Ukweli Mchungu: Marekani ni nchi ya dunia ya tatu

Ukweli Mchungu: Marekani ni nchi ya dunia ya tatu

Ukiishi USA wiki moja tuu utabadilika Sana kimuonekano Yani utajiona ulikuwa mchafu na unanuka!!acha kabisa sikia redion ndugu america ni hatari!!
Nikifika south Carolina nikikaa week 13 nilirudi Tz watu wananishangaa!! Wanasema nanukia,natembea haraka nimeng'aaa
Wakati ndege inatua DSM nilijua sisi tuna kazi ya ziada
Hayo unayo yaongea nimesha yapitia na nimesha yaona sana tu,

Tatizo lako unafikiri kila mwana JF yupo bongo,mimi ni mbeba box toka kitambo sana.
 
Ukiishi USA wiki moja tuu utabadilika Sana kimuonekano Yani utajiona ulikuwa mchafu na unanuka!!acha kabisa sikia redion ndugu america ni hatari!!
Nikifika south Carolina nikikaa week 13 nilirudi Tz watu wananishangaa!! Wanasema nanukia,natembea haraka nimeng'aaa
Wakati ndege inatua DSM nilijua sisi tuna kazi ya ziada
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kuna watu wanafurahusha genge tu kuchangamke, mleta uzi ni mmojawapo.
 
Nchi ya dunia ya tatu ni nini? Nchi ya dunia ya tatu ni nchi yoyote ile isiyo na usalama wa uhakika( wa kutosha ) kwa raia wake na watu wote wanao ishi ndani yake.

Vitu hivi huwezi kuipata Marekani.

Marekani hakuna usalama wa uhakika. Hakuna utu. Watu wanauana kwa sababu za kijinga kabisa. Wanaoneana wivu na husda.

USA to a large extent is a drug infected society ( thanks to Fidel Castro)

Gun culture. Gang culture is a normal thing in the US.


I feel more safety in Kigali or Saudi Arabia than in the US.

Marekani a first world country? I'm terms of development of infrastructures yes but not in terms of social life.

what about technology? No ! Why? USA technology is a polluting technology.

Polluting technology is close to no technology at all.

Technology must be non polluting for it to be called technology.


# USA is a third world country
legeza taratibu za kumiliki silaha hapa kwenu muone kama hamjawa Somalia
 
Hayo unayo yaongea nimesha yapitia na nimesha yaona sana tu,

Tatizo lako unafikiri kila mwana JF yupo bongo,mimi ni mbeba box toka kitambo sana.
Nakuhakikishia siku ukipelekwa Moscow, Beijing, Tehran, Riyadh au Pyongyang ukapewa kazi nzuri ya Ofisini unayolipwa mshahara mara mbili wa huo wa kubeba box bado utalilia urudishwe States tu uendelee kubeba box.
 
Hata kudhibiti silaha wameshindwa au ndio democracy wanayo ihubiri ?

Mbona kuna mataifa mengi ya Ulaya yapo safe kuliko U.S.A na ya mtindo wa kidemokrasia kama wa U.S.A
kwahiyo malengo yetu Afrika ni USA ni kuwa dunia ya tatu ? kwann hatuwekezi nguv kweny kukosoa ya wetu ili twende mbele
 
Ni kwasababu ya uhuru wa raia kumiliki silaha.
kwasabab ya huku kwetu serikal hawatak habar zinazowalenga kuwatangaza hovyo hovyo , habar km hizo zinalishushia hadhi jeshi la polis , na viongoz wetu huzuia zisitangazwe mf huko vingungut panyaroad wapo miaka ming na bado wapo
 
Nakuhakikishia siku ukipelekwa Moscow, Beijing, Tehran, Riyadh au Pyongyang ukapewa kazi nzuri ya Ofisini unayolipwa mshahara mara mbili wa huo wa kubeba box bado utalilia urudishwe States tu uendelee kubeba box.
Mkuu usiongee vitu usivyovijua kwa kufuata tu akili yako inawaza nini ukafikiri wote watawaza kama uwazavyo wewe,nimepita nchi nyingi sana katika kujitafuta,so naongea ninachokijua,

halafu unatumia neno "Nakuhakikishia" yani wewe unihakikishie feeling zangu au matakwa yangu? How comes?
 
Nadhani ni kwa sababu ya kuvunja misingi ya Ukristo iliyojengwa na Waasisi wa Taifa hilo kubwa akina George Washington,slogan yao ya "In God We Trust" haina maana tena! Kwa sababu ya kiburi Taifa limeruhusu Ushoga, kutoa mimba, Ubaguzi na Mauaji, nk kuna kitu tena hapo?
 
Nadhani ni kwa sababu ya kuvunja misingi ya Ukristo iliyojengwa na Waasisi wa Taifa hilo kubwa akina George Washington,slogan yao ya "In God We Trust" haina maana tena! Kwa sababu ya kiburi Taifa limeruhusu Ushoga, kutoa mimba, Ubaguzi na Mauaji, nk kuna kitu tena hapo?
Marekani haijajengwa katika misingi ya Ukristo bali katika msingi imara wa kutenganisha serikali na dini/kanisa/Ukristo kipindi hicho.
 
kwasabab ya huku kwetu serikal hawatak habar zinazowalenga kuwatangaza hovyo hovyo , habar km hizo zinalishushia hadhi jeshi la polis , na viongoz wetu huzuia zisitangazwe mf huko vingungut panyaroad wapo miaka ming na bado wapo
Kwahiyo vingunguti panyaroad huvamia shule na kufyeka wanafunzi mapanga.

Katika era ya social media kuna taarifa ya uhalifu inafichika ?
 
Huu ujinga mnaoaminishana humu sijui huwa mnaupata wapi. Bufa njoo uone watu wako mzee.

Sent from my M2006C3MG using JamiiForums mobile app

Acha waendelee kujifariji mkuu ila wakipata nafasi nchi ya kwanza kwenda ni USA sio Saudi Arabia, China au Russia.

Kila mtu ndoto yake ni kufika nchi ya maziwa na asali- USA. Marais wa wa nchi zingine wakiongozwa na BRICS wanacheza green card lottery.
 
Nchi ya dunia ya tatu ni nini? Nchi ya dunia ya tatu ni nchi yoyote ile isiyo na usalama wa uhakika( wa kutosha ) kwa raia wake na watu wote wanao ishi ndani yake.

Vitu hivi huwezi kuipata Marekani.

Marekani hakuna usalama wa uhakika. Hakuna utu. Watu wanauana kwa sababu za kijinga kabisa. Wanaoneana wivu na husda.

USA to a large extent is a drug infected society ( thanks to Fidel Castro)

Gun culture. Gang culture is a normal thing in the US.


I feel more safety in Kigali or Saudi Arabia than in the US.

Marekani a first world country? I'm terms of development of infrastructures yes but not in terms of social life.

what about technology? No ! Why? USA technology is a polluting technology.

Polluting technology is close to no technology at all.

Technology must be non polluting for it to be called technology.


# USA is a third world country
My be ever there leadership is the third class leadership except that of Mr.Trumpet😂😂😂
 
Mkuu usiongee vitu usivyovijua kwa kufuata tu akili yako inawaza nini ukafikiri wote watawaza kama uwazavyo wewe,nimepita nchi nyingi sana katika kujitafuta,so naongea ninachokijua,

halafu unatumia neno "Nakuhakikishia" yani wewe unihakikishie feeling zangu au matakwa yangu? How comes?
Nawafahamu wengi wa mfano wako.
 
Back
Top Bottom