Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
Mimi na mkubali sana born town Kikwete
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Soma vizuri uelewe,hiyo family imekuwa extended sana hata hussein mwinyi anaingia humoHuo ni uoga wako tu,mtoto mmoja wa kikwete kuwa mwanasiasa haimaanishi ndo kututawala milele,ni kawaida mtoto kuvutiwa na kazi ya babaake.wakina George bush au Akina Adam Jones kuwa Marais wa marekani baba na mtoto sio kwamba ndo kuitawala Marekani milele.clinton na mkewe hawajaitawala USA milele.Hata mwinyi na mwanae vipindi vyao vitapita watakuja wengine.Kusema watoto wengine ni marubani,madaktari etc ni fikra potofu kwanza Kuna familia nyingi za kawaida zenye watu wenye hzo professional sembuse familia ya Rais.
Subiri uone.Labda kwenye ndoto
Mkuu somesha watoto na wajukuu acha kulalama na kulia wivu, ndio suluhisho la kumkomboa mtu kutoka katika umaskini.
Siasa anazijua sana yule mzee
Watanzania ni makondoo hawana akili hizoKutawala ?!!!
The Coming Generation haitawaliki, kwa ushauri kama unataka kufanya mambo yako vizuri bila bughudha usiingie kwenye Politics kwenye gap kubwa la walionacho na wasionacho unaweza kuchukiwa bila sababu...
Hata kwenye biblia kuna matabaka ya watawala na watawaliwa,kuna familia zilibarikiwa kuliko zingine,sioni kama ni dhambiToka mwanzo ulionekana tu
Kwa taarfa yako kuna wazee wengi walikuwepo kwenye serkali ya kikoloni kwenye nafasi kubwa zaidi ya hiyo
Kikwete ametesa watu wengi ni swala la muda tu karma kuanza kufanya kazi
Even a Cat when cornered it will act as a Tiger.... i.e A cornered cat becomes as fierce as a lionWatanzania ni makondoo hawana akili hizo
Upumbavu huu ,usomeshe wapi kwenye hizi shule za Kayumba?,middle class unayejiona umebadili maisha, huku lingusenguse ni shida na njaa juu,nikasomeshe watoto wangu wapi?Mkuu somesha watoto na wajukuu acha kulalama na kulia wivu, ndio suluhisho la kumkomboa mtu kutoka katika umaskini.
Hivi ukiomba kwenda kumsalimia msoga wanakubania,natamani siku nikitane nae