Ukweli mchungu: Kikwete family ni Royal Family watatutawala milele

Ukweli mchungu: Kikwete family ni Royal Family watatutawala milele

Huo ni uoga wako tu,mtoto mmoja wa kikwete kuwa mwanasiasa haimaanishi ndo kututawala milele,ni kawaida mtoto kuvutiwa na kazi ya babaake.wakina George bush au Akina Adam Jones kuwa Marais wa marekani baba na mtoto sio kwamba ndo kuitawala Marekani milele.clinton na mkewe hawajaitawala USA milele.Hata mwinyi na mwanae vipindi vyao vitapita watakuja wengine.Kusema watoto wengine ni marubani,madaktari etc ni fikra potofu kwanza Kuna familia nyingi za kawaida zenye watu wenye hzo professional sembuse familia ya Rais.
Soma vizuri uelewe,hiyo family imekuwa extended sana hata hussein mwinyi anaingia humo
 
Kutawala ?!!!

The Coming Generation haitawaliki, kwa ushauri kama unataka kufanya mambo yako vizuri bila bughudha usiingie kwenye Politics kwenye gap kubwa la walionacho na wasionacho unaweza kuchukiwa bila sababu...

Kama uwezo unao fanya mambo yako..., ukidokoa mali ya UMMA unaweza uka-taint ukoo wako na wakawa branded wezi..., vitukuu vyako vikachukiwa na kunyanganywa kilicho chao kwa visingizio babu yao alikuwa jambazi...

We have dangerous times ahead unless walamba asali wafuate msemo wa kujua kula na vipofu....
 
Toka mwanzo ulionekana tu

Kwa taarfa yako kuna wazee wengi walikuwepo kwenye serkali ya kikoloni kwenye nafasi kubwa zaidi ya hiyo

Kikwete ametesa watu wengi ni swala la muda tu karma kuanza kufanya kazi
Hata kwenye biblia kuna matabaka ya watawala na watawaliwa,kuna familia zilibarikiwa kuliko zingine,sioni kama ni dhambi
 
Back
Top Bottom