Ukweli Mchungu kuhusu Kudanga

Ukweli Mchungu kuhusu Kudanga

Huko siyo kujiandaa.
Kujiandaa jangwani ni kuchimba kisima baada ya kutembea na kukuta oasis.
Au kuchota maji kwenye mabegi ya ngozi na kuyatumia kwa uangalifu.
Expecting rain in desert shows how unprepared someone is in tackling his/her problems.
Sasa umejiandaa na mabegi ya ngozi, na vifaa vya kuchimba kisima, halafu unakuta kila unapoenda hakuna maji.

Hapo kujiandaa kwako kunakuleteaje bahati?

Halafu anakuja mchizi kapoteapotea tu jangwani hana hata kikombe, anakutana na bonge la oasis.

Huyo kajiandaa nini mpaka kupata bahati hiyo?
 
Sasa,biashara yoyote ukianza,lazima utegemee na kufirisika. Lakini,biashara yoyote ukishakuwa mzoefu,yaani professional,kamwe huwezi kufeli.
Sasa, wanaodanga, ina maana wana uzoefu wa kutosha kwenye biashara yao. Ndo maana wakipata hata mitaji,haisaidii,sababu wanasaliti kazi walio na uzoefu nayo.🤣🤣🤣🏃
 
Hahaha kuna bishara zingine hazina profit kabisa moja wapo ni hyoo. Madem shtukeni 🤣
Wanapenda ukuni tu hamna kingine. We mwenyewe sema ipi kazi rahisi

- kupanua tu kisha uchomekwe na mwisho siku ulipwe

Au

- kupiga kaz ya kutafuta wateja mpaka bidhaa au huduma ya biashara halali inayofanya ipate mteja ndio upate pesa.

Kipi rahis hapo.

Ndio maana hata vidume vinatiwa
 
Kinachowaponza wanawake wengi ni tamaa ya kuwa na maisha mazuri
Pasipo kupitia kwenye mchakato sahihi wa kupata hivyo vitu.
Ni misingi ya taifa ilishaharibika,
Wengi wa watu ni matapeli ,hakuna hata mmja anayeweza kuaminika
 
So, the dont work for money and dont save money is an Oxymoron?
You always work for money.

Warren Buffet ni investir mkubwa miaka na miaka, he is the king of "I don't work, my money work for me" philosophy.

Lakini ukiona hiyo mi financial reports anayoisoma kila siku, unaweza kumhurumia.

Amd je doesn't only save money he has, he even save money he doesn't have by using credit sparingly.
 
Kama hujapata mtoto maana yake hakukuwa na opportunity ya kupata mtoto au wewe na partner wako hamkuwa tayari. Kwa sababu ukisema bahati umamaamisha nini?
Hakuna haja ya kuelezea Mambo kwa kutumia majini sijui au whatever hata kama haya make sense.
😂😂 unajijibu mwenyewe kiongozi, bahati ni opportunity ilio ku favour upande wako. Nimekupa mfano wa couples mbili wote wana nia ya kutafuta watoto eti wee unajibu hamkua tayari na partner wako 😂😂

Hata tufungie couples 2 sahv kwenye vyumba viwili tofauti for experiment kwa kuanzisha stop watch kwa maelekezo maalum, we all know couple 1 itatangulia kupata mtoto na ndo bahati!
 
Dhana ya Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote kuwapo inapingana na dhana ya bahati/ randomness kuwapo.

Maana, bahati inaweza kumzawadia mtu muovu asiyestahili na kumnyima mtu mwema anayestahili, kinyume na haki.

Hivyo, kuwepo kwa randomness, bahati, ninushahidi kwamba Mungu huyo hayupo.
Bahati ni kwa sisi binadamu mere mortals wala haimuusishi Mungu yuko above it! Good, Evil, pure, rotten, korokoro zote zimo ndani ya Fate! Mungu anaumba kila kiumbe na fate yake kwetu ni random kwake ni pre-destined

Usishangae ukaja kua muumini mzuri tu mana fate yako huijui my friend

U get my grip?
 
To close this dialogue, kama huwezi elezea pure randomness na umekiri binadamu anahitaji bahati kule juu.. tafadhali usije kuuliza mtu humu tena eti Mungu yuko wapi nionesheni, Adios.

Unaonesha udhaifu mkubwa katikankufuatilia mada kimantiki na kufanya fikra dhahania.

Kwanza kabisa hakuna siku yoyote niliyouliza Mungu yuko wapi nionesheni.

Kama una nukuu hiyo, iweke hapa.

Huelewi hata hoja yangu ya kupinga uwepo wa Mungu ikoje.

Pili, hata ningeuliza Mungu yuko wapi nionesheni, hoja yako ni logical fallacy, logical non sequitur.

Mtu anaweza kushindwa kuelezea pure randomness katika ulimwengu ambao Mungu hayupo. There is no contradiction there.

