Ukweli Mchungu: Marekani ni nchi ya dunia ya tatu

Ukweli Mchungu: Marekani ni nchi ya dunia ya tatu

Marekani hakuna usalama wa uhakika ni sawa

Ila nataka nikuambie hakuna nchi yoyote yenye kukupa guarantee ya uhakika wa usalama.

Uganda, Kenya na Saud Arabia zote zimezidiana point moja moja kwenye statics ya Global Peace index.

Saud Arabia ni ya 119
Kenya ni ya 120
Uganda ni ya 121

Hizo zote zimezidiwa na Zambia ambayo ni ya 59.

Kwa maana hiyo tukija kwenye hoja yako ni bora ukaishi Zambia kuliko Saud Arabia.
Sema USA wahuni wanaopiga watu silaha bila sababu ni wengi sana.

Mtu anatembea na shoka kwenda malls anafyeka watu.

Incidencies kama hizo kwenye nchi za ulimwengu wa tatu hazipo.
 
Sema USA wahuni wanaopiga watu silaha bila sababu ni wengi sana.

Mtu anatembea na shoka kwenda malls anafyeka watu.

Incidencies kama hizo kwenye nchi za ulimwengu wa tatu hazipo.
Ni kwasababu ya uhuru wa raia kumiliki silaha.
 
Nchi ya dunia ya tatu ni nini? Nchi ya dunia ya tatu ni nchi yoyote ile isiyo na usalama wa uhakika( wa kutosha ) kwa raia wake na watu wote wanao ishi ndani yake.

Vitu hivi huwezi kuipata Marekani.

Marekani hakuna usalama wa uhakika. Hakuna utu. Watu wanauana kwa sababu za kijinga kabisa. Wanaoneana wivu na husda.

USA to a large extent is a drug infected society ( thanks to Fidel Castro)

Gun culture. Gang culture is a normal thing in the US.


I feel more safety in Kigali or Saudi Arabia than in the US.

Marekani a first world country? I'm terms of development of infrastructures yes but not in terms of social life.

what about technology? No ! Why? USA technology is a polluting technology.

Polluting technology is close to no technology at all.

Technology must be non polluting for it to be called technology.


# USA is a third world country
Ni mawazo yako.Yawekewe gamba gumu yasichakee.
OMBI:Uwe unachagua lugha moja ili tuelewane/tuwasiliane kwa uzuri zaidi.Kireno sikukisoma mimi.
 
Hakuna nchi inayokupa uhakika wa maisha kama USA...Unless umeamua kufurahisha kambi.
Kaote huko unakosema unakaa wote wanasubiri kusikia USA wamesema nini kuhusiana na sheria ya usalama dhidi ya raia wake.
USA wanauwezo wa kutuma wanajeshi 100,000 Kuja kukufuafa wewe raia mmoja.
Suala la Madawa ni wewe kupenda kuvitumia baada ya kuonja utamu wake ukailinganisha na asali.
Suala la silahaa ni wewe kuitumia vibaya, ata huku wanaume tunatumia Dudu wakati mwingine vibaya mpaka tunaangamia.
 
Wao silaha ni biashara kubwa sana kwa makampuni yanayotengeneza na wengi wakubwa wamo kama shareholders kwa hiyo wanaitetea kwa nguvu zote na hakuna wa kuweza kufuta sheria za uuzaji wa silaha

Obama alijifanya kupinga na kuleta sheria ila ilipingwa vikali
Ni nchi pekee unaweza kuwa arsenal ya silaha zote hata Mia hakuna anaekukataza

Kuhusu madawa pia wamo wakubwa maadam wao hawatumii ila yanaingia na mpaka Afghanistan wanajeshi walikwenda kwa ajili ya Opium inayotengenezwa Heroin na ni baishara ambayo inategemewa kwa mapato

Ukiangalia na Mexico wanaoingiza madawa ya kukevya kila leo.

