Ukweli mchungu kuhusu KINANA

Au mimi sijaelewa!kwamba ametumikia Jeshi kwa miaka 20,amestaafu/kuacha Jeshi 1972..wakati sisi Uhuru tumepata 1961!Ina maana Kinana alikuwa Jeshini tangu enzi za King African Rifles (K.A.R)?....."Ukisikia 'Tuuuuuuu' jua Tembo kakoswa,Usiulize nani huyoo..We jua tu Kinana kapita"
 


Huo uaskari jeshi wake na hiyo strategic planning yake aliyosomea ndiyo anayoitumia kuangamiza tembo wetu huko mbugani!!
 
Ama kweli Kinana ni mtu makini,yaani kwa miaka yote hiyo akiwa mtendaji wa Chama na Serikali amekuwa akituulia Tembo wetu na kuvuna Maliasili yetu bila hata kutiliwa shaka.
 
Ama kweli Kinana ni mtu makini,yaani kwa miaka yote hiyo akiwa mtendaji wa Chama na Serikali amekuwa akituulia Tembo wetu na kuvuna Maliasili yetu bila hata kutiliwa shaka.

mti wenye matunda ndio urushiwao mawe
 
Ni wakati wa kuangalia mambo aliyofanya kinana before amekuwa ni mtu wa mikakati,makini ,mwenye huruma kwa watu na sasa kamudu kuwaunganisha watu wa chama chake na kurejesha umoja na mshikamno ambao uliyumba wakati wa mkama.
 
Aisee. Kutokana na uwezomhuo wa kinana, ndo maana chadema wanaweweseka na kutafuta kila mbinu chafu kumchafua

wanamchafuaje? kusema meli zake zimepeleka pembe za ndovu kwa kudanganya ni renewable plastics? Je si magari ya Jeshi yamekuwa yakitumika kusafirisha wanyama walio hai na mazao ya wanyama hao?

Unakumbuka lile gari la Jeshi lilikamatwa likisafirsha kule ARUSHA japokwa lilikamatwa baada ya kupinduka? Juu namba za jeshi na chni namba za kiraia? si ndo hujuma za hawa askari unaowaita majemedari?

sasa kusema wanahusika na ujangili ni mbinu za kuwachafua au ni kusema kweli?
 
Hii thread ni makala ya Absalomu Kibanda ambayo ilishaprove kinyume na maudhui yake. Kwa muda aliokaa Kinana na cheo hicho sijaona lolote la maana mpaka sasa alilofanya zaidi ya Mukama. Kama ni kuzomewa wote wamezomewa na kama ni kuhonga wapinzani uchwara ili wajiunge na kununua kadi Kinana vivyo hivyo na mengine.... Nami na nasema ni mpuuzi tu anayeeendelea kuamini maudhui ya makala hii ya zamani, kwa wakati huu tulio nao.
 
Wengine wanaua watu hamsemi na wanaendele kupanga mauaji lakini husemi mpaka wanapanga kumuua yulema mama ila uko kimya,badala yake unaishia kutunga uongo tu.
 
Kinana ni mtendaji makini zaidi ya makatibu wakuu wote wa vyama njaa akina slaa na utendaji wake unajulikana ndiyo maana chadema wanahaha na mambo ya meno ya tembo hivi ukiwa na basi ukapakia abilia akiwa na bangi kwenye begi lake ile bangi ikikamatwa wewe mwenye gari unahusika vipi? Mbona kuna viongozi wa upinzani ni wachafu wauaji lakini mnawasifia kila siku mfano mbowe alihusika na mauaji ya chacha wangwe na legia mtema na amezaa na esta matika lakini munamuna mungu wenu kwa sababu ya ujinga na uelewa wenu unao lingana na kuku wa kienyeji! Pole sana kinana atawanyosha mwaka huu hadi mkome.
 

Aisee.....kumbe aliingia jeshini 1952?
 
mleta uzi kafungua macho yangu sikuwahi kusoma makala hii,hili nalo ni la kutafakali tena,yawezekana hata yanayoendelea bungeni ni mpango maalum wa kumchafua ila kama mtu ni msafi ni msafi tu.
 
Mmeshindwa kuthibitisha madai yenu sasa mnakuja na issue ya uraia. Inacyoelekea hata maana na aina ya uraia hujui
 

Mkuu barafu hii ni makala ya hovyo aliyoandika Kibanda ina makosa mengi, hapo kwenye red ndo ujue hii makala haikuandikwa tu hivihivi kulikuwa na kitu nyuma yake ndo maana imejaa upotoshaji. Cha kushangaza historia yake inaonesha kazaliwa mwaka 1951 (i humbly stand to be collected) kwa hiyo aliingia jeshini akiwa na umri wa mwaka mmoja. Hapo ndo ujue kumbe huyu waliyemng'oa meno na kumtoboa jicho walianza kumtumia siku nyingi. Alipohama kambi ndo yamemkuta yaliyomkuta. MAGAMBA HAWANA KITU WAMEISHA NI SUALA LA MUDA TU tutawatupa nje.
 
Tunakushukuru mleta uzi kwa uzi huu nadhani ili upigane vita kwa uhakika ni lazima ujue uwezo na udhaifu wa adui yako kwa haya tunazidi kumjua kinana na kubuni mbinu mbadala za kupambana nae. Pamoja na sifa zote lakini bado kitu kimoja umeacha kuzungumza kuhusu udhaifu wa kinana. Hata hivyo pamoja na sifa zote ulizompamba lazima pia ukubali kwamba saliweza kufanikiwa kisiasa katika kipindi ambacho Watanzania wengi tulikuwa bado tumelala usingizi kwenye siasa za nchi hii. Kumbuka kuwa kwa sasa kumekuwa na mabadiliko makubwa sana kuhusu siasa za nchi hii ambazo kwa vyovyote vile Kinana si mzoefu wa siasa za sasa. Lakini pengine kubwa zaidi ni kwamba, tofauti na miaka ya nyuma kizazi hiki ni cha tofauti sana kukubali siasa za kina Kinana. Hiki ni Kizazi ambacho mi nakiita Critical generation. Kinana hana uzoefu na kizazi hiki na nina uhakika kwamba anafahamu kuwa siasa za sasa ni changamoto kubwa kwake kama katibu mkuu wa CCM. Vijana wanakwambia fashion ya sasa ya siasa ni CDM. M4C ndio story ya mjini ndio maana kwenye mikutano yake anaishia kubeba wamama kwenye malory baada ya kuwalipa elfu mbilimbili. Na hili halihitaji Ph.D kuelewa fanya tu personal observation utaona ni akina nani wanahudhuria mikutano ya CCM na CDM. Mi nakaa na vijana vijiweni na vyuoni vijana wanakwambia CCM ya sasa ni aibu kuizungumzia mbele ya watu au kuhudhuria mkutano yake labda unywe kidogo uende kama mwenda wazimu. Kwa mazingira kama haya Kinana ana kazi ya ziada kuivusha CCM 2015 na anaweza akajikuta anafeli zaidi ya mtangulizi wake. Unajua CCM walizoea vyama vya upinzani vya msimu, Sasa CDM imewashika pabaya ndio maana mpaka wanachanganyikiwa wabunge wao wanaliomba bunge lifute maandamano, na wanasahau kama waliyaweka wao kikatiba kama haki, haya yote ni kauli za mfa maji, wanatapatapa CCM hoi. Nawasilisha
 
j
Unaongelea Kinana yupi? yule Jangikli ama yule Msomali?

ukitaka kumkabili kinana jipange tena,utatia aibu inaonekana ni mwanasiasa aliyekomaa haswa kisiasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…