Twice as tallKama kweli haya mambo yapo basi jamaa ni Masonic. Haiwezekani nyimbo zake zikipigwa tu mabinti na slay Queens wapige mayowe hadi wanamwaga vinywaji hata kama hawajui ujumbe uliomo kwenye wimbo[emoji3]. Ukicheki jamaa si HB kama watakiwavyo walamba lips, sauti yake ya ajabu ajabu kama mzimu hivi![emoji3], anaimba tu kama hataki!
hapo sasa; siwezi kupiga kura kwa nyimbo za matusi.Huku kwetu nyimbo ni kufukua mitaro, inama nikuweke sijui nn kalia mshedede [emoji23][emoji23][emoji23]
Jinsi unavyoelezea inaonekana ulikuwepo na wewe.Jamaa alidhani kua kule ni bongo akivaa haya mashuka atakua talk the show, wap bwana wakampotezea akabaki kama yatima na meneja wake mganga wa jadi
Pamoja na hilo Hapana bado si kawaida. Ndio humo humo wamemng'alishia hadi umeipenda[emoji3]Twice as tall
Embu tafsiri nyimbo 3 za diamond kwa kingereza ili Bet wamueleweya kaisali imeenda kwa kaisali, BET wangempa hata best looser ningewa maindi
Kwamba tuzo alikosa kwasababu wagawa tuzo hawajui kiswahili?Embu tafsiri nyimbo 3 za diamond kwa kingereza ili Bet wamuelewe
Hakuna hata anaemshangaa wala kumsemesha!!!??noma sana
Hupapendi?Yaan wewe na kwa mpalange mmhh vipi akiimba na cha asubuhi[emoji3][emoji3][emoji3]
Acha umalaya wa mawazoNa inama nipachike, mara natafuta msambwanda wa buku jero, nani akupe tuzo
Facts sema tu watanzania wana akili mgando sana na hawajuwi vitu...Kibongo bongo Diamond anaonekana ni msanii mkubwa lakini kimataifa hana issue yeyote, huwezi mgombanisha Diamond na wasanii wakubwa hapa Afrika.Somo la leo UKWELI MCHUNGU KUHUSU BURNABOY .... ila wabongo hatupendi kuangalia FACTS kwenye mambo mengi. Mwaka jana BURNABOY alitoa album ya TWICE AS TALL na ilifanya vizuri sana na miongoni mwa wasanii na mfanyabiashara P.DIDY aliipa support kubwa sana maana anaujua uwezo wa BURNABOY.
Ukiachana na album wakati anaapishwa rais mpya wa marekani nyimbo ya BURNABOY inaitwa DESTINY ilichaguliwa miongoni mwa nyimbo 100 zitakazopigwa kwenye ule UAPISHO. Sasa kama wamarekani wanafika hatua ya kuitumia nyimbo ya BURNABOY kwenye hafla kubwa ya kitaifa kama ile na duniani kupo na wasanii wengi na nyimbo ni nying sana basi ujue BURNABOY yupo na kitu cha ziada.
Kwa hizi FACTS BURNABOY ndipo alipowazidi wasanii wengine. Na wenzetu hawaangalii MAKELELE na kiki bali wanaangalia FACTS. WANAIGERIA walikuwa kimya kwenye mitandao maana waliangalia UKWELI tuu wakajua hii TUZO ni yao kabisaaa. TATIZO ni hapa kwetu BONGO tunashindwa kusimamia UKWELI tunaanza KUPEANA SUPPORT za kinafiki dakika za MWISHO.
Wasanii wa bongo waache kuendekeza MAKELELE ya kila siku, wafanye mziki mzuri tuchukue hizi TUZO kubwa kama tulivyokuwa tunachukua tuzo zingine hapo zamani.
Wakina BURNABOY wanafanya mziki tuu hawana vurugu wala MAKELELE kama wasanii wa bongo na wanashinda TUZO kubwa kila siku. TUJIFUNZE kutokana na makosa....
Inachefua sanaHuku kwetu nyimbo ni kufukua mitaro, inama nikuweke sijui nn kalia mshedede [emoji23][emoji23][emoji23]
Juma lokole Unawashwa kinyeo?Acha umalaya wa mawazo
Juma lokole nawashwa kinyeo?
Nikukune kinyeoKwamba?
Nikune kinyeo
[emoji16][emoji16][emoji16]Huku kwetu nyimbo ni kufukua mitaro, inama nikuweke sijui nn kalia mshedede [emoji23][emoji23][emoji23]
Umesahau na hii mzee...Somo la leo UKWELI MCHUNGU KUHUSU BURNABOY .... ila wabongo hatupendi kuangalia FACTS kwenye mambo mengi. Mwaka jana BURNABOY alitoa album ya TWICE AS TALL na ilifanya vizuri sana na miongoni mwa wasanii na mfanyabiashara P.DIDY aliipa support kubwa sana maana anaujua uwezo wa BURNABOY.
Ukiachana na album wakati anaapishwa rais mpya wa marekani nyimbo ya BURNABOY inaitwa DESTINY ilichaguliwa miongoni mwa nyimbo 100 zitakazopigwa kwenye ule UAPISHO. Sasa kama wamarekani wanafika hatua ya kuitumia nyimbo ya BURNABOY kwenye hafla kubwa ya kitaifa kama ile na duniani kupo na wasanii wengi na nyimbo ni nying sana basi ujue BURNABOY yupo na kitu cha ziada.
Kwa hizi FACTS BURNABOY ndipo alipowazidi wasanii wengine. Na wenzetu hawaangalii MAKELELE na kiki bali wanaangalia FACTS. WANAIGERIA walikuwa kimya kwenye mitandao maana waliangalia UKWELI tuu wakajua hii TUZO ni yao kabisaaa. TATIZO ni hapa kwetu BONGO tunashindwa kusimamia UKWELI tunaanza KUPEANA SUPPORT za kinafiki dakika za MWISHO.
Wasanii wa bongo waache kuendekeza MAKELELE ya kila siku, wafanye mziki mzuri tuchukue hizi TUZO kubwa kama tulivyokuwa tunachukua tuzo zingine hapo zamani.
Wakina BURNABOY wanafanya mziki tuu hawana vurugu wala MAKELELE kama wasanii wa bongo na wanashinda TUZO kubwa kila siku. TUJIFUNZE kutokana na makosa....
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Juma lokole Unawashwa kinyeo?