Ukweli Mchungu: Marekani ni nchi ya dunia ya tatu

Ukweli Mchungu: Marekani ni nchi ya dunia ya tatu

Nchi ya dunia ya tatu ni nini? Nchi ya dunia ya tatu ni nchi yoyote ile isiyo na usalama wa uhakika( wa kutosha ) kwa raia wake na watu wote wanao ishi ndani yake.

Vitu hivi huwezi kuipata Marekani.

Marekani hakuna usalama wa uhakika. Hakuna utu. Watu wanauana kwa sababu za kijinga kabisa. Wanaoneana wivu na husda.

USA to a large extent is a drug infected society ( thanks to Fidel Castro)

Gun culture. Gang culture is a normal thing in the US.


I feel more safety in Kigali or Saudi Arabia than in the US.

Marekani a first world country? I'm terms of development of infrastructures yes but not in terms of social life.

what about technology? No ! Why? USA technology is a polluting technology.

Polluting technology is close to no technology at all.

Technology must be non polluting for it to be called technology.


# USA is a third world country
USA haiwezi kuwa third world country.

North Korea hakuna uhuru wa mwananchi. China yenyewe Ina limited freedom.

Marekani sasahivi ndo nchi pekee duniani ambayo imeivuka kizingiti cha recession, ajira kama zote ( kutokana na ripoti kibao zilizotoka kama NFP, Unemployed claims n.k) na inflation rate imeshuka 3%. Na pia production rate ya kuridhisha .

Tanzania hii kuna amani tele ila umaskini wa ajabu, biashara zimekuwa ngumu, money circulation imehamia kwenye real estate na huku mtaani hakuna money circulation ya uhakika mtaani, pia tunasuffer from inflation.
 
Nchi ya dunia ya tatu ni nini? Nchi ya dunia ya tatu ni nchi yoyote ile isiyo na usalama wa uhakika( wa kutosha ) kwa raia wake na watu wote wanao ishi ndani yake.

Vitu hivi huwezi kuipata Marekani.

Marekani hakuna usalama wa uhakika. Hakuna utu. Watu wanauana kwa sababu za kijinga kabisa. Wanaoneana wivu na husda.

USA to a large extent is a drug infected society ( thanks to Fidel Castro)

Gun culture. Gang culture is a normal thing in the US.


I feel more safety in Kigali or Saudi Arabia than in the US.

Marekani a first world country? I'm terms of development of infrastructures yes but not in terms of social life.

what about technology? No ! Why? USA technology is a polluting technology.

Polluting technology is close to no technology at all.

Technology must be non polluting for it to be called technology.


# USA is a third world country
Bro!! Uwanda wako wa kujua Mambo ni mdogo sana, ni kweli USA, kuna watu kuuana sana kwa silaha, na huku Afrika, hususani TZ, kuna watu kuchunwa ngozi, mauji ya albino, nk.
Kampuni moja ya Apple ina pesa nyingi, mapato kuliko mapato yote ya TZ!
Ukwasi wa mtu mmoja USA ni mara Mia ya mtu wa Afrika, hii internet system unayotumia ilianzia ndani ya jeshi LA USA.
Niliwahi kufanya kazi tassisi moja kubwa ya Mambo ya ukimwi, unakuta unalipwa Milioni 4+, we unaona ni mpunga mreeefu! K wao ni pesa, ya kawaida sana!
Nchi yenye tekunolojia kubwa, ya anga, siraha, kilimo, ulinzi, ina makambi ya jeshi kila Kona ya dunia, unasemaje ni nchi ya ulimwengu wa tatu! Unailinganisha na bongo yenye uhaba wa madakitari na waalimu lakini haiwezi kuwaajili kwa sababu pesa na mapato hayatoshi?
Kuhusu usalama! Pita kawe usiku stend ya daladala! Au katiza eneo LA feza school,! Kituo cha police kipo km 1 tu! Utaomba ardhi ipasuke! Nilikoswa koswa, kupigwa nondo ya kichwa!
Jiwe likanipata usoni,uzuri nipo athletic, nilikimbia damu inavuja! Kufika polisi wananiuliza du bro pole sana! Hiyo ndio kawe!
 
