Tissaphernes
JF-Expert Member
- Mar 27, 2018
- 2,902
- 3,560
Hao ni wazembeWatu wanalala nje. Gharama za afya na elimu ya juu hazishikiki. Ni dunia ya tatu iliyochangamka.
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao ni wazembeWatu wanalala nje. Gharama za afya na elimu ya juu hazishikiki. Ni dunia ya tatu iliyochangamka.
Huyo ashachanganyikiwaUnapiga makelele humu Marekani yenyewe unayoiandika huijui, mental health inakupeleka vibaya.
Sent from my M2006C3MG using JamiiForums mobile app
Atachaguaje wakati hana documents za kumpeleka huko?Mtoa mada hata Leo ukiambiwa uchague pa kwenda hapa duniani ........lazima utachagua marekani..........ndio utajua kuwa mavi uyanyayo hayaumi hata unye kimba kama goti
Ushoga umeanzia misikitini na madrasaNi nafsi ya mtu, ni kama wewe uchague kuishi nchi zinazounga mkono ushoga basi na waarabu kwenda kutembea kule
Huijui constipation weweMtoa mada hata Leo ukiambiwa uchague pa kwenda hapa duniani ........lazima utachagua marekani..........ndio utajua kuwa mavi uyanyayo hayaumi hata unye kimba kama goti
drug ni biashara ya the elite class WA taifa la marekani. ni ngumu kufikia tamani.Hivi hawa U.S.A wameshindwa kabisa kufanya watu wake wasitumie madawa ya kulevya ?
Wakajifunze Singapore Lee Kuan Yew alisema nini ukidakwa na madawa ya kulevya Singapore
Hakika ccm imeondoa akili za watanzania wengi.Siasa za CCM zimeharibu akili ya watanzania wengi. Utasikia jeshi letu ni la sita kwa ubora duniani, jengo jipya la posta (Arusha) ni la sita pia kwa ubora duniani. Sasa nashangaa kusikia Marekani ni third world country na haina teknolojia[emoji16]
Sent from my M2006C3MG using JamiiForums mobile app
Wakati ndo nchi mnayokimbilia kwenda, ukiwa mjinga unajiona mjanja dahNchi ya dunia ya tatu ni nini? Nchi ya dunia ya tatu ni nchi yoyote ile isiyo na usalama wa uhakika( wa kutosha ) kwa raia wake na watu wote wanao ishi ndani yake.
Vitu hivi huwezi kuvipata Marekani.
Marekani hakuna usalama wa uhakika. Hakuna utu. Watu wanauana kwa sababu za kijinga kabisa. Wanaoneana wivu na husda.
USA to a large extent is a drug infected society ( thanks to Fidel Castro)
Gun culture. Gang culture is a normal thing in the US.
I feel more safe in Kigali or Saudi Arabia than in the US.
Is USA a first world country? In terms of development of infrastructures yes but not in terms of social life.
what about technology? No ! Why? USA technology is a polluting technology.
Polluting technology is close to no technology at all.
Technology must be non polluting for it to be called technology.
# USA is a third world country
Napenda kukuhakikishia ujumbe huu utadumu kichwani mwangu mpaka naingia kaburini.Nchi ya dunia ya tatu ni nini? Nchi ya dunia ya tatu ni nchi yoyote ile isiyo na usalama wa uhakika( wa kutosha ) kwa raia wake na watu wote wanao ishi ndani yake.
Vitu hivi huwezi kuvipata Marekani.
Marekani hakuna usalama wa uhakika. Hakuna utu. Watu wanauana kwa sababu za kijinga kabisa. Wanaoneana wivu na husda.
USA to a large extent is a drug infected society ( thanks to Fidel Castro)
Gun culture. Gang culture is a normal thing in the US.
I feel more safe in Kigali or Saudi Arabia than in the US.
Is USA a first world country? In terms of development of infrastructures yes but not in terms of social life.
what about technology? No ! Why? USA technology is a polluting technology.
Polluting technology is close to no technology at all.
Technology must be non polluting for it to be called technology.
# USA is a third world country
Uongodrug ni biashara ya the elite class WA taifa la marekani. ni ngumu kufikia tamani.
Hata unapoishi sasa ni kwa mashogaKwa mashoga
Mbona mpaka sasa upo kaburini, pumzika tu humohumo.Napenda kukuhakikishia ujumbe huu utadumu kichwani mwangu mpaka naingia kaburini.
Wakati mwingine namuelewa mama samia .bandari kumilikiwa na watu kama ww bora waarabuMbona mpaka sasa upo kaburini, pumzika tu humohumo.
Hata unapoishi sasa ni kwa mashoga
anaichambua Marekani kupitia utaalamu alioupata humu humu JF 😀Umewahi kufika marekani?,tuanzie hapo kwanza.