Ukweli mchungu kuhusu KINANA

Kinana ni mtendaji makini zaidi ya makatibu wakuu wote wa vyama njaa akina slaa na utendaji wake unajulikana ndiyo maana chadema wanahaha na mambo ya meno ya tembo hivi ukiwa na basi ukapakia abilia akiwa na bangi kwenye begi lake ile bangi ikikamatwa wewe mwenye gari unahusika vipi? Mbona kuna viongozi wa upinzani ni wachafu wauaji lakini mnawasifia kila siku mfano mbowe alihusika na mauaji ya chacha wangwe na legia mtema na amezaa na esta matika lakini munamuna mungu wenu kwa sababu ya ujinga na uelewa wenu unao lingana na kuku wa kienyeji! Pole sana kinana atawanyosha mwaka huu hadi mkome.
 
Kinana anakubalika mijini na vijijini. Waache chadema wahangaike na mijini ambako hata huko pia hawakubaliki
 
Utakuja kuona kazi ya kinana baada ya uchaguzi mkuu wa 2015
 
Yaliondikwa yote hakuna asiyeyajua, ni sawa na mtu ambaye tokea shule ya msingi hadi anamaliza PHD amekua anafauru kwa marks za juu and may be amekua akirushwa hata baadhi ya madarasa (kama Dr. Daudi Balali) lakini linapokuja suala la uzalendo kwa nchi yake amekua akitumia akili yake kuangamiza nchi na vizazi vijavyo, hapa hatutaki kusikia uzuri wa historia ya mtu, tunaangali utendaji wa mtu na sio vinginevyo! Kajipange upya, twambie aliiba na kuua Tembo wetu au hakuua, hilo tu.
 
...ndiye aliyemuongoza Benjamin Mkapa katika mapambano makali ya kisiasa mwaka 1995, zama Augustine Mrema alipokuwa tishio la kwanza la kweli dhidi ya CCM katika Uchaguzi Mkuu.

Je mahusiano yake na Gen. Imran Husein Kombe mbona huweki...?????
 
Yaani hii makala imejaa upotoshaji hebu someni historia ya Kinana:

Born in the Arusha region in October 1951, Kinana did his primary and secondary studies in that city, before attending the Old Moshi Secondary School.

He was one of those responsible for the TANU party youth organization in the Korogwe district between 1971 and 1972, before following the teachings of the Kivukoni Ideological College in 1973.

From 1974 to 1985, he undertook a long career as a political commissar in several military schools, and from 1984 to 1985, at the 20th division of the Tanzania Peoples Defence Force (TPDF).

In the meantime, in 1984, he had graduated from the university of Ljubljana in Yugoslavia.
 
Kinana ni mwanajeshi amelitumikia jeshi kwa kipindi kirefu kwa cheo cha kanali...si mtu wa kupuuzwa

Mimi Nampuuza, kwa kuwa hajajibu shutuma na wala serikali haijamwomba mtoa hoja atoe ushahidi. Tumwamini nani hapo bila ushahidi?
 
Hii imefanana na makala ya Kibanda ambayo niliwahi kuisoma kwenye gazeti la Tanzania Daima

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Hakuna la maana hapa....kama angemudu kusafisha mafisadi wote ndani ya chama ningeelewa, lakini katu hawezi kuthubutu...anaetetea uovu nae ni mwovu tu. Pia si ana tuhuma za ujangili, kwahiyo uadilifu wake una mashaka makubwa. Labda awe ni hodari wa mikakati/mbinu ovu kwa ajili ya kuua upinzani lakini si kwa hoja.
 
Ni ukweli usiopingika kuwa chama cha mapinduzi ccm ni chama ambcho kimeundwa na magenge ya wezi, majambazi wahujumu uchumi na watesji. Hii ndio taswiras kama ulikuwa haujui mtanzaqnia mwenzangu.
 
ziara yake moja tu ya mkoa wa Morogoro imezua tafrani nchi nzima

Ziara au alikuwa kwenye fiesta la chama kuweni wakweli jamani mkiitisha mikutano basi booking za maroli na mabasi zote zinafutwa ili myatumie kusomba watu na mpunga mnawapikia..kuweni wakweli acheni kujidanganya angekuwa mtu makini msingetumia mbinu za kusomba watu kwenye mikutano yenu ikiongozwa na kinana mwenyewe
 
Kinana anakubalika mijini na vijijini. Waache chadema wahangaike na mijini ambako hata huko pia hawakubaliki
Mkuu naona wewe huna hoja ila unazungumza ushabiki lakini labda nisijibu huenda ukweli unaujua au basi umepita kwa bahati mbaya hapa jamvini wewe hujui siasa za Nchi hii. Ukitaka kujua kama CDM wanakubalika au hawakubaliki nenda kawaulize akina kinana, Kikwete, Nape, wasira na hata Makinda watakwambia.
 
hii profile yako naloliga hurita inanifanya nisiamini sana uliyoandika, lakini pia mtu makini kama unavyotuaminisha asingetumia zaidi ya nusu saa kuiongerea cdm morogoro kana kwamba ndicho jk alichomuwekea hapo. Siasa zinabadilika na hata Mzee Makamba alikuwa luteni lakini wanasema ndiye kadhoofisha chama na hata hizo siku unazoongelea sijui mwaka 1972 akina Mnyika, Lissu, Zitto na hata Filikunjombe walikuwa hawajainuka.
Kajipange upya na kama ni mchango wake upo basi historia itautendea haki wala usiwe na hofu
Join Date : 22nd April 2013

Posts : 84

Rep Power : 318
Likes Received10
Likes Given21
 
umechambua vizuri mno nami naafikiana nawe kuwa Kinana ni mtu wa kimkakati zaidi na haijalishi kuwa mkakati huo ni halali au ni haramu.
Jambo moja ambalo umesahau ni kuwa kwa sasa kuna mgawanyiko mkubwa ndani ya CCM ukiwajumuisha watu ambao hawakuwepo 1995 na 2000,hili si jambo jepesi.
Pili ni kuwa kuna ujasiri mkubwa wa watu kuzungumza kuhusu viongozi na hata hili la meno ya tembo si ajabu nimeibuliwa na watu walioko ndani ya CCM.
Hatari ninayo iona ni kuwa anaweza akatumia mkakati uliopitwa na wakati na akatuingiza katika machafuko.
Nguvu kubwa iliyotumika kumtetea na ujanja wa kukwepa kuchukua ushahidi kutoka kwa wapinzani unanitia mashaka,nahisi kuna dalili ya ukweli katika hili.
 
Ukweli ukikuuma unaishia kutukana tu

siku zote mpaka nchi inaingia kwenye UFISADI na ujangili wa hali ya juu alikuwa wapi? Tatizo la CCM hawaangali hali halisi ya Watz kwa sasa tunakabiliwa na nini,
Ushindi wa CCM siku zote tangu kuingia mageuzi huwa ni wa Tume na wala si wa wapiga kura,
Hakuna cha Kinana wala nini ni Tume tu ndio inawaweka CCM madarakani
 
Ndio nyinyi wachumia tumbo mliotumwa kumsafisha???!!! Mbona hauzungumzii ufisadi na ujangiri wake kuanzia mashine za hospital,TALL na uchafu mwingine kibao ikiwemo meno ya tembo???!!

Endeleeni na ukuwadi wa mafisadi,sijui wajukuu na watukuu wenu watarithi mini zaidi ya historia na hasira dhidi ya waangamizi wa maslahi ya taifa!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…