In favt, katikanulimwengu ambao umeumbwa na Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote nanupendonwote, hakutakiwi kuwa na pure randomness. Pure randomness ninushahidi kwamba Mungu huyo hayupo.

Unajenga hoja ya kupinga uwepo wa Mungu, bila ya wewe mwenyewe kujua.
 
😂😂 unajijibu mwenyewe kiongozi, bahati ni opportunity ilio ku favour upande wako. Nimekupa mfano wa couples mbili wote wana nia ya kutafuta watoto eti wee unajibu hamkua tayari na partner wako 😂😂

Hata tufungie couples 2 sahv kwenye vyumba viwili tofauti for experiment kwa kuanzisha stop watch kwa maelekezo maalum, we all know couple 1 itatangulia kupata mtoto na ndo bahati!
Yaani hiyo couple ilyopata mtoto kulikuwa na opportunity ya wao kupata mtoto. Egg na Sperm hai ziliungana baada ya mwanaume kuwa aroused, kuingiza na kumwaga millions of sperms, the fastest ikaingia kweny yai na mimba ika tungwa.

Now, tunaweza kumaliza muda na kuelezea kwanini couple nyngine haijatunga mimba. But basically, there was either no opportunity or the couples were not prepared.
Opportunity ni vitu kama ovulation, pH of the sperm fluid, uboara wa sperms cells either speed na ability to penetrate, magonjwa, kama ya kike au jogoo kutopanda mtungi etc... This means they were not ready.

Hakuna miracles, its just failure to explain..
 
Bahati ni kwa sisi binadamu mere mortals wala haimuusishi Mungu yuko above it! Good, Evil, pure, rotten, korokoro zote zimo ndani ya Fate! Mungu anaumba kila kiumbe na fate yake kwetu ni random kwake ni pre-destined

Usishangae ukaja kua muumini mzuri tu mana fate yako huijui my friend

U get my grip?
Huyo Mungu umemuweka kwa hoja ya nguvu tu, hujatumia nguvu ya hoja.

Hata hujathibitisha kwamba yupo, umemuelezea kama kwenye hadithi ya kutungwa tu.

Thibitisha Mungu yupo na habari za kuwepo kwake si hadithi za kutungwa na watu tu.
 
Yaani hiyo couple ilyopata mtoto kulikuwa na opportunity ya wao kupata mtoto. Egg na Sperm hai ziliungana baada ya mwanaume kuwa aroused, kuingiza na kumwaga millions of sperms, the fastest ikaingia kweny yai na mimba ika tungwa.

Now, tunaweza kumaliza muda na kuelezea kwanini couple nyngine haijatunga mimba. But basically, there was either no opportunity or the couples were not prepared.
Opportunity ni vitu kama ovulation, pH of the sperm fluid, uboara wa sperms cells either speed na ability to penetrate, magonjwa, kama ya kike au jogoo kutopanda mtungi etc... This means they were not ready.

Hakuna miracles, its just failure to explain..
Mkuu,

Bahati si miracle.

Bahati ni luck.

Miracle ni muujiza.

Unachanganya vitu viwili tofauti.
 
Sasa umejiandaa na mabegi ya ngozi, na vifaa vya kuchimba kisima, halafu unakuta kila unapoenda hakuna maji.

Hapo kujiandaa kwako kunakuleteaje bahati?

Halafu anakuja mchizi kapoteapotea tu jangwani hana hata kikombe, anakutana na bonge la oasis.

Huyo kajiandaa nini mpaka kupata bahati hiyo?
Means there was no opportunity otherwise ungechota maji. You were prepared, but there was no opportunity, so "No luck"
Anayetangatanga was prepared to harvest water and opportunity presentend itself. So, he was "Lucky" Otherwise kama haukuwa prepared, hayo maji huwezi kuyavuna na kunywa au kuchota.
Again, Luck = Opportunity + Preparedness.
 
Mkuu,

Bahati si miracle.

Bahati ni luck.

Miracle ni muujiza.

Unachanganya vitu viwili tofauti.
Sichanganyi.
You use miracle as a component of luck. Creating a possibility of you just becoming the king of Denmark.
I use components that can be described to descibe what Luck is. Creating the possibility of you getting "Lucky'.
Always be well prepared to look and/or seize an opportunity.
 
Means there was no opportunity otherwise ungechota maji. You were prepared, but there was no opportunity, so "No luck"
Anayetangatanga was prepared to harvest water and opportunity presentend itself. So, he was "Lucky" Otherwise kama haukuwa prepared, hayo maji huwezi kuyavuna na kunywa au kuchota.
Again, Luck = Opportunity + Preparedness.
Kwa hiyo mtu ambaye hajafanya preparation yoyote, kakuta opportunity tu imemtembelea, hiyo ni luck au si luck?
 
Back
Top Bottom