Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sisi wengine tumesoma seminari maneno machafu yanatupa ikakasi 😄😄😄Na bado album inakuja na cha asubuhi😀😀😀😀
Na inama nipachike, mara natafuta msambwanda wa buku jero, nani akupe tuzoHuku kwetu nyimbo ni kufukua mitaro, inama nikuweke sijui nn kalia mshedede [emoji23][emoji23][emoji23]
Na mashuka yangu hata hawakunijali, mi masai bana mi machai banaa"Me mmasai bana, nasema Me mmasai"
Jamaa alidhani kua kule ni bongo akivaa haya mashuka atakua talk the show, wap bwana wakampotezea akabaki kama yatima na meneja wake mganga wa jadi
Tena na hayo manguo ya kimasai ndiyo kwanza ma-star wakawa wanamkwepa kwenye red carpet wanajua jamaa atawaambukiza Covid19 ya porini.Jamaa alidhani kua kule ni bongo akivaa haya mashuka atakua talk the show, wap bwana wakampotezea akabaki kama yatima na meneja wake mganga wa jadi
😀 😀 😀Huku kwetu nyimbo ni kufukua mitaro, inama nikuweke sijui nn kalia mshedede [emoji23][emoji23][emoji23]
😀 😀 😀 AiseeTena na hayo manguo ya kimasai ndiyo kwanza ma-star wakawa wanamkwepa kwenye red carpet wanajua jamaa atawaambukiza Covid19 ya porini.
Mitaa inasema jamaa na nguo zake za kinjeree ikasababisha ma-star wakawa wanamkwepa kwenye red carpet waliogopa Corona ya mwituni.Safala hana nyimbo ya kuwekeana ubabe na burna
Mitaa inasema jamaa na nguo zake za kinjeree ikasababisha ma-star wakawa wanamkwepa kwenye red carpet waliogopa Corona ya mwituni.
Babu Tale alimfunga kama kanga yani.😂😂😂😂😂Halafu haikumpendeza kabisa.
"Me mmasai bana, nasema Me mmasai"
Hayo nimajungu, wala sio ushauriFact bro..... Monday anaimba upumbavu mtupu sijui shule inamkwamisha??🚶🚶🚶
Muziki wake mzuri tatizo lugha chafuHayo nimajungu, wala sio ushauri
Ndio wamasai wanavyovaa ivi???
"Me mmasai bana, nasema Me mmasai"
Yes kina mama wa kimasaiNdio wamasai wanavyovaa ivi???