G-Funk
JF-Expert Member
- Feb 10, 2022
- 2,398
- 5,554
Wengi mna apply kazi bila mafanikio na mnaenda mpaka Dodoma mkitumia gharama kubwa ila matokeo huwa hamna.
Wengine wale mnaaomba ma NGO bila mafanikio hali ni tete sana.
Ukweli ni kwamba kazi zinanunuliwa sikuhizi😎 asikwambie mtu kama huna connection usipoteze muda wako hutapata kazi hata ukipata 100% kwenye oral na written.
Wengine wale mnaaomba ma NGO bila mafanikio hali ni tete sana.
Ukweli ni kwamba kazi zinanunuliwa sikuhizi😎 asikwambie mtu kama huna connection usipoteze muda wako hutapata kazi hata ukipata 100% kwenye oral na written.