Acha waendelee kujifariji mkuu ila wakipata nafasi nchi ya kwanza kwenda ni USA sio Saudi Arabia, China au Russia.

Kila mtu ndoto yake ni kufika nchi ya maziwa na asali- USA. Marais wa wa nchi zingine wakiongozwa na BRICS wanacheza green card lottery.
Siasa za CCM zimeharibu akili ya watanzania wengi. Utasikia jeshi letu ni la sita kwa ubora duniani, jengo jipya la posta (Arusha) ni la sita pia kwa ubora duniani. Sasa nashangaa kusikia Marekani ni third world country na haina teknolojia[emoji16]

Sent from my M2006C3MG using JamiiForums mobile app
 
Siasa za CCM zimeharibu akili ya watanzania wengi. Utasikia jeshi letu ni la sita kwa ubora duniani, jengo jipya la posta (Arusha) ni la sita pia kwa ubora duniani. Sasa nashangaa kusikia Marekani ni third world country na haina teknolojia[emoji16]

Sent from my M2006C3MG using JamiiForums mobile app

Ni vituko kaka huku hapo anaomba apate visa afike kiwanja 🤣
 
Nakuhakikishia siku ukipelekwa Moscow, Beijing, Tehran, Riyadh au Pyongyang ukapewa kazi nzuri ya Ofisini unayolipwa mshahara mara mbili wa huo wa kubeba box bado utalilia urudishwe States tu uendelee kubeba box.

Kwa mashoga
 
Hakuna nchi inayokupa uhakika wa maisha kama USA...Unless umeamua kufurahisha kambi.
Kaote huko unakosema unakaa wote wanasubiri kusikia USA wamesema nini kuhusiana na sheria ya usalama dhidi ya raia wake.
USA wanauwezo wa kutuma wanajeshi 100,000 Kuja kukufuafa wewe raia mmoja.
Suala la Madawa ni wewe kupenda kuvitumia baada ya kuonja utamu wake ukailinganisha na asali.
Suala la silahaa ni wewe kuitumia vibaya, ata huku wanaume tunatumia Dudu wakati mwingine vibaya mpaka tunaangamia.

Ni vile hujawahi kuishi nchi za kiarabu n.k, nenda Emirates au oman, kwanza hutatamani kwenda nchi zinazokubali ushoga
 
Bila shaka wewe ni mvaa kobazi.........hata waarabu wenyewe huwa wanachomekea kanzu ili kwenda kujiachia kwenye nchi ileee

Ni nafsi ya mtu, ni kama wewe uchague kuishi nchi zinazounga mkono ushoga basi na waarabu kwenda kutembea kule
 
Nchi ya dunia ya tatu ni nini? Nchi ya dunia ya tatu ni nchi yoyote ile isiyo na usalama wa uhakika( wa kutosha ) kwa raia wake na watu wote wanao ishi ndani yake.

Vitu hivi huwezi kuvipata Marekani.

Marekani hakuna usalama wa uhakika. Hakuna utu. Watu wanauana kwa sababu za kijinga kabisa. Wanaoneana wivu na husda.

USA to a large extent is a drug infected society ( thanks to Fidel Castro)

Gun culture. Gang culture is a normal thing in the US.


I feel more safe in Kigali or Saudi Arabia than in the US.

Is USA a first world country? In terms of development of infrastructures yes but not in terms of social life.

what about technology? No ! Why? USA technology is a polluting technology.

Polluting technology is close to no technology at all.

Technology must be non polluting for it to be called technology.


# USA is a third world country
Haina noma, ila ndiyo Marekani sasa, ulitaka hao watu wa level ya dunia ya tatu wafukuzwe, waache wawemo ni kwa watu wa levels zote wala siyo ukweli mchungu.
 
Back
Top Bottom