kwa akili .

Kwani we hupendi asali

Basi tulia ulambe asali kimyakimya
Ni mwendazake tu ndie alikuwa na jeuri ya kuwadhibiti hadi wengine kutembelea magoti kwenda kuomba msamaha, Mungu ampe pumziko la milele mwamba wa Chato, alifanya yale aliyostahili na aliweza kunyamzisha walamba asali lakini nao kumbe bado wanayo yao!
 
Ni mwendazake tu ndie alikuwa na jeuri ya kuwadhibiti hadi wengine kutembelea magoti kwenda kuomba msamaha, Mungu ampe pumziko la milele mwamba wa Chato, alifanya yale aliyostahili na aliweza kunyamzisha walamba asali lakini nao kumbe bado wanayo yao!
Hawawezi kurudia kosa kumpa nchi mtu ambaye hayumo kwenye circle yao
 
Punguza povu kaka, hao kina Kikwete wamejaa dunia nzima. Hakuna nchi unayoweza kwenda ukawakosa.

Ni familia maarufu na damu huwa nzito kuliko maji, Baba akiwa rais anajiona ana deni kama mwanae hawezi kuwa na cheo fulani, haya ni mambo ya kawaida kabisa.

Kina Kennedy na kina Rockefeller Marekani. Hakuna nchi utakwenda usikutane na familia za aina hii..

Ni kumkumbusha tu mleta mada atafute cha kwake wa jasho, hakuna anachoweza kufanya kuzuia neema ya hao kina JK.
Kwahiyo issue siyo elimu. Hata ktk utetezi wako hakuna mahala umetaja elimu. Na hapa ndipo kwenye hoja yangu.
 
Elimu ni muhimu siku zote, mambo ya zari kama kina Messi na Ronaldo hutokea mara chache sana na ni kwa yale mataifa yenye misingi mizuri ya michezo ambayo ni matunda ya elimu pia.
Elimu inamuondoaje mtoto wa mkulima, bodaboda, machinga na baamedi toka ktk lindi la umaskini?
 
Kamwe huwezi kuifananisha familia ya zile za kifalme. Na kamwe haiwezi kutokea hivyo.

"Royal family is the immediate family of a reigning monarch"

Tawala za kifalme huwezi kuzifananisha na koo za kichifu, ama kiakida ama kiliwali. Hizi ni koo zenye mamlaka ya kidola na tena kwa kurithishana.

Kuwa mjukuu wa akida, ama mtoto wa liwali ama kinyume chake hakukupi sifa hiyo, kwa kuwa hata katiba ya nchi haitambui jambo hilo.

Hawa ni wananchi kama wengine, labda pengine wana sifa zaidi ya ukwasi wa kifisadi ambao haufanani na historia za koo zao, kwa kuwa hata babu na baba hawakuwa nao.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom