Sambare
Member
- Jul 1, 2017
- 82
- 52
Mwenyezi Mungu hamtupi mja wake, kama aloweza kumnusuru na kifo kutoka kwa yule baba mtu mzima basi atamnusuru na kifungo pia.
Huyu kigagula Mange hata aseme nini uchizi wake sidhani kama mahakama itaelewa.
Angenyamaza tu aendelee kuomba Watz wasio na akili wamchangie pesa aendeshe maisha yake.
Chizi tu mange na wivu wake wa kijinga.kila mtu kwake mbaya
Mungu atamsimamia Huyu mtoto mimi pia Nilikuwa sikapendi haka katoto but she has changed a lot Sio lulu yule wa zaman
Kamerud shule kamesoma dip ya Human resource alihojiwa mahali akasema anataka kujiendeleza Na degree Ni waz kamebadilika kamejifunza Lkn Watu wasiojielewa wamekalia kumhukumu Tena kwa mambo ya kale