Ukweli Mchungu: Marekani ni nchi ya dunia ya tatu

Ukweli Mchungu: Marekani ni nchi ya dunia ya tatu

Mtoa mada hata Leo ukiambiwa uchague pa kwenda hapa duniani ........lazima utachagua marekani..........ndio utajua kuwa mavi uyanyayo hayaumi hata unye kimba kama goti
Huijui constipation wewe
 
Hivi hawa U.S.A wameshindwa kabisa kufanya watu wake wasitumie madawa ya kulevya ?

Wakajifunze Singapore Lee Kuan Yew alisema nini ukidakwa na madawa ya kulevya Singapore
drug ni biashara ya the elite class WA taifa la marekani. ni ngumu kufikia tamani.
 
Siasa za CCM zimeharibu akili ya watanzania wengi. Utasikia jeshi letu ni la sita kwa ubora duniani, jengo jipya la posta (Arusha) ni la sita pia kwa ubora duniani. Sasa nashangaa kusikia Marekani ni third world country na haina teknolojia[emoji16]

Sent from my M2006C3MG using JamiiForums mobile app
Hakika ccm imeondoa akili za watanzania wengi.
 
Wabongo bwana ujinga ujinga tu ndio ujanja et

Kwahiyo ulimwengu wa tatu ni nchi kutokuwa na usalama? basi Tz ni ulimwengu wa kwanza si ndio????
 
Nchi ya dunia ya tatu ni nini? Nchi ya dunia ya tatu ni nchi yoyote ile isiyo na usalama wa uhakika( wa kutosha ) kwa raia wake na watu wote wanao ishi ndani yake.

Vitu hivi huwezi kuvipata Marekani.

Marekani hakuna usalama wa uhakika. Hakuna utu. Watu wanauana kwa sababu za kijinga kabisa. Wanaoneana wivu na husda.

USA to a large extent is a drug infected society ( thanks to Fidel Castro)

Gun culture. Gang culture is a normal thing in the US.


I feel more safe in Kigali or Saudi Arabia than in the US.

Is USA a first world country? In terms of development of infrastructures yes but not in terms of social life.

what about technology? No ! Why? USA technology is a polluting technology.

Polluting technology is close to no technology at all.

Technology must be non polluting for it to be called technology.


# USA is a third world country
Wakati ndo nchi mnayokimbilia kwenda, ukiwa mjinga unajiona mjanja dah
 
Nchi ya dunia ya tatu ni nini? Nchi ya dunia ya tatu ni nchi yoyote ile isiyo na usalama wa uhakika( wa kutosha ) kwa raia wake na watu wote wanao ishi ndani yake.

Vitu hivi huwezi kuvipata Marekani.

Marekani hakuna usalama wa uhakika. Hakuna utu. Watu wanauana kwa sababu za kijinga kabisa. Wanaoneana wivu na husda.

USA to a large extent is a drug infected society ( thanks to Fidel Castro)

Gun culture. Gang culture is a normal thing in the US.


I feel more safe in Kigali or Saudi Arabia than in the US.

Is USA a first world country? In terms of development of infrastructures yes but not in terms of social life.

what about technology? No ! Why? USA technology is a polluting technology.

Polluting technology is close to no technology at all.

Technology must be non polluting for it to be called technology.


# USA is a third world country
Napenda kukuhakikishia ujumbe huu utadumu kichwani mwangu mpaka naingia kaburini.
 
Wabongo bwana ujinga ujinga tu ndio ujanja et

Kwahiyo ulimwengu wa tatu ni nchi kutokuwa na usalama? basi Tz ni ulimwengu wa kwanza si ndio????
Sasa kumbe je? We unafikiri maghorofa ndio maendeleo?
 
Back
Top Bottom