M Mtoto wa Shule JF-Expert Member Joined Nov 16, 2014 Posts 15,133 Reaction score 11,914 Sep 14, 2023 #101 So special said: Hivi hawa U.S.A wameshindwa kabisa kufanya watu wake wasitumie madawa ya kulevya ? Wakajifunze Singapore Lee Kuan Yew alisema nini ukidakwa na madawa ya kulevya Singapore Click to expand... USA is a free country. Ushaambiwa madawa ya kulevya ni mabaya, halafu halafu mtu anatumia wamfanyeje Sasa! Ukitumia utashika njia yako na asiye tumia njia yake. Ndio maana ya kuwa FIRST WORLD. Hakuna kubembelezana!
So special said: Hivi hawa U.S.A wameshindwa kabisa kufanya watu wake wasitumie madawa ya kulevya ? Wakajifunze Singapore Lee Kuan Yew alisema nini ukidakwa na madawa ya kulevya Singapore Click to expand... USA is a free country. Ushaambiwa madawa ya kulevya ni mabaya, halafu halafu mtu anatumia wamfanyeje Sasa! Ukitumia utashika njia yako na asiye tumia njia yake. Ndio maana ya kuwa FIRST WORLD. Hakuna kubembelezana!