Ukweli mchungu: Kombe la Mapinduzi ni mashindano ya kutoa fursa kwa wachezaji wanaochipukia

Jana watu walitegemea kumuona Maxi, Pacome, Yao n.k Gamond akasema huu ni uhuni, siwezi kurisk kuweka hawa watu wakati nina kombe la ligi na nashiriki hatua ya makundi klabu bingwa.
 
Ukweli mtupu!
Ila kuna litimu wanachezesha wachezaji wana mvi kila eneo.
Kapombe, Ngoma, Kanoute, Phiri, Onana, Baleke na Saido wote hawa ni kikosi cha kwanza cha Simba.

Ni sawa na 70% ya kikosi cha kwanza, while Yanga wana 20% to 30% ya kikosi cha kwanza kushiriki michuano hii.
 
Hii haibadilishi ukweli kwamba yanga wametolewa,hizi ni hadithi tu za sizitaki mbichi zile.
 
Tangu mwanzo nilipendekeza wapelekwe vijana wa U20 Kwenye mapinduzi nashukuru uongozi wa yanga ulifuata maoni .
Okra anatakiwa akawapige chenga Al ahly na belouzidad na kuwafunga halafu unampandisha boti akacheze na watoza ushuru wa unguja au apr timu isiyoshiriki mashindano yoyoye ya kimataifa .
Binafsi nilitaka yanga afungwe.
Kucheza mapinduzi ni kupoteza muda .
 
Simba angemfunga yanga Hata 1-0 kelele zingekuwa nyingi kuliko πŸ–πŸΏ wasingeangalia wachezaji 14 wa kikosi cha kwanza hawakuwepo .
Hata 1976 simba alimfunga yanga 6 baada ya yanga kufukuza timu yote ya first eleven ambayo ilienda kuunda pan African lakini 1968 yanga alimfunga simba wote wakiwa kamili Kama ilivyokuwa 2023.
 
THAT'S FACT...simba na yanga huwa siriaz na hili kombe pale wanapoona hawana posibility ya kushinda ligi au FA,so mwafulani hana jinsi lazma apambane ili ajiokotee hili kopo la mapinduzi ili mbumbumbu wapate kutulia
 
Ila APR wanacheza kwa kujiamini aisee tuache masihara.niliona Lomalisa akigandisha mpira mguuni kumbe vijama vinamchora tu[emoji23][emoji23]
 
Bado hamjasema
 
Hii isitumike kama excuse, yaani ukipigwa ni umepigwa tuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…