Hiyo nchi sijaipenda maisha yangu na siwezi kwenda hata kutembea
Niko 🇬🇧 kuna amani zaidi ya 🇺🇸 maana hata police hawqtembei na pistols lakini vunja sheria uone
Kabisa mkuu, UK uhalifu sio wa kiwango cha kutisha kama US.....
 
Hata kudhibiti silaha wameshindwa au ndio democracy wanayo ihubiri ?

Mbona kuna mataifa mengi ya Ulaya yapo safe kuliko U.S.A na ya mtindo wa kidemokrasia kama wa U.S.A

Hawaja shindwa ila hawajataka kudhibiti. Kila kitu kinaanzia kwenye sheria
 
Nchi ya dunia ya tatu ni nini? Nchi ya dunia ya tatu ni nchi yoyote ile isiyo na usalama wa uhakika( wa kutosha ) kwa raia wake na watu wote wanao ishi ndani yake.

Vitu hivi huwezi kuipata Marekani.

Marekani hakuna usalama wa uhakika. Hakuna utu. Watu wanauana kwa sababu za kijinga kabisa. Wanaoneana wivu na husda.

USA to a large extent is a drug infected society ( thanks to Fidel Castro)

Gun culture. Gang culture is a normal thing in the US.


I feel more safety in Kigali or Saudi Arabia than in the US.

Marekani a first world country? I'm terms of development of infrastructures yes but not in terms of social life.

what about technology? No ! Why? USA technology is a polluting technology.

Polluting technology is close to no technology at all.

Technology must be non polluting for it to be called technology.


# USA is a third world country
Kama us ni dunia ya tatu tz itakua dunia ya ngapi?
 
Nchi ya dunia ya tatu ni nini? Nchi ya dunia ya tatu ni nchi yoyote ile isiyo na usalama wa uhakika( wa kutosha ) kwa raia wake na watu wote wanao ishi ndani yake.

Vitu hivi huwezi kuipata Marekani.

Marekani hakuna usalama wa uhakika. Hakuna utu. Watu wanauana kwa sababu za kijinga kabisa. Wanaoneana wivu na husda.

USA to a large extent is a drug infected society ( thanks to Fidel Castro)

Gun culture. Gang culture is a normal thing in the US.


I feel more safety in Kigali or Saudi Arabia than in the US.

Marekani a first world country? I'm terms of development of infrastructures yes but not in terms of social life.

what about technology? No ! Why? USA technology is a polluting technology.

Polluting technology is close to no technology at all.

Technology must be non polluting for it to be called technology.


# USA is a third world country
Siku ukifika marekani utakufa Kwa mshangao!! In short USA is next level!! Utasema Kila siku sikukuu
 
Ngoja nisubiri comments za wamarekani wa Nzega.
Ukiishi USA wiki moja tuu utabadilika Sana kimuonekano Yani utajiona ulikuwa mchafu na unanuka!!acha kabisa sikia redion ndugu america ni hatari!!
Nikifika south Carolina nikikaa week 13 nilirudi Tz watu wananishangaa!! Wanasema nanukia,natembea haraka nimeng'aaa
Wakati ndege inatua DSM nilijua sisi tuna kazi ya ziada
 
Nashangaa Qatar haipo kwenye first world country haha ona California
IMG_2877.jpg

IMG_2876.jpg

IMG_2875.jpg
 
Ndio maana wakaja na mpago wa green card, ku replace garbage na ku attract talents. Wanajua kabisa ni Taifa lisilo na maadili Kwa asilimia Kubwa.

Pia ukirudi kwenye historia, inasemekana Marekani ilianzishwa na vibaka sugu kutoka ulaya, walitupwa huko kama adhabu wakageuza fursa na kuaanza kuwapora ardhi wazawa. Sasa unategemea matokeo tofauti Kwa Taifa lilikoanzishwa na majangiri bunduki lazima zitawale sana.
 
Back
Top Bottom